Idris Sultan: Wema sio mzuri kwenye mambo ya fedha

Idris Sultan: Wema sio mzuri kwenye mambo ya fedha

Idd asiumie sana... Inawezekana Wema keshabadilika... Huwezi jua

Jr[emoji769]
Kinyonga anaweza badili rangi kadili awezavyo ila ngozi ya bidamu haiwezi fanya hivyo, sambamba na tabia.
 
Baada ya wema sepetu maarufu Kama nyumbu kumtambulisha mwanaume wake anayesemekana kwamba ni rubani, idris sultan ambaye aliwahi kutoka na mwanamke huyo amemtahadharisha mpenzi huyo wa wema kwamba awe makini kwa maana nyumbu sio mzuri kwenye maswala ya fedha .
Ni bingwa wa kuzitapanya
 
Milion 500 ya iddy ilitafunwa km laki tano vile.

Kwanza sio milioni 500, ni milioni 500 toa kodi.

Pili, kati ya huyo mshindi wa big brother na Wema nani alimuacha mwenzie? Namaanisha kwani Wema alimwacha Inamaana Wema alimwacha mshindi wa bug brother baada ya pesa kwisha?

Wema hebu jiongeze uoelewe utulie, sio wote wanaekutakia mema na mmoja wapo ni huko ex wako.
 
Kwanza sio milioni 500, ni milioni 500 toa kodi.

Pili, kati ya huyo mshindi wa big brother na Wema nani alimuacha mwenzie? Namaanisha kwani Wema alimwacha Inamaana Wema alimwacha mshindi wa bug brother baada ya pesa kwisha?

Wema hebu jiongeze uoelewe utulie, sio wote wanaekutakia mema na mmoja wapo ni huko ex wako.

Wema Ndio alimuacha. Kifupi alikuwa na idris bado akawa anasagana.
 
We bwege ulie mchumbia Wema Kama upo if repeat after me the following " INNAH LILAH WA INAILAHYI RAJUUN"
 
Danzak amefeli wapi[emoji44]

Kwa jinsi navyoona ni "fame induction" Kama mnavyojua bogus alivyo na kismati Cha umaarufu

Hata Mimi nikizipata namkojolea ili nipate kuwa maarufu tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Eti bogus . Jamaa ameona nyumbu Ana Kiu ya ndoa akaona Aingie na Gia hiyo hiyo ili ampate
 
Yeye ndo anawasaga au wao ndo wanamsaga? Waswahili mna kazi.nyie

Wolper na Diana ni wanaume. Aunty Ndio cjajua km anasaga na kusagwa au lah.

Mbona Diana alishahongwa hela za mdada mmoja hadi huyo don wa mirungi akafilisika Moshi Kwa kumkoboa vizuri. Yani alipangiwa hadi nyumba wakaishi Kama mke na mume ndugu wakaongea weeee hadi wakachoka wakaachana Kwa yao.
 
Nasikia wolper anahonga Sana. Halafu mange alipost mahali wolper anakoboa Hadi vidume. NI kweli? But rafiki was karibu was Wema anasema Wema ndio kidume.
Wolper na Diana ni wanaume. Aunty Ndio cjajua km anasaga na kusagwa au lah.

Mbona Diana alishahongwa hela za mdada mmoja hadi huyo don wa mirungi akafilisika Moshi Kwa kumkoboa vizuri. Yani alipangiwa hadi nyumba wakaishi Kama mke na mume ndugu wakaongea weeee hadi wakachoka wakaachana Kwa yao.
 
Back
Top Bottom