Idris Sultan: Milioni mia sita ziliisha nikashindwa mpaka kulipa kodi nikarudi kwa mamdogo Kimara

Idris Sultan: Milioni mia sita ziliisha nikashindwa mpaka kulipa kodi nikarudi kwa mamdogo Kimara

Kha..yaani kaenda kuzika hela kwenye madini baadala ya kuzika hela kwenye papuchi...yaani mil 600 mie cha kwanza mil400 fixed deposit mil 100 ndinga kali alafu mil 100 hapo nikugegeda papuchi mia moja za million moja moja
Mwisho unapata watoto mia mbili,kila wawili na mama moja,jumlisha mama zao,mzee unaanzisha tu nchi yako.
 
Ningepata hizo hela ningeoa fasta sana! Naimani kwa mwanamke niliye naye now tungekuwa na 1B kwa bank!

Au kama Cash ingepungua basi tungekuwa na viwanja vya kutosha, Biashara sustainable ,nyumba na magari mazuri ya kutembelea by Now.
 
Hamnazo huyu jamaa,Mia sita em,halafu bado ameajiriwa,bado anatumwa?
Akapimwe huyu
 
Hakuna hela mbaya kama hela unayoipata halafu kila mtu ajue hela umeipata kwa bahati na mbaya zaidi uipate ukiwa na umri mdogo.

Hapa katika wote wanaomtukana Idriss , ni wachache sana ukiwapa milioni 600 ambayo kila mtu anajua unayo na umeipata kwa bahati halafu wawe na umri ule idris aliokuwa nao wakati anashinda (21yrs) wangeweza kubaki na chochote kitu.


Kuna watu humu hela zao tu wanazipata kwa siri na hazikai , je hizo za Idriss ambazo hata Nigeria walikuwa wanajua huyu jamaa amepiga mpunga !!! ... unafikiri ni matapeli wangapi, machangudoa wangapi, watoto wazuri kutoka rwanda, south africa , bongo n.k na ndugu wangapi pamoja na matumizi yake binafsi au matamanio vilimshawishi!!

Ni rahisi sana kuhukumu kuliko kufanya
 
Kwa kweli hii interview ya Salama na Idris Sultan ni funzo kubwa kwa vijana. Vijana wengi pale wanapopata pesa za ghafla hupata kiwewe na kufanya maamuzi ya kukurupuka na mwisho kujikuta wakianzisha biashara na miradi bubu.

Pamoja na Idris Sultan kuwaomba BBA wasimpatie pesa mapema ili aweze kujitafakari cha kufanya lakini hiyo haikumsaidia. Idris sultan anasema alipopata milioni mia sita baada ya kufanya vizuri kwenye mashindano ya BBA alimwamini rafiki yake aitwaye Mike wakaanzisha biashara ya madini.

Idris alimuamini rafiki yake huyo na kumuachia asimamie kila kitu alipokuja kushituka milioni mia sita ilikuwa imekwisha. Kwa mujibu wa idris kitu pekee cha maana alichofanyia zile pesa ni kununua gari la shilingi milioni 30.

Baada ya pesa hizo Kwisha alishindwa kulipa kodi kwenye nyumba za akina Ghalib akarudisha vyombo kwa mama yake mdogo aishiye kimara. Akamfuata Ruge Mutahaba na kumuomba kazi ya utangazaji ili aweze kulipa madeni aliyoyapata kutokana na biashara ya madini. Anasema mshahara ukawa unaenda kulipa madeni yeye akawa anaambulia laki tatu tu kila mwezi.

Baadaye alijipanga na kutafuta wawekezaji akaanza biashara ya viatu akainuka tena mpaka kufikia hatua mwaka 2018 aliingiza milioni mia tatu kwa mwaka.

Hakika vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa Idris Sultan na aliyoyapitia.
Msikilize

Masikini akipataaa .......
 
Kwa kweli hii interview ya Salama na Idris Sultan ni funzo kubwa kwa vijana. Vijana wengi pale wanapopata pesa za ghafla hupata kiwewe na kufanya maamuzi ya kukurupuka na mwisho kujikuta wakianzisha biashara na miradi bubu.

Pamoja na Idris Sultan kuwaomba BBA wasimpatie pesa mapema ili aweze kujitafakari cha kufanya lakini hiyo haikumsaidia. Idris sultan anasema alipopata milioni mia sita baada ya kufanya vizuri kwenye mashindano ya BBA alimwamini rafiki yake aitwaye Mike wakaanzisha biashara ya madini.

Idris alimuamini rafiki yake huyo na kumuachia asimamie kila kitu alipokuja kushituka milioni mia sita ilikuwa imekwisha. Kwa mujibu wa idris kitu pekee cha maana alichofanyia zile pesa ni kununua gari la shilingi milioni 30.

Baada ya pesa hizo Kwisha alishindwa kulipa kodi kwenye nyumba za akina Ghalib akarudisha vyombo kwa mama yake mdogo aishiye kimara. Akamfuata Ruge Mutahaba na kumuomba kazi ya utangazaji ili aweze kulipa madeni aliyoyapata kutokana na biashara ya madini. Anasema mshahara ukawa unaenda kulipa madeni yeye akawa anaambulia laki tatu tu kila mwezi.

Baadaye alijipanga na kutafuta wawekezaji akaanza biashara ya viatu akainuka tena mpaka kufikia hatua mwaka 2018 aliingiza milioni mia tatu kwa mwaka.

Hakika vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa Idris Sultan na aliyoyapitia.
Msikilize


Pole.
 
Shilingi milioni mia sita ni hela nyingi sana kama hujawahi kuishika.

Ukiishika tu, inakuwa ndogo.

Kwa sababu mipango na matumizi yako yanabadilika.

Ni watu wachache sana wanaoweza kushika hela bila kubadili lifestyle ghafla.

kwakweli asilaumiwe,kila mtu ajichunguze kama angeweza kukaza[emoji1][emoji1].

yaani hapa nilipo nina waza nyumba kali,gari kali,mavazi makali,halafu kaboooom 1bln nge.

aaaaah,sijui watanishikia wapi!!!!
 
kwakweli asilaumiwe,kila mtu ajichunguze kama angeweza kukaza[emoji1][emoji1].

yaani hapa nilipo nina waza nyumba kali,gari kali,mavazi makali,halafu kaboooom 1bln nge.

aaaaah,sijui watanishikia wapi!!!!
Ukiwa hujawahi kutumia shilingi milioni sitini kwa siku moja, huwezi kuelewa hilo.
 
ukaweli ni kwamba tutamtukana sana Idriss, lkn uhalisia hata iweje huwez sema wema ndie aliespend nae na kumaliza fedha zote!
.
.
Hakuna biashara ya hovyo kama ya madini, yaan ni biashara inayotumia pesa nyingi sana kwa wakati mmoja, ukifanikiwa unatusua, lkn kuna dam zingine hata ufanyaje hupati hela kwenye madini, tuliokulia chuga tunafaham vizur!
.
.
hongera kwake kwa come back! amejifunza vingi, na umri wake bado ni mdogo!!
 
Kwasasa asifanye makosa tena ,Bingwa,Tamthilia,Matangazo yanampa mtonyo mwingi.
 
Kha..yaani kaenda kuzika hela kwenye madini baadala ya kuzika hela kwenye papuchi...yaani mil 600 mie cha kwanza mil400 fixed deposit mil 100 ndinga kali alafu mil 100 hapo nikugegeda papuchi mia moja za million moja moja
Kupanga kwa kutamka ni rahisi sana.

Kwa taarifa yako walio wengi wanaopata pesa ya mkupuo hivyo hujikuta wanaishiwa wakiwa kwenye mipango tu kabla hata ya kuanzisha chohote.

Na hata kama alianzisha biashara ya madini huenda alianzisha kwa kutumi milioni mia moja au hata 60 au 70 tu....na ukimuuliza hizo nyingine zimeishaje wala hana habari.
 
Back
Top Bottom