ID's kongwe JamiForums ndo habari ya mjini!!

ID's kongwe JamiForums ndo habari ya mjini!!

Mtapata tabu sana kulike na kujibebisha kwa wabebez hampati kitu I'd kama kongwee unawin PM freeeeeeee[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Eti na mie ID yangu nnafaa kuitwa mkongwe au!? Embu kabisaidie kuchungulia. Ili nijue mapema kama nnafaa kukuzamia DM[emoji38][emoji38]
 
Wanasema mtu mzima dawa!

ila trust me, kuna wajinga wamezeeka. Next week, I'm turning 18 years old!

I can't wait!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Haya ndio tunayazungumzia na ndugu yangu Hajar insta babe mambo ya jf ni vice versa
Hahahaaa. Kuna mmoja nilimsoma juzi id yake ina miaka zaidi ya mitano ila akasema alijiunga humu akiwa na miaka 16 sijui 17 nikasema Doooh.

Jf ni zaidi ya tuijuavyo. 😂😂
 
Hahahaaaa. Wakuta akiulizwa maswali anamuuliza kwanza baba nijibuje hapa akishajibu unajua mzeee kuumbe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jf idumu jamaani Dada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Idumu idumu jf kiboko
 
Upo dadaangu mzuri?
Acha tu Dada. Mie najionea uzee sijui ujana wa Id si lolote kwani kwa fake Id hizi mambo huwa ni kinyume kabisa.

Hatukatai wazee wapo wenye Id kongwe ila na watoto pia wapo.

Na wenye id mpya watoto wapo na wakubwa pia wapo tena wanajitambua kuliko kawaida Dada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Haya ndio tunayazungumzia na ndugu yangu Hajar insta babe mambo ya jf ni vice versa
sema haya mambo ndio yanafanya JF iwe tofauti na mitandao mingine ujue ...maana ingekuwa watu wanatumia ID za ukweli ingekuwa haina tofauti na facebook au insta 😂
 
Back
Top Bottom