Idugunde: Tusipotoshe umma wafuasi na wanachama wa CHADEMA hawatetei majambazi wala uhalifu. Criminal justice must prevail

Idugunde: Tusipotoshe umma wafuasi na wanachama wa CHADEMA hawatetei majambazi wala uhalifu. Criminal justice must prevail

Jambazi hana haki yoyote tuache siasa za majitaka na binafsi ninaposikia jambazi kauawa bila kujalisha mazingira lilivyokufa moyoni napata amani kujua kwamba tatizo limeondolewa.

Hata Osama aliliwa na familia yake alivyouliwa hivyo hakuna kifo kisicho na maumivu kwa wafiwa lakini kifo cha jambazi ni furaha sana kwa wapenda amani.

Tusiwajengee utamaduni wahalifu waamini mahakamani, gerezani au polisi ni mahali salama kwako. Mhalifu akifikishwa polisi akitoka ajute na akatubu na akitoka gerezani vivyo hivyo
Ni kweli CCM inamiliki Mazuzu lakini wewe umepita viwango vya Uzuzu.
Kwako Polisi akitamka Fulani ni jambazi unapitisha bila kuhoji? Leo Polisi wakisema Tafàkari yetu ameuawa sababu ni jambazi na Sisi tuandamane kupongeza maana justification ya ujambazi wanayo Polisi? Polisi waliua yule kijana wa Mtwara Kwa sindano ya sumu wakimtuhumu ujambazi, mbona hatukukuona unawatetea humu kwamba wamepunguza ujambazi Mtwara?
Acha kucheza na uhai wa wenzio kama hutaki wa kwako uchezewe.
 
Tatizo lililopo ni kenye adhabu ndogo na rushwa iliyokithiri katika mahakama zetu.....Hali inayowafanya waharifu waone huko ni sehemu salama kwao..........

Siungi mkono mauaji ya watuhumiwa lakini inauma sana kumuona mtu aliyemdhuru au kukudhuru na kuchukua mali zako baada ya muda unamuona mtaani akidunda........

Mimi nadhani turekebishe mifumo yetu ya kimahakama na ziwekwe sheria Kali zaidi dhidi ya waharifu.........
Naomba nikwambie Wazi kuhusu hili tukio la Serengeti. Silaha iliyokuwa inatafutwa ilikuwa ikihisiwa Huyo Mzee anaitumia kwenye uwindaji haramu na wenzake na si ujambazi. Wameitafuta silaha wameikosa wameua wahusika ili wasiendelee kuwinda. Hakuna rekodi yoyote wala tuhuma ya ujambazi Kwa Mzee Simon kabla ya kuuawa. Sarakasi za kukusanya Bodaboda kuunga mkono mauaji na kusema Bodaboda wamecjoshwa na ujambazi ni Sanaa za kishamba.
Wanaacha Majangiri wanaoua Tembo Kila siku wanatafuta wawindaji wanaotafuta mboga na àmbao hawana ushahidi wowote dhidi Yao maana hawajawakuta hata na ngozi ya Swala.
 
CCM wanaunga mkono ukatali wowote unaofanywa na polisi, maana wanajua watu wakiwa na hofu na vyombo vya dola, ni uhakika wa wao kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Kwahiyo huwezi kuona CCM yoyote kuhoji ukatali wa polisi kwani wanajua ukaaji wao madarakani wa kutumia vyombo vya dola, ndio umepelekea vyombo vya dola kufanya ukatali bila kuhojiwa.

Iwapo CCM itaendelea kukaa madarakani kwa shuruti huku wananchi wakiogopa mafungamano ya CCM na vyombo vya dola, basi vyombo vya dola vitafanya ukatali wowote watakao bila kuhojiwa. Bila machafuko tusitegemee mifumo hii michafu kubadilika.
Shida inaanzia kwa Polisi wenyewe.
Screenshot_20220725-112437.jpg
 
We jamaa unanikwaza sana kumhusisha hayati JPM na uonevu. Lini JPM alipuuza kero za wananchi walionewa? Acha zako.
[emoji23][emoji23]Kuna watu wana stress sana bila kumtaja jpm, na mmoja wapo ni tindo
 
Back
Top Bottom