If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

Kabla ya kuniambia mungu ananipenda, tafadhali thibitisha kwamba yupo.

Stop using weed, inapunguza memory yako. You can refresh your diabolical mind hereunder.
By Kiranga
Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.
By Free ideas
God is a complicated entity which requires a much more certificated explanation ..........
.

It can't be better than this
 
Kijana naona umekuja kwa speed sana na kudai wanaoamini [kujua] Mungu yupo ni wavivu wa kufikiri,sawa

Wewe unaesema yupo tunaomba ushahidi ili usionekane wewe ni wa ajabu zaidi ya unaowatuhumu kutokufikiri maana najua unaelewa ujinga wa kusema kitu bila ya kuwa na ushahidi

Au na wewe unaamini kuwa hayupo?

Tusihangaike kuruka vihunzi hapa mchungaji mungu hayupo wala hakuna ushahidi valid unaoProve uwepo wake. Kukosa majibu kwetu kwa baadhi ya vitu hakumaanishi kuna mungu.
 
Why would an all knowing, all loving, all capable god create a universe in which suicide is possible?
Evolution of Gays. Only in non theism.
images
 
Why are there so many gay atheists?


Does one tendency help cause the other?


For easy of reference enter here: Gay Atheists - Think Atheist


Umenikumbusha mbali enzi za kina Maxshimba & co walikuwa wakizidiwa hoja ni kukimbilia vitu nje ya mada. Labda unisaidie kingine kwa ufupi since avatar yako inasema jesus is god.

Waliotengeneza character ya Yesu waliamua kuiga au walikuwa wamechoka kiakili na kuamua kucopy characteristics za miungu wa zamani kuliko yeye wengine hadi wengine miaka 3000 kabla yake
ambazo ni kuzaliwa na bikra, tarehe 25 disemba, kufufuka baada ya siku tatu, kutembea kwenye maji, wafuasi kumi na mbili nk.

Mfano;
Egyptian Horus 3000bc
Dionysus 500 bc
Mithra 1200 bc
Krishna na wengineo wengi

Ilikuwaje why so much resemblance in character na hiyo miungu ya zamani kabla yake?? Au ndiyo mambo ya kunyofoa story kwenye DC comics za zamani na kuibadilisha na kwenda kupublish upya Marvel years later?
 
Umenikumbusha mbali enzi za kina Maxshimba & co walikuwa wakizidiwa hoja ni kukimbilia vitu nje ya mada. Labda unisaidie kingine kwa ufupi since avatar yako inasema jesus is god.

Waliotengeneza character ya Yesu waliamua kuiga au walikuwa wamechoka kiakili na kuamua kucopy characteristics za miungu wa zamani kuliko yeye wengine hadi wengine miaka 3000 kabla yake
ambazo ni kuzaliwa na bikra, tarehe 25 disemba, kufufuka baada ya siku tatu, kutembea kwenye maji, wafuasi kumi na mbili nk.

Mfano;
Egyptian Horus 3000bc
Dionysus 500 bc
Mithra 1200 bc
Krishna na wengineo wengi

Ilikuwaje why so much resemblance in character na hiyo miungu ya zamani kabla yake?? Au ndiyo mambo ya kunyofoa story kwenye DC comics za zamani na kuibadilisha na kwenda kupublish upya Marvel years later?
Wewe umejiunga leo halafu unamjua MaxShimba and Co.!!! Duuuh

Haya bana. Lakini, hili tatizo la hawa jamaa kupenda ushoga ni sehemu ya evolution au wao walitokea kuwa mashoga tokea kuzaliwa kwao. Hakika kuna siri kubwa hapo kwa Mashoga kupendwa na non theist na non theist kuwa mashoga. Huu undugu na uhusiano wao, ulianzia lini au ndio gay evolution ?
 
Umenikumbusha mbali enzi za kina Maxshimba & co walikuwa wakizidiwa hoja ni kukimbilia vitu nje ya mada. Labda unisaidie kingine kwa ufupi since avatar yako inasema jesus is god.

Waliotengeneza character ya Yesu waliamua kuiga au walikuwa wamechoka kiakili na kuamua kucopy characteristics za miungu wa zamani kuliko yeye wengine hadi wengine miaka 3000 kabla yake
ambazo ni kuzaliwa na bikra, tarehe 25 disemba, kufufuka baada ya siku tatu, kutembea kwenye maji, wafuasi kumi na mbili nk.

Mfano;
Egyptian Horus 3000bc
Dionysus 500 bc
Mithra 1200 bc
Krishna na wengineo wengi

Ilikuwaje why so much resemblance in character na hiyo miungu ya zamani kabla yake?? Au ndiyo mambo ya kunyofoa story kwenye DC comics za zamani na kuibadilisha na kwenda kupublish upya Marvel years later?

SASA NAKUJIBU MASWALI YAKO:

Yesu hakutengenezwa bali alikuwepo. Ushaidi ni huu hapa:

BC maana yake before Christ. Bingooooooooooooooooooooo, kumbe ulisha jijibu halafu unasema tena katengenezwa. BC is your answer.
 
Haha, is this part of ur investigation mkuu?

If you cannot recognize a linguistic tautology, how can you have any hope of grasping the insidious intricacies and counterintuitive contradictions pertaining to the philosophy of religion and the nature of the supposed godhead?
 
Umenikumbusha mbali enzi za kina Maxshimba & co walikuwa wakizidiwa hoja ni kukimbilia vitu nje ya mada. Labda unisaidie kingine kwa ufupi since avatar yako inasema jesus is god.

Waliotengeneza character ya Yesu waliamua kuiga au walikuwa wamechoka kiakili na kuamua kucopy characteristics za miungu wa zamani kuliko yeye wengine hadi wengine miaka 3000 kabla yake
ambazo ni kuzaliwa na bikra, tarehe 25 disemba, kufufuka baada ya siku tatu, kutembea kwenye maji, wafuasi kumi na mbili nk.

Mfano;
Egyptian Horus 3000bc
Dionysus 500 bc
Mithra 1200 bc
Krishna na wengineo wengi

Ilikuwaje why so much resemblance in character na hiyo miungu ya zamani kabla yake?? Au ndiyo mambo ya kunyofoa story kwenye DC comics za zamani na kuibadilisha na kwenda kupublish upya Marvel years later?


Before Christ is enough. Jiulize tu, kwanini Wamtumie Yesu Mungu? I mean, DUNIA nzima inaamua kubadilisha tarehe, kisa, kazaliwa Yesu!!!

Jiulize, kwanini wise men from far east walienda kumwona huyo Al Masih? Yaani hata PC yako, Simu yako, Kalenda yako, Gazeti la leo, etc zote zinafuata tarehe za YESU? HATA WANA SAYANSI, WANA HISTORIA NA DUNIA NZIMA MPAKA MWEZINI, wote wanakiri kuwa huu ni mwaka wa 2014. KISA, YESU KAZALIWA!!!!

jiulize, HUYU YESU, KIVIPI ABADILISHE MWENENDO WA HISTORIA? Watu walikuwa wanaishi kama kawaida, mara, YESU Kazaliwa, teyari Wafalme, Wanafilosofia, Waalimu, Mawakili, Wanafunzi, kila sehemu, wanaanza kuhesabu miaka UPYAAA, na ile ya zamani waniita BC!!! KISA Kazaliwa Yesu Mungu.

Jiulize kwanini hii Dunia yote mpaka hii leo bado wanatumia tarehe za Yesu, eti huu ni mwaka 2014, KISA KAZALIWA YESU.

Jiulize, kwanini iwepo BC? Kwanini wasinge endelea kuhesabu miaka yao, KISA KAZALIWA YESU

Sasa wewe unakiri kuwa, HUYU YESU alitembea kwenye maji, na hata Historia ipo inakubali, nani mwingine alifanya hayo?

Hebu NIAMBIE, nani mwinge aliweza kupaa hewani bila ya kutumia chombo/ YESU KAPAA BILA YA CHOMBO.

Niambie wapi hapa DUNIA ambapo hawamfahamu YESU? Hata Ukienda Makkah, Ukienda Roma, Ukienda Russia, Ukienda Uchina, wote wanafahamu kuwa huu ni mwaka 2014, KISA KAZALIWA YESU.

Namaliza kwa KISEMA

YESU NI MUNGU
 
Usicheke sana. Jamaa hawa hapa

images


images



Non theists hate God because they want to practice gay and lesbianism. As I said before, all of them are married gays.

Hapo kwenye blue imewauwa hawa.

HILO haswaa ndilo tatizo lao, wanapenda hiyo tabia, sasa hawapo radhi waiache, hivyo basi, wakaamua kupinga Mungu huku kwenye nyoyo zao roho zinawadunda, WHAT IF THERE IS GOD?

Ngoja nikupe habari fulani: Siku moja nipo kwenye Ndege, kama kawaida yangu, Nasoma Biblia kiuwazii, jamaa mmoja on my left side kaanza, Ohh hicho unacho soma ni nini? Nilimwangalia tu, na sikumjibu, maana neno lilikuwa ndio linakolea, jamaa karudia tena, Is that the Bible, King James Version? Basi Nikamwambia kama ambavyo nawajibu wengi, HILI NI NENO LA MUNGU, Jamaa kaanza Oooh mimi siamini kama kuna Mungu, nikamwambia, good for you, at least huna wasiwasi wa kifo, you just die like a dog? Jamaa kaanza kupandisha, are you calling me a dog, nikamwambia, sioni tofauti yako ya wewe na Mbwa, YOU WILL DIE LIKE A DOG, Jamaa kauliza why are you calling me a dog, Nikambwamia, wewe huna tofauti na Mbwa.

SASA wakati tunaendela na maneno hapa na pale, ghafla, kukawa na turbulence, ndege inatikisika, hapo kila mtu yupo kimyaa maana sometimes turbulence can scare your life, Mimi nikamuuliza vipi, mbona kimya rafiki yangu, The dude kanilushia jicho kama vile Mjusi Kafiri kabanwa kwenye Mlango.

Ndugu yangu, pale mtikisiko ulipo kwisha nilimsikia jamaa anasema thanks God. Then I looked at him, NA KUMUULIZA, Vipi sasa unaamini Mungu? The dude never spoke with me again, thereafter,,,,

Hawa woote, Makafir wa Ki nOn theists, wooote, I mean that, ni waoga wa kufa na UOGA WAO HAWAJUI Wapi wataenda baada ya kifo. HUO NAO NI MSIBA.

Ndio maana, UKITAJA MUNGU TU, Woote wanaanza ligi na kutokwa mapovu mdomoni yao chafu, SASA, KAMA MUNGU HAYUPO, Niaje upagawe namna hii, unaamka saa 12 asubuhi kubishana kwasababu ya Mungu asiye kuwepo?

Hakika Wehu na Vichaa wapo wa aina nyingi lakini kwa pembeni yao yupo Punguani kama yule aliye kuwa maekaa kwenye ndege na mimi.


YESU NI MUNGU
 
If you cannot recognize a linguistic tautology, how can you have any hope of grasping the insidious intricacies and counterintuitive contradictions pertaining to the philosophy of religion and the nature of the supposed godhead?

I thought u shit on gods mkuu, what do u want to know about him? U don't believe, keep on not believing. I won't answer any of ur questions.

U shit on the cure for AIDS, and u still waste ur time on investigating its ubiquity?
This means u would love to have sex without a condom knowing/believing the cure will save u. If not, why investigate? What's the purpose of ur investigation?

What are u going to do once u find out its there? Of course u can't answer me that, u are simply going say "there will never be a cure for AIDS".

I don't know where u are standing my friend, that's why there's no point on answering ur naïve questions.
 
Kujua ni kupanga?

Unaweza kuwa hujanielewa
Namaanisha hivi:
Ukijua kesho mvua itanyesha ndio unakuwa umepanga inyeshe?

Hapana mkuu. Je Mungu anaweza kujua kesho inanyesha na isinyeshe?
 
I thought u shit on gods mkuu, what do u want to know about him? U don't believe, keep on not believing. I won't answer any of ur questions.

U shit on the cure for AIDS, and u still waste ur time on investigating its ubiquity?
This means u would love to have sex without a condom knowing/believing the cure will save u. If not, why investigate? What's the purpose of ur investigation?

What are u going to do once u find out its there? Of course u can't answer me that, u are simply going say "there will never be a cure for AIDS".

I don't know where u are standing my friend, that's why there's no point on answering ur naïve questions.

You won't answer any of my questions yet you can't restrain yourself from replying to my posts.

Pick one. Do you want to answer my questions or not? Right now you are contradicting yourself.

I doubt you understand the difference between me shitting on a current Profesa Maji Marefu's cure for AIDS and not shitting on the possibility that it is conceivable that a cure for AIDS will be found.

But then again, you threw a tautology like an iliterate nincompoop, so why should I expect you to know any better?

Your positions on me shitting on the cure for AIDS and loving to have sex without a condom knowing the cure will save me is a classical non sequitur. Your religiosity has blinded you so much that you see everything in the tint of your fuucking useless godhead.

Why would an all capable, all loving.godhead create a world.with so much senseless suffering as this? You have not answered this question.

I just shat on redundancies, you are still stuck on me shitting on gods?

Science, on which the cure for AIDS is mainly based upon, is founded on inquiry, reevaluation.of positions according to the evidence and investigation.

I have no problem changing my positions, as long as the evidence is sufficiently convincing.

But that does.not nean I can't shit on hogwash today, by today's evidence.

I suspect that yoy not only don't know where I am standing, but also that you do not have the ability to know where I am standing.
 
Tusihangaike kuruka vihunzi hapa mchungaji mungu hayupo wala hakuna ushahidi valid unaoProve uwepo wake. Kukosa majibu kwetu kwa baadhi ya vitu hakumaanishi kuna mungu.

Mimi nimekutaka unipe ushahidi wa madai yako na badala ya kunipa unaleta ngonjera

Sasa anaeruka viunzi ni nani hapa?
 
Back
Top Bottom