Kwa kibakuli kazimika sasa harmo ndo kafunika [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vibakuli vinajulikana.Siku hizi Jamaa wa Madale wakizidiwa hoja wanakimbilia kusema unapumuliwa ili wajitetee na kuamisha upepo.
Ila wote tunajua Harmorapa amefunika majamaa wote wa Madale.
Nahisi wanampakata, utadhani sio m Arachuga bhana!Idris yan anakaaga kigasho
gasho huyu jamaa
Comedian au CHOCCO??Idris ukimchukulia serious lazima udate by the way yule ni comedian
wewe unafikiri unapewa kama zilivyo hapo kuna kodi kuna mawakala kuna vitu kibao so usizitaje kizembeSema idrisa anapenda kufatilia sana wenzake Sijui halionagi aibu.....lenyewe lilishinda 500M lakini hatujui hata zilienda wp mbona wt wametulia tu linauzi sana
Sasa we ndo unaonekana umevaa jiji..wakuja utamjua tu.
Eti katoto jitu zima lile eti comediam.
Marindaless utawajua tu
Kweli Mkuu. Sifa za kijinga hazifaiSidhani kama hata hao wamarekani hukurupuka tu. Nahisi kuna utaratibu hasa wote mkiwa ni watu wenye influence kubwa kwenye jamii. Kibongobongo hatujafikia uhuru wa namna hio. Angemconsult kuwa anataka kufanya stunt ili harmonize aaprove. We mtu hamjuani,hamna urafiki, maybe hamna mazoea yeyote halafu siku moja uletee upuuzi wa kiki namna hio. I'll chop ypur head man!
Eti awe nguli. Utasubiri sana. Huyo kuongea kawaida tu anaboa..na accent ya kijijini kwao uko.Ofcoz anatamani awe comedian nguli but kwa wabongo kukuelewa ni ngumu coz kama ukiwa on the stand comedian hana mipaka ya nani amuongelee sema sisi kwetu ni kitu kipya sana ndio maana tunahemukwa kihisia na kujibu kwa matusi kama alivyofanya hamonise. Juzi hapa stan bakora kwenye parody ya video ya baraka da price alijaribu kujipaka mkaa usoni ili kufanania na baraka coz ni.mweusi. but baraka povu lilimtoka sana alikujua kadhihakiwa but No! We jaribu kumfanyia mpoki hvy uone kama atatoa povu wala coz yeye anaelewa comedy ilivyo. Harmonize alitakiwa tu afurahi na yeye sio kujibu. Inshort wasanii wa bongo hawawezi kuishi USA maana comedians wa kule wanafunguka kweli. Watapigana kila siku.
Unadhani kujenga ghorofa dar ni jambo la kitoto au??ile gorofa ilikuwa sio yake? wanaume wa dar nijibuni maana nyie mnajuagi maisha ya watu wakat yenu yanawashinda.
[emoji23][emoji23][emoji23]duuuh hilo povu najua kwa kua kasemwa mtu wa wasafi [emoji13][emoji13][emoji13]Comedian au CHOCCO??