If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

Hapana.

Leo hii mtu akianza kutangaza kwamba watu wake na waume wanaweza kujamiiana bila kinga, kwa maana ana dawa ya UKIMWI, ilhali kiukweli hana, wenye akili wote watapinga na kuuliza kuhusu hiyo dawa ya UKIMWI ikoje na inafanya kazi vipi.
Bold-Umetumia nini kujua hilo?

Nadhani unajua kabisa huwezi kutoa madai yoyote bila kuwa na utafiti unao back up madai yako
Vivyo hivyo, mnavyosema kuna mungu mwenye majibu yote na dawa zote, ni wajibu wa wenye akili kuhoji. Hata kama kwa kweli hayupo.
Bold-Unarudia kosa lile lile

Nini kimekufanya useme hayupo?
Kutokuwepo kwa dawaa ya UKIMWI si sababu ya wenye akili kutokuhoji habari ya kuwepo kwa dawa ya UKIMWI.
Umejuaje haipo?
Haipo au tu hatujajua ni ipi?

Unaweza kuwa na ushahidi kuwa haipo [usiniambie huna namna ya kuthibitisha hilo,laa sivyo usingesema haipo]
Kutokuwepo kwa mungu si sababu ya wenye akili kutokuhoji habari ya kuwepo kwa mungu.
Umejuaje kuwa hayupo?
Una findings gani zinazokuambia kuwa hayupo?

Una uhakika hayupo au unadhani tu hayupo?
 
Wewe hupendi kumzungumzia mungu wakati ushamzungumzia hapa, wewe vipi?
Kwani Mungu yupo? Wewe unazungumzia Mungu!!!! Astaghafurillah.


Wasiopenda kumzungumzia mungu huwezi kuona wamepost hapa.
Kumbe unampenda Mungu. Huu ni msiba kwako. Sasa unampenda kivipi wakati hayupo?


Na walioposti hawawezi kusema hawapendi kumzungumzia mungu.
Utawezaje kuzungumzia Mungu wakati hayupo? I mean huwa unatumia akiri katika kupost majibu yako.

Acha unafiki.

Utakuwa kama yule mtu aliyejificha chini ya nyasi vitani na kusema "heri mimi sijalia", na kwa kusema hivyo, adui akamuona na kumuua.
Huko si ndio unako fanya wewe unapo tumia IGNORE OPTION. Huku ukionyesha symptoms zote za upenzi wa Mungu.



 
Bold-Umetumia nini kujua hilo?

Nadhani unajua kabisa huwezi kutoa madai yoyote bila kuwa na utafiti unao back up madai yako

Bold-Unarudia kosa lile lile

Nini kimekufanya useme hayupo?

Umejuaje haipo?
Haipo au tu hatujajua ni ipi?

Unaweza kuwa na ushahidi kuwa haipo [usiniambie huna namna ya kuthibitisha hilo,laa sivyo usingesema haipo]

Umejuaje kuwa hayupo?
Una findings gani zinazokuambia kuwa hayupo?

Una uhakika hayupo au unadhani tu hayupo?

First thing first.

Unafahamu maana ya "leo hii mtu akianza..." ?

Nikiandika huwezi kufikiri logicaly utakataa?
 
Nimeisambaratisha objection hii hapo juu.

Ukisema "nina dawa ya UKIMWI". Halafu mtu akakuuliza hiyo dawa ya UKIMWI ikoje na inafanya kazi vipi? Mbona maelezo yako ya kuhusu hiyo dawa ya UKIMWI hayana logical consistency? Huwezi kukataa maswali yake kwa kusema "kama.anayeweza kuipinga dawa hii ya UKIMWI bika kuitaja dawa hii ya UIMWI alete pingamizi.lake,.ukiitaja tu hii dawa ya UKIMWI huwezi kuipinga, kwa maana umeukubali".

Naweza kuitaja kwa kuikataa vilevile.

Hapana hujasambaratisha bali huko kusambaratisha kupo akilini kwako

Unatakiwa uweze kutofautisha kutokuelewa jambo na jambo lisiloeleweka

Unaposema hakuna dawa ya ukimwi bila hata kutoa ushahidi wa madai yako tutakuona kama mlevi tu

Maelezo ambayo hayana logical consistancy hayawezi kuthibitisha kutokuwepo kwa dawa ya ukimwi kwasababu hilo linaweza kuwa tatizo la mtoa maelezo tu

Wala hujaelewa mantiki ya sisi kukuambia usimtumie Mungu kumpina Mungu

Unawezaje kutumia kisichokuwepo kuthibitisha kutokuwepo kwake?
Yaani unaanzaanzaje?
 
Ya that's Right mkuu kumfurahisha binadamu wenzako hata km ni wakristo wenzako no kazi kubwa., but nafikl mungu alitaka usiwe wa visasi

Utakatifu ni kipawa cha neema ya Mungu. Imeandikwa Kutoka 19:5-6 "Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kuishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu kuliko makabila yote ya watu maana dunia yote pia ni mali yangu ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa kuhani na taifa takatifu hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana waisraeli."

Utakatifu hukuwa kwa kuitii neno la Mungu. Imeandikwa Yohana 17:17 "Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli."

Utakatifu wa Mungu ndio kipeo chetu chakuishi maisha ya utakatifu imeandikwa 1 Petro 1:15 "Bali kama yeye aliyewaita alivyo matakatifu ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote."

Utukufu wa Mungu hauwezi kuwa pamoja na dhambi. imeandikwa Isaya 59:2 "Lakini waovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone hata hataki kusikia."
 
Wewe hupendi kumzungumzia mungu wakati ushamzungumzia hapa, wewe vipi?

Wasiopenda kumzungumzia mungu huwezi kuona wamepost hapa.

Na walioposti hawawezi kusema hawapendi kumzungumzia mungu.

Acha unafiki.

Utakuwa kama yule mtu aliyejificha chini ya nyasi vitani na kusema "heri mimi sijalia", na kwa kusema hivyo, adui akamuona na kumuua.

Nafikili hujanielewa kabisa kiranga., nimesema cipend kuzungumzia mungu I mean kutokumdadavua his existence, powerful., etc na sitaki kujibishana Kuwa yupo au hayupo I want to stand in wat I believe,. Asante yesu
 
Ya that's Right mkuu kumfurahisha binadamu wenzako hata km ni wakristo wenzako no kazi kubwa., but nafikl mungu alitaka usiwe wa visasi

Mungu alitaka.usiwe na visasi wakati yeye mwenyewe anaweka visasi na watenda dhambi anawachoma motoni?

Kwa maovu yaliyotendwa kwa kutokana.na maisha aliyoyapanga yeye mungu mwenyewe?

Does this make sense?

Or is it just a simpletons dream?
 
Mungu alitaka.usiwe na visasi wakati yeye mwenyewe anaweka visasi na watenda dhambi anawachoma motoni?

Kwa maovu yaliyotendwa kwa kutokana.na maisha aliyoyapanga yeye mungu mwenyewe?

Does this make sense?

Or is it just a simpletons dream?
Lete ushaidi wa "negative god" na ulimtowa wapi na yupo wapi.

Bado hujajibu swali
 
Nafikili hujanielewa kabisa kiranga., nimesema cipend kuzungumzia mungu I mean kutokumdadavua his existence, powerful., etc na sitaki kujibishana Kuwa yupo au hayupo I want to stand in wat I believe,. Asante yesu

Ushaingia katika mjadala wa kumdadavua.

Kama.hupendi kumdadavua, kwa nini umeingia katika mjadala wa kumdadavua?

Muna wengi tu ambao hawapendi kumdadavua, wameuona mjadala huu, wakauruka.

Imekuwaje wewe hupendi kumdadavua lakini unashiriki kwenye mjadala wa kumdadavua?
 
First thing first.

Unafahamu maana ya "leo hii mtu akianza..." ?

Nikiandika huwezi kufikiri logicaly utakataa?

Tatizo lako ni kuwa unaposhindwa kumuelewa mtu unadhani kuwa haeleweki

Na kingine ni kuwa tafakari yako ina makosa mengi sana

Umeanza na ku assume halafu unahitimisha kuwa "hana"

Haya matatizo yako sijui kama unaweza hata kuyagundua!
 
F. Wolfgang

Why did god allow evil? Given that he is supposedly omnipotent, omniscient, omni benevolent and omnipresent ( I primarily refer to this godhead as a starting point).

Why would an all loving, all capable godhead allow evil and calamities? Disasters and pestilence? War and suffering? Even to innocent children? In a way seemingly far inferior to some human rights declarations aspirations?

Is this god less godly, in terms of benevolence, than some human standards?

I.haven't seen a satisfactory answer to this question.

I have had the retort "the lord works in mysterious ways", which is really not an answer but another way of evading answering by saying "I don't know jack about this god stuff, I just conform".

I haven't seen a satisfactory answer.

Kiranga, before I answer your questions, can you please answer me this one.. Do you believe in the presence of God or not?

*I need a simple YES or NO.
 
Mungu ni uoga wako tu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.. Uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo wakati ule ulifanya watu kutafuta visingizio katika maisha. Kiukweli mtu anayeshadadia hizi dini zilizokuja na meli na kutua hapo bagamoyo na kujifanya ana uchungu nazo na yuko tayari kudhuru hata wenzake namuona punguani tu. Babu zenu wameletewa bila kuhoji wakameza na wazazi wenu nao wakawamezesha tu. Wengi wenu hamjui hata kwanini mnaabudu. Cha ajabu zaidi waliowaletea hizo nusu kaputi za uwezo wa kufikiri a.k.a DINI wanawashangaa tu huku wakipiga mvinyo.
Hivyo vitabu mnavyoviamini vimeandikwa na watu kama sisi tena wao walikuwa frustrated vibaya mno maana kuna contradiction zisizohesabika

Mungu anadai anakupenda ila atakuchoma moto bila huruma ingawa ulikuwa huna hiyari ya kuzaliwa

Huyo huyo mungu anadai amekuumba uko perfect baadae anakumbuka kuna kitu alizidisha kwenye mwili wako anakuambia ukikate kwa njia ya tohara.

Mungu huyu huyu anaedai anakupenda anashusha magonjwa kuadhibu na kuleta gharika za ajabu..

Vitabu vya dini ni just work of art basi kama zilivyo kazi za kina Bawji na Shafi Adam...

TUAMKE!
 
Mungu ni uoga wako tu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.. Uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo wakati ule ulifanya watu kutafuta visingizio katika maisha. Kiukweli mtu anayeshadadia hizi dini zilizokuja na meli na kutua hapo bagamoyo na kujifanya ana uchungu nazo na yuko tayari kudhuru hata wenzake namuona punguani tu. Babu zenu wameletewa bila kuhoji wakameza na wazazi wenu nao wakawamezesha tu. Wengi wenu hamjui hata kwanini mnaabudu. Cha ajabu zaidi waliowaletea hizo nusu kaputi za uwezo wa kufikiri a.k.a DINI wanawashangaa tu huku wakipiga mvinyo.
Hivyo vitabu mnavyoviamini vimeandikwa na watu kama sisi tena wao walikuwa frustrated vibaya mno maana kuna contradiction zisizohesabika

Mungu anadai anakupenda ila atakuchoma moto bila huruma ingawa ulikuwa huna hiyari ya kuzaliwa

Huyo huyo mungu anadai amekuumba uko perfect baadae anakumbuka kuna kitu alizidisha kwenye mwili wako anakuambia ukikate kwa njia ya tohara.

Mungu huyu huyu anaedai anakupenda anashusha magonjwa kuadhibu na kuleta gharika za ajabu..

Vitabu vya dini ni just work of art basi kama zilivyo kazi za kina Bawji na Shafi Adam...

TUAMKE!

Nimeanza kuamini kale kausemi ka mkuu Free Ideas i.e tumefanikiwa kuwaua miungu ya kuonekana/kuchongwa na sasa ni zamu ya huyu asiyeonekana aliyeanzishwa na Ibrahim...maake ninachoona kwa mwendo huu baada ya miongo kama miwili ijayo sizan kama hizi dini na hasa uislam na ukristo utapata wafuasi.

Anyway...ni katika kufikiri kwa kina.
 
Ushaingia katika mjadala wa kumdadavua.

Kama.hupendi kumdadavua, kwa nini umeingia katika mjadala wa kumdadavua?

Muna wengi tu ambao hawapendi kumdadavua, wameuona mjadala huu, wakauruka.

Imekuwaje wewe hupendi kumdadavua lakini unashiriki kwenye mjadala wa kumdadavua?
Mungu anakupenda sana kiranga nakuombea utabadilika soon
Mungu anakupenda
 
Nimeanza kuamini kale kausemi ka mkuu Free Ideas i.e tumefanikiwa kuwaua miungu ya kuonekana/kuchongwa na sasa ni zamu ya huyu asiyeonekana aliyeanzishwa na Ibrahim...maake ninachoona kwa mwendo huu baada ya miongo kama miwili ijayo sizan kama hizi dini na hasa uislam na ukristo utapata wafuasi.

Anyway...ni katika kufikiri kwa kina.

kwa hiyo hapo wewe unaona umefikiri kwa kina?aisee!
 
Mungu ni uoga wako tu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.. Uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo wakati ule ulifanya watu kutafuta visingizio katika maisha. Kiukweli mtu anayeshadadia hizi dini zilizokuja na meli na kutua hapo bagamoyo na kujifanya ana uchungu nazo na yuko tayari kudhuru hata wenzake namuona punguani tu. Babu zenu wameletewa bila kuhoji wakameza na wazazi wenu nao wakawamezesha tu. Wengi wenu hamjui hata kwanini mnaabudu. Cha ajabu zaidi waliowaletea hizo nusu kaputi za uwezo wa kufikiri a.k.a DINI wanawashangaa tu huku wakipiga mvinyo.
Hivyo vitabu mnavyoviamini vimeandikwa na watu kama sisi tena wao walikuwa frustrated vibaya mno maana kuna contradiction zisizohesabika

Mungu anadai anakupenda ila atakuchoma moto bila huruma ingawa ulikuwa huna hiyari ya kuzaliwa

Huyo huyo mungu anadai amekuumba uko perfect baadae anakumbuka kuna kitu alizidisha kwenye mwili wako anakuambia ukikate kwa njia ya tohara.

Mungu huyu huyu anaedai anakupenda anashusha magonjwa kuadhibu na kuleta gharika za ajabu..

Vitabu vya dini ni just work of art basi kama zilivyo kazi za kina Bawji na Shafi Adam...

TUAMKE!
Mungu alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo, huwezi kuelewa mungu yupo km ni headed person., you are not suppose to be headed person alone.unatakiwa uwe headed plus heart person hapo ndo utaona existence na power za god.,tatizo watu km nyie mioyo yenu imekufa,. Upande wa heart umekufa.. Jitahidi unbalance heart na heard (brain)
 
Ushaingia katika mjadala wa kumdadavua.

Kama.hupendi kumdadavua, kwa nini umeingia katika mjadala wa kumdadavua?

Muna wengi tu ambao hawapendi kumdadavua, wameuona mjadala huu, wakauruka.

Imekuwaje wewe hupendi kumdadavua lakini unashiriki kwenye mjadala wa kumdadavua?
Ya ni kweli mungu anavisa na tena visasi kweli kweli na pia mungu anahuruma sana na anasamehe sana,. Ipo ivi mungu Amekupa utashi na akili., mungu mfano an asema Fanya A usifanye B.. But wewe unafanya B mungu atakasilika sana na ukifika name dhambi hiyo lazima akuchome tu but ukitubu mungu anakusamehe hapo hapo
 
Back
Top Bottom