Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Erb wanajitahidi sana ila wanaotuangusha ni serikali na wamiliki wa viwanda na makampuni mbalimbali, hamna sheria inayo wabana, muhimu kutunga sheria ambayo itawabana waajiri ambayo itakuwa lazima wachukue vijana kwa ajili ya kupata ujuzi , walipwe hata na serikali , kwa hivyo erb haitakiwi kulaumiwa serikali ndo inamatatizo.Hakuna wanachowasaidia
SEAP programe is a disaster
Wapo waajiri wengi hawaajiri tena wanachukua Trainee na ama hawawalipi na kuwafanyisha kazi wakitegemea walipwe na ERB kupitia SEAP programme au wanawalipa kidogo.
Kilichotakiwa ni taasisi hizi kushauri serikali kutunga kanuni zinazowezesha graduates kuajiriwa.
mfano kwa hapa tulipofika tunahitaji kuona vizazi tofauti vya kihandisi makazini, tunahitaji kuona shughuli za mtaani kwenye jamii zikiingizwa wataalamu.
serikali ikiwatengenezea fursa kupitia kanuni wataajirika na kuingia makazini na sio utaratibu wa sasa wa kuwapa uzoefu bila kutazama saturation ya fursa zilizokuwepo