IET na ERB zinatuangusha wahandisi

Erb wanajitahidi sana ila wanaotuangusha ni serikali na wamiliki wa viwanda na makampuni mbalimbali, hamna sheria inayo wabana, muhimu kutunga sheria ambayo itawabana waajiri ambayo itakuwa lazima wachukue vijana kwa ajili ya kupata ujuzi , walipwe hata na serikali , kwa hivyo erb haitakiwi kulaumiwa serikali ndo inamatatizo.
 
lawama ziende kwa ERB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Erb wanchojua ni kukusanya hela zetu za usajili na membership fee ..
Hawana msaada wowote kwa graduate..
Inauma sana chama kipo kipo t
 
Kuna Shida sana kwenye kushauri mambo ya kihandisi, Angalia Tanroads wamejipa U-Mungu MTU na kuwa chanzo cha kuwa na design Mbovu za barabara zetu!! Wanafanya usanifu bila kushirikisha akili zao, Angalia usanifu was barabara ya Kimara to Kibaha, huu ni kati ya usanifu wa hovyo kuwahi kutokea duniani!! Unavunjia watu mita 243, unajenga barabara katikati kama uwanja wa mpira bila kuzingatia watumiaji wengine wa barabara!?!? Aibu!! Sasa wanaona aibu kutoa mapipa kwani ajali zitazidi!!! Wazo Tanroads waangaliwe kwa ukaribu sana!! Na kitengo chao cha TEKU wavujaji wakubwa wa kodi zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…