IEBC wadai Wakenya 6,553,858 walipiga kura

IEBC wadai Wakenya 6,553,858 walipiga kura

Sawa. Huku bongo tunajenga chuki kwa kuteua wababe wa upinzani kuwa wakuu wa mikoa. Tunajenga chuki na uongozi wa kujikomba. Tunaandaa mazingira mabovu ya kutotawalika. Sipati picha, uchaguzi wa 2020 utakuwaje? Kenya bado haijatoa somo kwa viongozi wa Tanzania walipo madarakani sasa. Badala ya kujifunza, wao wanaandaa bomu! Mungu tunusuru na kiama kijacho.
Hapana acha kije, Mungu kama aliwafundisha Mitume wake kwa kuwaadhibu ili mradi tu imjue yeye kuwa ndie Niko ambaye Yuko!! Itakuwa kwetu sisi, ambao watawala wameshupaza shingo, acha zivunjike. Kwa walio wa Kristo yaani wale wanaona maisha ya duniani ni kumchukiza Mungu, na wameamua kuishi kwa ajili ya Kristo, kwao kufa na faida na kuishi ni Kristo!!
 
Sawa. Huku bongo tunajenga chuki kwa kuteua wababe wa upinzani kuwa wakuu wa mikoa. Tunajenga chuki na uongozi wa kujikomba. Tunaandaa mazingira mabovu ya kutotawalika. Sipati picha, uchaguzi wa 2020 utakuwaje? Kenya bado haijatoa somo kwa viongozi wa Tanzania walipo madarakani sasa. Badala ya kujifunza, wao wanaandaa bomu! Mungu tunusuru na kiama kijacho.
Mambo ya bongo ya ache kama yalivyo kwa kuwa yako mikononi mwa Jehovah tayari anayafanyia kazi. Wakati wake utakapofika majibu yake utayaona mubashara bila chenga. All in all be blessed for your concern
 
Kama una mawazo ya upinzani mwaka 2020 kushika dola unapoteza muda kifo chake kilichafika
Endelea kuota mchana, kama Mungu asivyotaka kumuondoa Shetani wakati uwezo anao. Hivi hufikilishi hata kichwa chako kidogo!! Sasa huyo unaemtegemea kuua upinzani, tena wakati unaanzishwa alikuwa shule, pole sana. Nakuambia haitakuja kutokea, mpaka Yesu arudi.
 
Forget that mkuu,

Guess what?
Sikumchagua jpm but2020 nitamchagua JPM apige kazi miaka mitano mingine .
Na Watanzania wengi watafanya hivyo.
Unamlisha nani ujinga wako, wewe ni nani, mbona hutuambia ulimchagua nani? Kura ushaambiwa ni siri, na tena hata ukiletewa karatasi yako uliyopigia kura hautaitambua abadani. Leo unakuja na hoja mufilisi kabisa, eti nyoko nyoko kat....kule.
 
Unamlisha nani ujinga wako, wewe ni nani, mbona hutuambia ulimchagua nani? Kura ushaambiwa ni siri, na tena hata ukiletewa karatasi yako uliyopigia kura hautaitambua abadani. Leo unakuja na hoja mufilisi kabisa, eti nyoko nyoko kat....kule.
Machungu.
 
Voter turn outs in his strongholds beg to defer with your account.

And then as we know, our dear Kenya is a country of fanatical followers rather than moderates. They even had the more reason to vote given that it's someone from the other political divide who asked voters to abstain from voting. why would they choose not to vote and in the event appear to have followed their arch enemy's calling?

Kaka am sure you know the dynamics of Kenyan politics, trust me without a competition against Odinga, voters from larger Central normally goes into apathy. They usually vote against him rather than vote for whoever is of their preference.

This was one of the arguments between NASA leaders when they were selecting their flag-bearer. The issue by Kalonzo and team back then was if they select Raila, then they should be ready to deal with massive turnout amongst Uhuru's supporters, but if they choose someone less abrasive, Central will slump into apathy and only a handful diehards would bother.
 
yani hao waliojitokeza kupiga kura hawafikii hata idadi ya watu waliompigia kura odinga kwenye ule uchaguzi uliofutwa!!
ama kweli watu wameamua kususa na inaelekea kuwa hata baadhi ya wapiga kura wa uhuru na jubilee nao wamesusa...!
 
Endelea kuota mchana, kama Mungu asivyotaka kumuondoa Shetani wakati uwezo anao. Hivi hufikilishi hata kichwa chako kidogo!! Sasa huyo unaemtegemea kuua upinzani, tena wakati unaanzishwa alikuwa shule, pole sana. Nakuambia haitakuja kutokea, mpaka Yesu arudi.
Yesu harudi tena mkuu
 
Unamlisha nani ujinga wako, wewe ni nani, mbona hutuambia ulimchagua nani? Kura ushaambiwa ni siri, na tena hata ukiletewa karatasi yako uliyopigia kura hautaitambua abadani. Leo unakuja na hoja mufilisi kabisa, eti nyoko nyoko kat....kule.
Wewe unamtaja Yesu alafu unatukana unaetofautiana nae nyoko nyoko. Ndio nn sasa, hovyo.
Acha ushamba.
 
Wewe unamtaja Yesu alafu unatukana unaetofautiana nae nyoko nyoko. Ndio nn sasa, hovyo.
Acha ushamba.
Mshamba na limbukeni ni wewe, unaleta ujinga kwenye mambo ya msingi.
 
Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati amedai kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba Wakenya wapatao 6,553,858 wamejitokeza na kupiga kura. Hii idadi imejumuishwa kutoka kwa maeneo bunge 267 nchini.

Awali alitangaza kuahirisha uchaguzi kwenye gatuzi nne za mkoa wa Nyanza baada ya wafuasi wa Raila wamekinukisha kule na kuvuruga shughuli za upigaji wa kura kufanyika. Hivyo ameahirisha hadi Jumamosi.

------------------------------------------------

IEBC Chairman Wafula Chebukati has said in a tweet that the latest actual figures from 267 constituencies show 6,553,858 Kenyans turned out to vote in the repeat presidential poll.

Mr Chebukati also posted on his Twitter handle that a comprehensive update on the elections results would be given Friday morning as the commission continues to receive more data.

Earlier in a press briefing at the Bomas of Kenya, the IEBC national tallying centre, Mr Chebukati said that 35,564 polling stations opened for voting Thursday morning, representing 87 percent of all the 40,883 polling centres in the country.

OPENING MESSAGE

Mr Chebukati also said that 5,319 polling stations did not send an opening message, indicating that either no voting took place or they had no access to network.

At the same time, Mr Chebukati said that voter turnout was estimated at 48 percent by 5pm Thursday.

In the four counties of Kisumu, Migori, Homa Bay and Siaya where voting was put off until Saturday due to protests staged by Nasa supporters, Mr Chebukati said that the commission will make decision on what happens next should challenges experienced in those areas still persist.

There were concerns that a number of residents who are Seventh-day Adventists may not come out to vote as Saturday is their day of rest.

But Mr Chebukati said that IEBC cannot keep extending voting after Saturday for areas that did not vote.
Chebukati: Over 6 million voters turned out


TUME DHALIMU LIITWALO IEBC LINAFAA KUCHUKULIWA HATUA, CHEBUKATI NA WENZAKE 200 WAFUNGWE JELA KWA UDHALIMU MKUBWA TULIOUSHUHUDIA HATA BAADA YA MAHAKAMA KUWAPA AHUENI WAKARUDIE UCHAGUZI ULIO BORA.
 
TUME DHALIMU LIITWALO IEBC LINAFAA KUCHUKULIWA HATUA, CHEBUKATI NA WENZAKE 200 WAFUNGWE JELA KWA UDHALIMU MKUBWA TULIOUSHUHUDIA HATA BAADA YA MAHAKAMA KUWAPA AHUENI WAKARUDIE UCHAGUZI ULIO BORA.
Tim Choice! Ulizamia wapi jombaa?
 
Sawa. Huku bongo tunajenga chuki kwa kuteua wababe wa upinzani kuwa wakuu wa mikoa. Tunajenga chuki na uongozi wa kujikomba. Tunaandaa mazingira mabovu ya kutotawalika. Sipati picha, uchaguzi wa 2020 utakuwaje? Kenya bado haijatoa somo kwa viongozi wa Tanzania walipo madarakani sasa. Badala ya kujifunza, wao wanaandaa bomu! Mungu tunusuru na kiama kijacho.
Endelea na mtazamo wako lakini nakuapia uchaguzi wa2020 itakuwa guru na haki na magufuli atatawala tens, chuki zako dhidi ya utawala huu hazina nafasi
 
Chapaneni sasa, hamna namna tena,mmekataa kuchukuana kwa heshima pamoja na undugu.
Mmekataa kugawana mchuzi kwa haki na kupelekea dhulma kwa ndugu zenu pamoja na kudharauliana....tunangojea mkazipige sasa,tutaupokea mkoa utakaotaka kujiunga na Tanzania hii tukufu.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kwa mtazamo wangu Tanzania itakua supa pawa Afrika yetu Mashariki, tamu hii inapendeza moyoni,kweli chuki,ukosefu wa haki pamoja na dharau huzaa hasira na hasara.....hahahahh!
 
Back
Top Bottom