Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
ulicho nichekesha ni kusahau kuwa uwezi kujua kama sikosekani hapa kama na wewe ufatilii haya....! Teh Teh..Kwenye masuala ya umbea kama haya huwezi kumkosa Mhaya Ruttashobolwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulicho nichekesha ni kusahau kuwa uwezi kujua kama sikosekani hapa kama na wewe ufatilii haya....! Teh Teh..Kwenye masuala ya umbea kama haya huwezi kumkosa Mhaya Ruttashobolwa
ha ha ahaha kakuchinjia bahariniweee nawe, huyo amenicopy mimi, ni vile vijana hawana adabu ameshindwa hata kuniacknowledge
huku dar es salaam hakunaga ukimwiMimba Ni ya Ali Kiba, subiriini ukweli utajulikana soon.
Ulishuhudia akigeuzwa.....na Yule bb wa Uganda je,mwenye sura ndefu km jani la mgomba una uhakka Yule mtt ni wa domo?kweli duniani kuna watu wanaota mchana..
amefanya vipimo vya dna ya hiyo mimba ?
wema anavyogeuzwa na kila mwenye hela yake isiopelea..
mwanaume utajigambaje eti mimba umetia wewe ?
Wema kugongwa na wengi sana sio diamondMmh kama kweli wema ana mimba basi hii ni risasi kwa diamond itabidi tu na yeye aje a publish DNA kuonyesha naye kazalisha maanaaa....
Na Yule lady matende je?Wema kugongwa na wengi sana sio diamond
Yule kagongwa na kazaa watoto au huwaon nduguNa Yule lady matende je?
matokeo ya fom 4 mwez wa piliUlishuhudia akigeuzwa.....na Yule bb wa Uganda je,mwenye sura ndefu km jani la mgomba una uhakka Yule mtt ni wa domo?
Kumbe na we unasasahisha mitihan siku hzmatokeo ya fom 4 mwez wa pili
Mmh taratibu sista.....Matamu mnooo, yani maneno kaandikiwa mwingine, ila navyosmile huku sasa utadhani nimeandikiwa mimi jamani.[emoji182] [emoji182] [emoji85] [emoji85]
Ulimpenda yupi mwenye sura ndefu kama pangaboy haha wema anamambo yaaani choice zake tofauti kabisa alioza kwa dimond mwenye domo kubwa zamani dimond sasa kawa handsome kamdamp kah cijui huwa anapima dudu likiwa kubwa ye poa sura kwake aina maana hata remmy wema angebeba tuHahahaa yani panki ka dinning table,sijawahi kumpenda bora tu walivyoachana
Ayayayay yani Sitaki hata kusemaMmh taratibu sista.....
Kumbe na wewe unapenda mapenzi ya kwenye tamthilia, loh
Hahaaaaaa basi haya.........Ayayayay yani Sitaki hata kusema
Ndo muwe mnatuandikia viujumbe vizuri vizuri siku moja 1, tunapenda kweli yaniHahaaaaaa basi haya.........
Hahaaaa kweli kumfurahisha mwanamke ni kazi kubwa sana, sawa bwana tutafanyaje sanaNdo muwe mnatuandikia viujumbe vizuri vizuri siku moja 1, tunapenda kweli yani
Hahaha sio kazi at all, basi tu mnachukuliaga poaHahaaaa kweli kumfurahisha mwanamke ni kazi kubwa sana, sawa bwana tutafanyaje sana
Hahahaa,kwakweli yeye ni size ya dyudyu kwanza,kwakweli huyu ndio wa kishua wa kwanza kutochagua sura,yule boyfriend wa linah alikuwa mzuri walau,na yule daxx sijui model wa SA hao ndio niliwathaminisha wengine wote hapana kwakweli....Ulimpenda yupi mwenye sura ndefu kama pangaboy haha wema anamambo yaaani choice zake tofauti kabisa alioza kwa dimond mwenye domo kubwa zamani dimond sasa kawa handsome kamdamp kah cijui huwa anapima dudu likiwa kubwa ye poa sura kwake aina maana hata remmy wema angebeba tu