Idugunde nikihamia CHADEMA nitaleta mabadiliko makubwa sana. CHADEMA wapatapa ofisi mpya na utapeli utayeyuka

Idugunde nikihamia CHADEMA nitaleta mabadiliko makubwa sana. CHADEMA wapatapa ofisi mpya na utapeli utayeyuka

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Napenda mabadiliko ya kweli. Sipendi uswahili wa kiswahili. Yaani porojo zisizofaa.

Mara mwanaChadema anachangisha michango kwa kutumia akaunti yake ya M pesa nihakikisha inakufa.

Nitahakikisha pesa za umma haziliwi hovyo na tunapata ofisi ya Ghorofa moja.

Nitahakikisha poroja za Twita hazichukui nafasi kwa vijana wa Chama hata kama wana njaa namna gani.
 
Napenda mabadiliko ya kweli. Sipendi uswahili wa kiswahili. Yaani porojo zisizofaa.

Mara mwanaChadema anachangisha michango kwa kutumia akaunti yake ya M pesa nihakikisha inakufa.

Nitahakikisha pesa za umma haziliwi hovyo na tunapata ofisi ya Ghorofa moja.

Nitahakikisha poroja za Twita hazichukui nafasi kwa vijana wa Chama hata kama wana njaa namna gani.
Anza kwa wazinzi wenzio huko CCM mnakohamasishana kutiana ili mzaliane ndipo uje kwa wengine.
 
Kwani Chadema Wana dawa za magonjwa ya akili?
 
je wajua kuwa baba yake olengai Ole Sabaya ameliingizia taifa hasara ya mil 900?
ni baada ya kuwafukuza watu kinyume cha sheria huko serengeti alipokuwa DC?
BWATA NA HILI NALO BADALA YA KUBWEKA NA TAARAB ZA BI KHADIJA
Chanzo : Jamhuri la jana
Pumbafu
 
Mshika mawili, moja humponyoka! Mpiganie kwanza Jenerali Lengai Ole Sabaya atoke jela. Hayo mengine utayafanya baadaye. Ni ushauri tu lakini.
Yote yanawezekana kwa pamoja,tukomeshe uhalifu ndani ya chadomo?
 
Anza kwanza kuhamia kwa mumeo tuone atakavyofanikiwa.
 
Back
Top Bottom