IDU kuwasemea CHADEMA ni dharau kwa Watanzania na kutaka kutuparaza vidole machoni

IDU kuwasemea CHADEMA ni dharau kwa Watanzania na kutaka kutuparaza vidole machoni

Bwege ni wewe unayedhani umeeleweka.Mara IDU wasitusemee watanzania,mara CDM



BWEGE NI WEWE. Mara IDU wasiingilie mambo yetu,mara wasiwasemee CDM,mara urafiki wao na CDM wasituingilie mambo yetun.k. Huoni unavyojichanganya.

CDM ni sehemu ya watanzania,wana haki ya kwa na rafiki kama nyie ccm na wachina.Mbona CDM hawajalalamikia urafiki wenu na wala nyoka hao? Na kama mnadai mko huru mnalalamikia nini wanapohoji mambo ya msingi ambayo nyinyi ni sehemu baadaaini kuridhia? Au mliridhia kimangungo? Ukipenda boga penda na ua lake!
Sawa, urafiki wenu ndio iwe sababu ya kuingilia mamlaka ya watanzania? Kujua kusoma sio kuelewa andiko.
 
Hivi hawa IDU wana mamlaka gani ya kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania? Wao ni akina nani?

Tanzania ni dola huru na nchi ambayo inajitawala. Kwa nini watoe Tamko la kuwasemea Chadema mambo ambayo hayana mashiko?

Ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT imetamka bayana kuwa mamlaka ya kujitawala Watanzania yapo mikononi mwao, ndio maana huwa wanachagua ni serikali gani ikae madarakani. Kwa nini IDU waingilie mamlaka ya Watanzania?

Wao ni akina nani kuhoji juu ya Tume ya Uchaguzi, matokeo ya uchaguzi na kutaka tuwekewe vikwazo?

Kwani tume ya uchaguzi, matokeo ya uchaguzi na serikali iliyopo vimepatikama kinyume na katiba ya JMT? Kama ni urafiki na Chadema waendeleze urafiki wao huko, lakini sio kuingilia Sovereignity yetu.
Acha kutoa pvu
 
Msaada umetolewa na France kwa jina la EU . Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]
Jaduong siasa ya Tanzania unaijua vizuri,watanzania wameikataa Chadema msilazimishe. Kama wangekuwa wanaitaka kila mtanzania asingekaa kimya.
 
Jaduong siasa ya Tanzania unaijua vizuri,watanzania wameikataa Chadema msilazimishe. Kama wangekuwa wanaitaka kila mtanzania asingekaa kimya.
@Chagu. Hivi waTz kama wangeikataa Cdm mngetumia nguvu zote hizo za vyombo vya dola na vya maamuzi ?!. Kwani ndiyo mara ya kwanza tumefanya uchaguzi wa vyama vingi ?!. Alichofanya ndugu yetu haimaanishi kuwa anakubalika . Kikubwa waTz hawapendi fujo . Tunategemea maendeleo kama ulaya kwa kuwa wapinga maendeleo wameenguliwa.
 
Boss mpenda haki nimeeleza vizuri tu.
Sijawahi ona hata siku moja mwizi akimsuta mwinzi mwezie, ama kweli wahenga na misemo yao, ahisifue mvua imemnyea.
IMG-20190721-WA0001.jpg
Screenshot_20201210-195652.jpg
ROBERTumma%2020190307_111740_1601885902889.jpg
 
@Chagu. Hivi waTz kama wangeikataa Cdm mngetumia nguvu zote hizo za vyombo vya dola na vya maamuzi ?!. Kwani ndiyo mara ya kwanza tumefanya uchaguzi wa vyama vingi ?!. Alichofanya ndugu yetu haimaanishi kuwa anakubalika . Kikubwa waTz hawapendi fujo . Tunategemea maendeleo kama ulaya kwa kuwa wapinga maendeleo wameenguliwa.
Jaduong kwa nafasi ya urais mlijua hamuipati sababu Ccm wanakubalika,nafasi za ubunge mlijaribu na mmeshindwa kihalali,kama sio halali nendeni mahakamani.
 
Muacheni huyo mpuuzi na lithred lake limdodee msichangie chochote anafanya hivyo kutuprovoke .
 
Back
Top Bottom