If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

Imeandikwa idadi ya watu watakao ingia Mbinguni ni Watakatifu 144,000 Yaani kila kabila la Israel watakaoingia Mbinguni ni Watakatifu 12,000 Mambo ya Ufunuo wa Yohana hayo.... hivyo na wewe lazima utakuwepo kwenye kabila moja wapo la waisrael kati ya hayo 12 Swali je wewe kwa kujipima... unafuata amri kumi za Mungu na je Unaweza kujitizama ukajiona kama u mtakatifu na unaweza enda Mbinguni.... je huna wivu ja unapenda watu wote au unampenda jirani yako kama unavyojipenda wewe? huibi kama ufisadi n.k je ni rahisi kwa tajiri kwenda mbinguni? je watakatifu wangapi wameshapita kukamilisha hiyo idadi ya 144,000 je kuna nafasi ngapi zimebakia?
Who are the 144,000 of Revelation 7 and 14?
[h=1][/h]
 
Mbona unao uhuru na ukifanya kosa unashitakiwa, sasa wewe upo huru hapa duniani? Jaribu kutupia mawe Polisi na uone kama kweli unao uhuru au lah?

Jaribu kutumia bongo yako katika majibu.

Ahaa,kumbe mungu wenu ni kama serikal?.Polisi hawa chomi moto lakini pia polisi hawajui kwamba nani atafanya kosa wapi na sa ngapi.Lakini mungu wenu mnae-mnadi humu kila siku inasemekana anajua hata yajayo!.Kwa hiyo anajua kabisa kwamba flani nikiimuumba atakuwa mwizi na nitamchoma moto.Mbona anajichanganya?.Jieleze vizur.
 
If God knows everything, then you can't really change your future. It's pre-written.
But there's free will. So, you can choose or not to go to hell?
Also, when a man impregnates a woman is he forcing God to produce a new soul?

Kujua ni kupanga?

Mfano ukajua kuwa kesho muda kama huu kuna mtu atajisaidia kwenye barabara iliyoko hapo kwenu,utakuwa umepanga?
 
Ahaa,kumbe mungu wenu ni kama serikal?.Polisi hawa chomi moto lakini pia polisi hawajui kwamba nani atafanya kosa wapi na sa ngapi.Lakini mungu wenu mnae-mnadi humu kila siku inasemekana anajua hata yajayo!.Kwa hiyo anajua kabisa kwamba flani nikiimuumba atakuwa mwizi na nitamchoma moto.Mbona anajichanganya?.Jieleze vizur.

Tatizo ni nini?
 
Ahaa,kumbe mungu wenu ni kama serikal?.Polisi hawa chomi moto lakini pia polisi hawajui kwamba nani atafanya kosa wapi na sa ngapi.Lakini mungu wenu mnae-mnadi humu kila siku inasemekana anajua hata yajayo!.Kwa hiyo anajua kabisa kwamba flani nikiimuumba atakuwa mwizi na nitamchoma moto.Mbona anajichanganya?.Jieleze vizur.

He is the King of Kings, unafikiri nini maana yake?
 
Is there hell? Will some people go to hell and burn forever? Does God know if you will go to heaven or hell before you were born?

If you answered yes to all of those questions, your God is not a just God, he created people while he knew they will end up burning forever!
 
Yakobo alikuwa tayari kawa mwizi lakini akamlilia Mungu nakumn'gang'ania akambariki na akaitwa Israel ye can change every thing into your life if ye know how to pray
 
Is there hell? Will some people go to hell and burn forever? Does God know if you will go to heaven or hell before you were born?

If you answered yes to all of those questions, your God is not a just God, he created people while he knew they will end up burning forever!

Unajua nini kuhusu Mungu?
 
Is there hell? Will some people go to hell and burn forever? Does God know if you will go to heaven or hell before you were born?

If you answered yes to all of those questions, your God is not a just God, he created people while he knew they will end up burning forever!

Elimu yako NDOGO katika Mambo ya Mungu NDIO imekufanya ufikie jibu lako la KITOTO.
IN BLUE: Yes
IN GREEN: Yes

Let me teach you something young man:

The answer is in Romans 8:29-30 where the entire process by which we come to God is defined. Simply put, because He knows the end from the beginning God knew everyone who would choose to come to Him before He created Adam (He foreknew).
 
mtu akisema God knows the exact number of people watakaoenda mbinguni mwisho wa siku, its like free will is a lie to begin with.. hii part hua inanisumbua sana kuielewa... maybe we complicate things but they are simple we just dont get it
 
Elimu yako NDOGO katika Mambo ya Mungu NDIO imekufanya ufikie jibu lako la KITOTO.
IN BLUE: Yes
IN GREEN: Yes

Let me teach you something young man:

The answer is in Romans 8:29-30 where the entire process by which we come to God is defined. Simply put, because He knows the end from the beginning God knew everyone who would choose to come to Him before He created Adam (He foreknew).

if he knew how everything will turn out, kwa nini alimuumba satan to begin with? i thought akimuumba satan akiwa mkamilifu kabisa hadi pale evil ilipopatikana ndani yake, which i cant even to start thinking ilitokea wapi kama alikua clean, it means na hapo God pia knew kua namuumba huyu ni safi lakini atakua mchafu siku moja na malaika flani na flani watamfuata wataenda kwa adam na eve ntakayemuumba watadanganya, dunia itaharibika, everythin from earthquakes to noah's ark.. come on u gotta be kidding.. Sasa its like a play then tupo ndani yake tunajidanganya tuna free will ila everything has been done... Kama hii ni kweli basi ntakubaliana na a scientist ambae atanambia time travel is possible, because all we are is nothing but a mere thought, the almighty is thinking of us, we arent real objects so we can be altered anytime... Dont quote me wrong, am not fighting back najaribu kuelewa mada vizuri
 
kwa uzoefu wangu wa jukwaa hili na topic iliyopo mezeni,mwisho wa siku mada itarudi kule kule kwa siku zote ;mungu ni nani and bla bla bla.acha tuone.
 
Elimu yako NDOGO katika Mambo ya Mungu NDIO imekufanya ufikie jibu lako la KITOTO.
IN BLUE: Yes
IN GREEN: Yes

Let me teach you something young man:

The answer is in Romans 8:29-30 where the entire process by which we come to God is defined. Simply put, because He knows the end from the beginning God knew everyone who would choose to come to Him before He created Adam (He foreknew).

Kweli elimu yangu ni ndogo (though that's relative). Inawezekana kweli jibu langu la kitoto (in your opinion). But what you have done is agree to all my premises except the conclusion. Unfortunately you haven't explained why? Why do you think this is just? Why create people if he already knew they won't choose him? Why burn them forever? I am all ears boss!
 
Back
Top Bottom