kaka km
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 1,336
- 686
EXACTLY. hata concept ya [a world where death is impossible+world where death is impossible] is difficult for some people to grasp.
hivi Mkuu wa chuo mbona sionagi unatoa mawazo yako? we ni kulike tu na kuquote watu na kuwashabikia!!!! its weird dude
Hapa hakuna anaetoa mawazo yake,haya yanayojadiliwa hapa yalishajadiliwa miaka mingi/miaka nenda rudi na watu wengi.
Tunachofanya hapa ni kurudia idea zile zile zaidi kuweka maneno yetu machache sana.
Kama kuna mtu anadai hapa anatoa mawazo yake/idea zake mwenyewe 100% atakua muongo sana.
Last edited by a moderator: