If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

Naomba nifafanue kwa niaba ya mleta mada,
Kama kwa mfano anajua(Mungu)kwamba itanyesha, hakuna atakayebadili hilo, ni lazima itanyesha.
Kama anajua kuwa Eiyer utaenda motoni, hata upige swala tano, moto uko palepale.Je uelewa huu ni sawa?
Ufafanuzi tafadhali.
Kujua ni kupanga?

Unaweza kuwa hujanielewa
Namaanisha hivi:
Ukijua kesho mvua itanyesha ndio unakuwa umepanga inyeshe?
 
If God knows everything, then you can't really change your future. It's pre-written.
But there's free will. So, you can choosers or not to go to hell?
Also, when a man impregnates a woman is he forcing God to produce a new soul?
It is like this. GOD knows that you will or you will not change your future.
 
The destiny is always static ( Constant) but the plans to reach there can be changed but the destiny will remain at the wills of Almighty God

Ulishawahi kusoma kitabu (Novel) ya hadith ya Sinbad the sailor

hii novel iko kwenye misingi ya watu wak- istrugle kubadirisha future(Destinies) zao. na katika kuhangaika huko ili kukwepa mabalaa ndo wanakuta wana-fulfill
 
dunia imetengenezwa kwa principles... u touch this u get that, so mungu anajua kabla huja touch and what u will get...
 
The destiny is always static ( Constant) but the plans to reach there can be changed but the destiny will remain at the wills of Almighty God

Ulishawahi kusoma kitabu (Novel) ya hadith ya Sinbad the sailor

hii novel iko kwenye misingi ya watu wak- istrugle kubadirisha future(Destinies) zao. na katika kuhangaika huko ili kukwepa mabalaa ndo wanakuta wana-fulfill

kwa hiyo mungu anapanga huyu ataenda motoni, huyu mbinguni, right?
 
Mungu alimuwekea kila mtu open door ila mtu huyo yuko huru kufuata njia sahihi kufika destiney yake ilipo.
I thought you said destiny is STATIC! hiyo milango ya nini sasa kama you can not change your destiny!
 
i know. the sun will rise tomorrow (an event)
1. am no causing it
2. i can not prevent it

i present to my son bottles of water and soda, i know ahead of time that he will opt for bottle of soda (choice)

1. my son made a free choice, which i was aware of in advance

2. my prior knowledge of the choice doesn't make my son's choice less free



my THINKING tells me that God knows of the free choices we ought to make and the events of our lives AHEAD OF TIME fullstop
 
If God knows everything, then you can't really change your future. It's pre-written.
But there's free will. So, you can choose or not to go to hell?
Also, when a man impregnates a woman is he forcing God to produce a new soul?

Since God is omniscent whereas human beings are not, it then follows that human being's logic can or cannot be God's. More over, God's working environment are by far so much advanced as comppared to those of human's, since God is omnipotent, omniscient, omnipresent, creates (huma beings can only modify some of His creations) and also causes death to all/every living creature. Nothing else in the universe, in its entirety, possesses such capabilities. You are therefore bound to accept this fundamental truth unless you don't believe in His existence. I do
 
If God knows everything, then you can't really change your future. It's pre-written.
But there's free will. So, you can choose or not to go to hell?
Also, when a man impregnates a woman is he forcing God to produce a new soul?

Hili swali nilikuwa najiuliza kila siku, juzi tu nimemuuliza jamaa mmoja alikuwa na pesa sanaa siku za nyuma sasa

ivi yuko ovyo vibaya, sasa alinijibu ifatavyo...Mungu alituumba akatupa utashi, roho ya kujua mema na

baya..yaani Mungu katupa uhuru wa kuchagua nifanye lipi niache lipi, naweza kusema kuwa Mungu alimuumba

bidanamu katika tungo tata sanaa amabayo hata ye mwenyewe pengine hana uhakika kama utafika ama

la..kwanini angalia kitabu cha mwanzo cha wakristo..tunaona Mungu anamjaribu mtu anayeitwa Abraham

akamchinje mwanae..kumbe Mungu anamtega ajue anamsikiliza ama la..hiii ni dhahiri kuwa maamuzi yako kwako

lakini pia kuna utata yesu mara nyingi alisema IMEEANDIKWA KUWA...mfano tunaona Yuda alivyomsaliti Yesu

ilikuwa imeesha andikwa...conclusion..Je yuda angekomaa na Yesu bila kumsaliti ingekuwaje..je kwa kesi ya

Abraham kujaribiwa na Mungu unaichukuliaje..je Mwenyezi Mungu hana uhakika nasi nini tutafanya mbeleni...I see full of

contradiction!
 
If God knows everything, then you can't really change your future. It's pre-written.
But there's free will. So, you can choose or not to go to hell?
Also, when a man impregnates a woman is he forcing God to produce a new soul?

Imeandikwa idadi ya watu watakao ingia Mbinguni ni Watakatifu 144,000 Yaani kila kabila la Israel watakaoingia Mbinguni ni Watakatifu 12,000 Mambo ya Ufunuo wa Yohana hayo.... hivyo na wewe lazima utakuwepo kwenye kabila moja wapo la waisrael kati ya hayo 12 Swali je wewe kwa kujipima... unafuata amri kumi za Mungu na je Unaweza kujitizama ukajiona kama u mtakatifu na unaweza enda Mbinguni.... je huna wivu ja unapenda watu wote au unampenda jirani yako kama unavyojipenda wewe? huibi kama ufisadi n.k je ni rahisi kwa tajiri kwenda mbinguni? je watakatifu wangapi wameshapita kukamilisha hiyo idadi ya 144,000 je kuna nafasi ngapi zimebakia?
 
If God knows everything, then you can't really change your future. It's pre-written.
But there's free will. So, you can choose or not to go to hell?
Also, when a man impregnates a woman is he forcing God to produce a new soul?
Let me open your intellectual eyes:

Omniscient God knows the future of what the free will creatures choose. Free will does not stop becoming free because God knows what will happen.

Are you a "Soul" or a "Spirit Man"?
 
Hili swali nilikuwa najiuliza kila siku, juzi tu nimemuuliza jamaa mmoja alikuwa na pesa sanaa siku za nyuma sasa

ivi yuko ovyo vibaya, sasa alinijibu ifatavyo...Mungu alituumba akatupa utashi, roho ya kujua mema na

baya..yaani Mungu katupa uhuru wa kuchagua nifanye lipi niache lipi, naweza kusema kuwa Mungu alimuumba

bidanamu katika tungo tata sanaa amabayo hata ye mwenyewe pengine hana uhakika kama utafika ama

la..kwanini angalia kitabu cha mwanzo cha wakristo..tunaona Mungu anamjaribu mtu anayeitwa Abraham

akamchinje mwanae..kumbe Mungu anamtega ajue anamsikiliza ama la..hiii ni dhahiri kuwa maamuzi yako kwako

lakini pia kuna utata yesu mara nyingi alisema IMEEANDIKWA KUWA...mfano tunaona Yuda alivyomsaliti Yesu

ilikuwa imeesha andikwa...conclusion..Je yuda angekomaa na Yesu bila kumsaliti ingekuwaje..je kwa kesi ya

Abraham kujaribiwa na Mungu unaichukuliaje..je Mwenyezi Mungu hana uhakika nasi nini tutafanya mbeleni...I see full of

contradiction!

The problem is on your opinions and not the infallible word. For example, I know that my child will choose to eat chocolate cake over a bowl full of stinking and smelling dead rats. Here is the logic: If I were to set them both before my child, it is safe to say she will not eat the dead mice. Knowing this is not taking away the freedom of my child since she is freely choosing one over the other. Likewise, for God to know what a person will choose does not mean that the person has no freedom to make the choice. It simply means that God knows what the person will choose.
 
Back
Top Bottom