IDU kuwasemea CHADEMA ni dharau kwa Watanzania na kutaka kutuparaza vidole machoni

IDU kuwasemea CHADEMA ni dharau kwa Watanzania na kutaka kutuparaza vidole machoni

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Hivi hawa IDU wana mamlaka gani ya kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania? Wao ni akina nani?

Tanzania ni dola huru na nchi ambayo inajitawala. Kwa nini watoe Tamko la kuwasemea Chadema mambo ambayo hayana mashiko?

Ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT imetamka bayana kuwa mamlaka ya kujitawala Watanzania yapo mikononi mwao, ndio maana huwa wanachagua ni serikali gani ikae madarakani. Kwa nini IDU waingilie mamlaka ya Watanzania?

Wao ni akina nani kuhoji juu ya Tume ya Uchaguzi, matokeo ya uchaguzi na kutaka tuwekewe vikwazo?

Kwani tume ya uchaguzi, matokeo ya uchaguzi na serikali iliyopo vimepatikama kinyume na katiba ya JMT? Kama ni urafiki na Chadema waendeleze urafiki wao huko, lakini sio kuingilia Sovereignity yetu.
 
Ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT imetamka bayana kuwa mamlaka ya kujitawala Watanzania yapo mikononi mwao, ndio maana huwa wanachagua ni serikali gani ikae madarakani. Kwa nini IDU waingilie mamlaka ya Watanzania?
Wewe huoni IDU wameona kwamba hiyo uliyoinukuu hapo juu haikufuatwa. Sikutalka kukujibu mtu kama wewe, lakini nimeshindwa kuvumilia ukilaza wako na mada za kipuuzi hizi.
 
Wewe huoni IDU wameona kwamba hiyo uliyoinukuu hapo juu haikufuatwa. Sikutalka kukujibu mtu kama wewe, lakini nimeshindwa kuvumilia ukilaza wako na mada za kipuuzi hizi.
We mjinga kama haikufuatwa mbona tulipiga kura?
 
Mlipiga kura na nani. Kupiga kura ndio kithibitisho cha kutokuwepo utawala ambao watu hawakuuchagua?

Sipendi kuendeleza majibizano na mpuuzi kama wewe. Nenda kafilie mbali.
Wewe mpumbavu usie na akili kwani hapa Tanzania huwa tunapata vipi serikali na viongozi? Tunapiga kura kila baada ya miaka mitano
 
Wewe huoni IDU wameona kwamba hiyo uliyoinukuu hapo juu haikufuatwa. Sikutalka kukujibu mtu kama wewe, lakini nimeshindwa kuvumilia ukilaza wako na mada za kipuuzi hizi.
IDU wakawaoe chadema na washabiki wao kisha wawapeleke huko kwao, haki yetu tuaipigania sisi wenyewe na tunayo tayari,
Wakiona huruma saana wawape kazi huko kwao.
 
Mkuki kwa nguruwe....

Wanachokifanya IDU hakina tofauti na walichokifanya polisi & TISS cha kuwaweka madarakani viongozi tusiowachagua.
Tena wananchi tunataka kuwe na IDU hata 10 kabisa.

Payback time goddamn it!
 
Mkuki kwa nguruwe....

Wanachokifanya IDU hakina tofauti na walichokifanya polisi & TISS cha kuwaweka madarakani viongozi tusiowachagua.
Tena wananchi tunataka kuwe na IDU hata 10 kabisa.

Payback time goddamn it!
IDU ina mamlaka gani kuingilia masuala ya Tanzania?
 
Back
Top Bottom