Idriss Sultan ajiweka hatarini

Idriss Sultan ajiweka hatarini

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Inaujulikana kwamba wasanii na type hizo kwa nchii lazima ujiweke karibuna DAB,usifie wanachosifia DAB,mfalme na wapiga vigelegele wake
Mfano ni suala la CAG anayepata misukosuko kwa kuonyesha upotevu wa TRILIONI 2.4 ,Unaona jinsi nzi wa kijani wanavyoshangilia bila kujua huo ndiyo msumari wa mwisho wa kuletewa fedha na misaada mingine toka kwa wahisani allias mabeberu maana hakuna watu wanaotaka kutoa hela yao iende sehemu ikatapanywe bila kusimamiwa,pamoja na mapungufu yote at least CAG wa nchi akionekana yupo huru inaongeza hata heshima ya nchi sasa unavuruga kote kuanzia democracy,haki za binadamu ,hadi CAG?for God sake jamani.
Watu huwa wanashangilia mtu kalala kaamka anasema hii bilioni 45 kajenge chato,yupo ziarani watu wakishangilia unasikia nitatoa bilioni 50 ifanye hiki. KAZI YA BUNGE LA BAJETI NI NINI?humohumo zinatoweka nyingine hazina hata mahesabu.GOD BLESS YOU PROFESA ASSAD,we ni tofauti na maprofesa wa hovyo tulionao awamu hii
Na wewe Idrissa umefanya la maana sana ila subiria mziki wa kina le mtumbozi na DAB.
idris 2.PNG

idris.PNG
 
HIVI KUNA WATU MNA O COMMENT HAPO JUU MNA IQ NDOGO HIVYO? MMENIELEWA NILIVYOWASILISHA HUO UZI? I thought huku ndani ni ma great thinkers watupu
 
HIVI KUNA WATU MNA O COMMENT HAPO JUU MNA IQ NDOGO HIVYO? MMENIELEWA NILIVYOWASILISHA HUO UZI? I thought huku ndani ni ma great thinkers watupu
Unakosea.Ungeacha watiririke kadiri ya uono wao ili tupate takwimu vizuri ya 4:1 NB;Hiyo ni zaburi inayohusu wokovu isihusishwe na lolote.
 
We nawe ni Great thinker kweli unaleta majungu. Tumesoma ndio. WEWE NI MPINZANI WA mkuu, so mengine ni majungu tu huna hata uhakika nayo na its not our Business.
HIVI KUNA WATU MNA O COMMENT HAPO JUU MNA IQ NDOGO HIVYO? MMENIELEWA NILIVYOWASILISHA HUO UZI? I thought huku ndani ni ma great thinkers watupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumishi wa serikali ndio mnaogopa..hata mitandaoni ham comment chochote hata whatsapp hamjibu text kisa mnahisi mnafuatiliwa [emoji119][emoji119][emoji119] hapo kibaya kipi kafanya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaaani mtu kutoa maoni yake ndo kajiweka hatarini ila kwa awamu hii inawezekana kwa maaana kuna mungu jitu
 
Back
Top Bottom