EXACTLY. hata concept ya [a world where death is impossible+world where death is impossible] is difficult for some people to grasp.
hivi Mkuu wa chuo mbona sionagi unatoa mawazo yako? we ni kulike tu na kuquote watu na kuwashabikia!!!! its weird dude
lets make JF a better place and stop with the insults
Watu wanataka kuanza kujichukulia maujiko tusipoangalia tunaweza tukaambiwa hata Theory of relativity ni mawazo yao, kumbe kina Einstein walisha develop muda mrefu tu hata kabla ya kuzaliwa kwao, Mtu anadiriki kusema ya kwamba eti yote anayoongea hapa ni mawazo ya kutoka kichwani kwake atleast watu wengine wana reasoning nzuri...Hapa hakuna anaetoa mawazo yake,haya yanayojadiliwa hapa yalishajadiliwa miaka mingi/miaka nenda rudi na watu wengi.
Tunachofanya hapa ni kurudia idea zile zile zaidi kuweka maneno yetu machache sana.
Kama kuna mtu anadai hapa anatoa mawazo yake/idea zake mwenyewe 100% atakua muongo sana.
Mkuu, you did not insult anyone here zaidi ya kufumbua watu macho. Sasa kama kufumbua watu macho kumekuwa insult, basi ndio maana it is hard if not impossible kwa your lovely dog, Osama to believe in God.Did i insult any one here? As i said earlier,a dog does not believe God's existence,a dog is an atheist.
To tell a dog,stone or potato about God's existence so that they can believe you need a divine intervention. The same applies to me,if i want my lovely dog,Osama to believe in God i need divine intervention.
I insulted no one here!
You don't understand Physics ...you didn't mention antimatter in your definition, I did. Kukukosoa wewe ambaye huja ongelea antimatter kwenye definition yako ya Physics.
Unajifanya kuniuliza kama najua antimatter wakati mimi ndio niliyoleta hiyo kitu. ..unatia aibu kwa kweli.
EXACTLY. hata concept ya [a world where death is impossible+world where death is impossible] is difficult for some people to grasp.
hivi Mkuu wa chuo mbona sionagi unatoa mawazo yako? we ni kulike tu na kuquote watu na kuwashabikia!!!! its weird dude
We hayo unayotoa ni mawazo yako kweli? inamaana kweli kabisa umeyatoa kichwani mwako? saa nyingine inatolewa mifano mpaka inaingia akilini, yaani saa nyingine mtu anaandika mpaka unafurahi... kwa mfano yale mambo uliyoandika kule kwenye Evolution yaani hakuna mtu mwingine ambaye amewahi kuyazungumza ni ya kichwani kwako kabisa!? Dah! kama ndio hivyo safi sana...
Ni concept rahisi kuliko ya kwa nini binadamu wanakufa natural death.
Jinsi cell zinavyojizalisha is easy to live forever than to die.The only thing is stopping a biological clock then no aging no getting weak and die.
The question is when and where this will happen? Seek the answer , I have mine.
Okay sawa...uuuummm this is DEFINITELY not what I meant!! Never mind Mkuu wa chuo
Hapa hakuna anaetoa mawazo yake,haya yanayojadiliwa hapa yalishajadiliwa miaka mingi/miaka nenda rudi na watu wengi.
Tunachofanya hapa ni kurudia idea zile zile zaidi kuweka maneno yetu machache sana.
Kama kuna mtu anadai hapa anatoa mawazo yake/idea zake mwenyewe 100% atakua muongo sana.
the question is why the possibility for death was created by an all-loving God
Mkuu, you did not insult anyone here zaidi ya kufumbua watu macho. Sasa kama kufumbua watu macho kumekuwa insult, basi ndio maana it is hard if not impossible kwa your lovely dog, Osama to believe in God.
Watu wanataka kuanza kujichukulia maujiko tusipoangalia tunaweza tukaambiwa hata Theory of relativity ni mawazo yao, kumbe kina Einstein walisha develop muda mrefu tu hata kabla ya kuzaliwa kwao, Mtu anadiriki kusema ya kwamba eti yote anayoongea hapa ni mawazo ya kutoka kichwani kwake atleast watu wengine wana reasoning nzuri...
:A S wink: hahahahah tuendelee mkuu tunaweza tukaongeza imani zaidi...Mheshmiwa nilisema awali,kudebate na militant atheists ni kazi kweli kweli. Alafu wengi wao huwa ni mashoga/wasagaji.
Kama wanavyotaka waonekane wenye akili na kujua mambo mengi kama sio yote kuliko wengine,unawaacha. Unaishi na -------- kadri ya upumbavu wake...yangu macho. Wewe endelea maana naona kama una moyo wa aina yake.
Excuse You!
Death is consequence , with freewill you need regulations.Adam and Eve there were perfect ...they were using 100% in contrast to me and you or other who we call our genius we use 10%, with freewill they know what they did and they know consequences. Just imagine freedom without control .
There will be no death , no sickness "in the future".
Mkuu, you did not insult anyone here zaidi ya kufumbua watu macho. Sasa kama kufumbua watu macho kumekuwa insult, basi ndio maana it is hard if not impossible kwa your lovely dog, Osama to believe in God.
Kabisa mheshimiwa. Kuelimisha/kushawishi mbwa kuhusu uwepo wa Mungu sio mchezo.
Naamini Mungu,natamani mbwa wangu kipenzi Osama aamini kama mimi ili twende wote mbinguni
kushawishi mbwa wangu,paka na masufuria yangu pale nyumbani yajue Mungu yupo sijatukana mtu.
Watu wanataka kuanza kujichukulia maujiko tusipoangalia tunaweza tukaambiwa hata Theory of relativity ni mawazo yao, kumbe kina Einstein walisha develop muda mrefu tu hata kabla ya kuzaliwa kwao, Mtu anadiriki kusema ya kwamba eti yote anayoongea hapa ni mawazo ya kutoka kichwani kwake atleast watu wengine wana reasoning nzuri...