ID's kongwe JamiForums ndo habari ya mjini!!

Hv mnavotongoza madem wa jf mnakuwa mmevutiwa na upangiliaji wa paragraph au nn? Manake Instagram tunakuwa tumeona picha
Jf ni kama kubet upoo hapoo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa. Tuyaache tu dada. Watu wanajua kucheza na hizi mitandao.

[emoji23][emoji23][emoji23] sitaki mieeeee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akasifia wenye I'd mpya hii ndio jf bwana
Sana yaani dada. [emoji23][emoji23][emoji23]

Na hapa usishangae akaja mungine na uzi wa kinyume cha huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…