Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #41
Sawa, urafiki wenu ndio iwe sababu ya kuingilia mamlaka ya watanzania? Kujua kusoma sio kuelewa andiko.Bwege ni wewe unayedhani umeeleweka.Mara IDU wasitusemee watanzania,mara CDM
BWEGE NI WEWE. Mara IDU wasiingilie mambo yetu,mara wasiwasemee CDM,mara urafiki wao na CDM wasituingilie mambo yetun.k. Huoni unavyojichanganya.
CDM ni sehemu ya watanzania,wana haki ya kwa na rafiki kama nyie ccm na wachina.Mbona CDM hawajalalamikia urafiki wenu na wala nyoka hao? Na kama mnadai mko huru mnalalamikia nini wanapohoji mambo ya msingi ambayo nyinyi ni sehemu baadaaini kuridhia? Au mliridhia kimangungo? Ukipenda boga penda na ua lake!
Katika EU labda ni hao wa faransa walio na agenda yao , waliobaki wanawachukulia kama Sithole'sEu wana jumla ya nchi ngapi? Usa na kwingineko kuna malalamiko?
Mbona juzi wametoa bil 84?Katika EU labda ni hao wa faransa walio na agenda yao , waliobaki wanawachukulia kama Sithole's
Andiko lisilo na hoja ni kioja!Sawa, urafiki wenu ndio iwe sababu ya kuingilia mamlaka ya watanzania? Kujua kusoma sio kuelewa andiko.
Msaada umetolewa na France kwa jina la EU . Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]Mbona juzi wametoa bil 84?
Kaa kimya kama unaona halina hoja,son of gun.Andiko lisilo na hoja ni kioja!
Acha kutoa pvuHivi hawa IDU wana mamlaka gani ya kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania? Wao ni akina nani?
Tanzania ni dola huru na nchi ambayo inajitawala. Kwa nini watoe Tamko la kuwasemea Chadema mambo ambayo hayana mashiko?
Ibara ya 8(1)(a) ya katiba ya JMT imetamka bayana kuwa mamlaka ya kujitawala Watanzania yapo mikononi mwao, ndio maana huwa wanachagua ni serikali gani ikae madarakani. Kwa nini IDU waingilie mamlaka ya Watanzania?
Wao ni akina nani kuhoji juu ya Tume ya Uchaguzi, matokeo ya uchaguzi na kutaka tuwekewe vikwazo?
Kwani tume ya uchaguzi, matokeo ya uchaguzi na serikali iliyopo vimepatikama kinyume na katiba ya JMT? Kama ni urafiki na Chadema waendeleze urafiki wao huko, lakini sio kuingilia Sovereignity yetu.
KimaWe mjinga kama haikufuatwa mbona tulipiga kura?
Jaduong siasa ya Tanzania unaijua vizuri,watanzania wameikataa Chadema msilazimishe. Kama wangekuwa wanaitaka kila mtanzania asingekaa kimya.Msaada umetolewa na France kwa jina la EU . Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787][emoji85]
So wewe ni daughter of the gun?Kaa kimya son of gun.
@Chagu. Hivi waTz kama wangeikataa Cdm mngetumia nguvu zote hizo za vyombo vya dola na vya maamuzi ?!. Kwani ndiyo mara ya kwanza tumefanya uchaguzi wa vyama vingi ?!. Alichofanya ndugu yetu haimaanishi kuwa anakubalika . Kikubwa waTz hawapendi fujo . Tunategemea maendeleo kama ulaya kwa kuwa wapinga maendeleo wameenguliwa.Jaduong siasa ya Tanzania unaijua vizuri,watanzania wameikataa Chadema msilazimishe. Kama wangekuwa wanaitaka kila mtanzania asingekaa kimya.
Sijawahi ona hata siku moja mwizi akimsuta mwinzi mwezie, ama kweli wahenga na misemo yao, ahisifue mvua imemnyea.Boss mpenda haki nimeeleza vizuri tu.
Jaduong kwa nafasi ya urais mlijua hamuipati sababu Ccm wanakubalika,nafasi za ubunge mlijaribu na mmeshindwa kihalali,kama sio halali nendeni mahakamani.@Chagu. Hivi waTz kama wangeikataa Cdm mngetumia nguvu zote hizo za vyombo vya dola na vya maamuzi ?!. Kwani ndiyo mara ya kwanza tumefanya uchaguzi wa vyama vingi ?!. Alichofanya ndugu yetu haimaanishi kuwa anakubalika . Kikubwa waTz hawapendi fujo . Tunategemea maendeleo kama ulaya kwa kuwa wapinga maendeleo wameenguliwa.
Nonesense.Sijawahi ona hata siku moja mwizi akimsuta mwinzi mwezie, ama kweli wahenga na misemo yao, ahisifue mvua imemnyea.View attachment 1655474View attachment 1655477View attachment 1655478
Watch your mouth.Mleta mada kwanza wewe kuparazwa vidole vya macho umependelewa sana.
Ni lini nimeshainua mdomo wangu kuongea na wewe?Watch your mouth.
Kuongea sio mpaka unyanyue hilo bakuli lako,hata maandishi huwa yanaongea.Ni lini nimeshainua mdomo wangu kuongea na wewe?
Mataga mbona umeme unakatika sana siku hizi?Kuongea sio mpaka unyanyue hilo bakuli lako,hata maandishi huwa yanaongea.