Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Inapanda sana, lakini mimi sio mwingereza. Umenipata?Mwenzako amecomment in English, wewe unareply kwa kiswahili niaje jombaa? Lugha haipandi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapanda sana, lakini mimi sio mwingereza. Umenipata?Mwenzako amecomment in English, wewe unareply kwa kiswahili niaje jombaa? Lugha haipandi?
Sijakupata unatutia aibu tu hapa.Inapanda sana, lakini mimi sio mwingereza. Umenipata?
Sina upumbavu wa kuwa na akili ya kitumwa. Ninajivunia lugha yangu tukufu ya Kiswahili. Hiyo aibu kaa nayo wewe.Sijakupata unatutia aibu tu hapa.
Huwezi kuandika English that's it.Sina upumbavu wa kuwa na akili ya kitumwa. Ninajivunia lugha yangu tukufu ya Kiswahili. Hiyo aibu kaa nayo wewe.
Only African savages think that way.Huwezi kuandika English that's it.
Hongera kwa kujivunia hiki kiswahili.Only African savages think that way.
I have self pride. I do not wallow in that colonial mentality that is both antiquated and superannuated, to say the least.Hongera kwa kujivunia hiki kiswahili.
Wewe kweli unajivunia kiswahili.I have self pride. I do not wallow in that colonial mentality that is both antiquated and superannuated, to say the least.
Andika kwa Kiingereza tafadhali.Wewe kweli unajivunia kiswahili.
sasa wajameni kama wapiga kura walikuwa ni wastani wa millioni 6.5 mbona kenyata keshapata milioni7Siku zote Kenya kwenye kura za marudio Wakenya huwa hawajitokezi sana, angalia historia ya kura za marudio kwenye maeneo bunge.
Kingine huu uchaguzi haukua na ushindani hivyo hata wengi wa wanaomuunga mkono Uhuru hawakua na hamasa ya kuacha biashara wakapange foleni kumpigia kura ilhali hakua na upinzani.
Kingine ambacho husababisha watu kutoka ni pale wakati pana ushindani baina ya wabunge.
Kuhitimisha kuna gatuzi ambazo zilifungwa kabisa baada ya wafuasi wa Raila kuziba maeneo yote na kufanya fujo.