If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?


na nani aliyemtengeneza mungu?
 
Sema.MWENYEZI MUNGU NI mm0ja tu,Hakuzaa wala hakuzaliwa,Na hakuna anayefanana naye hata mmoja.
 
If God knows your future you can not change your destiny beyond limitation of Gods'knowledge.
Hope God has limit as well.
 
Amekuelewa kweli huyu mtu wa imani pasipo kuuliza? 😁
 
kwa kauli yako hapa inaonyesha upendo wa Mungu ni conditional si ndiyo?
 
Kuna mambo mawili katika dini
1. Imani
2. Elimu

Imani unaamini heri na shari kavipanga mungu

Elimu
Unaamini heri kapanga mungu na Shari kapanga shetani

Turejee kisa cha nabii ayubu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…