Mkuu, mie siongei ili mradi au nidanganye iweje? Hiyo nyumba 1 aliyepanga nnaemfaham, nshaishuhudia na n kali sanaaah,
Km kudangany labda huyu mpangaji kanipiga fix kuwa lak 6 kumbe not,
Na yeye ndo kanambia kuwa anazo zingne 2.
Kuhusu dala dala nilisikia kwa mtu mwingne kabisaa tena nae anahusika na mambo ya social media plus kuwa karibu na huyo idrisa, nae pia akanambia kuwa idrisa ana nyumba kigamboni.
Hapo ndo nikaamini kuwa kweli.
Sasa sijui wee unanipinga kwa kipi, ila any way tusibishane maisha n yake, vyovyote vile ilivyo ni juu yake.
Sent from my Infinix X652C using
JamiiForums mobile app