If I was Uhuru Kenyatta I would be worried now

If I was Uhuru Kenyatta I would be worried now

mzee tumia "were" badala ya "was"....na pia two "horses" badala ya "horse"
 
Jadilini uzi Geza Ulole and SMU mzee si mmemwelewa?

Hii lugha ya mkoloni inasumbua sana sisi wa TZ.LOL!
 
Last edited by a moderator:
duhh mzee hapa kuna cha kujadili? au ndiyo yale yale ya kufikilia kiccm kiccm?
 
Kwa sababu Raila anatakiwa kuonyesha tu kwamba point seven percent ni batili na uchaguzi utarudiwa kwa two horse race.


pendekezo langu kwenye kichwa cha habari

1. If I were Uhuru Kenyata, I would have been worried by now.


Ningalikuwa Uhuru Kenyata, kwa sasa ningalikuwa na hofu.

2. If I were Uhuru Kenyata, I would be worrying by now.

Ningekuwa Uhuru Kenyata, kwa sasa ningekuwa na hofu.
 
Andrew Nyerere kuna jimbo moja waliandikishwa wapiga kura 29,000 Uhuru amepata kura 61,000 ina maana wakiweza kuthibitisha hilo jimbo moja matokeo yanatenguliwa? Jee kuna hakikisho uchaguzi ukirudia Uhuru si bado atambwaga kwa maana ya kura za Wakikuyu na Wakalenjii + Mudavadi + Peter Keneth?
 
Last edited by a moderator:
Kwa sababu Raila anatakiwa kuonyesha tu kwamba point seven percent ni batili na uchaguzi utarudiwa kwa two horse race.

Great leaders dont worry as much...
Btw, the worst that can happen to Uhuru right now is power sharing,..why would he worry about a cake thats already in hand?..Raila tactically lost when Kikuyu merged with Kalenjini...he had no way out..
 
Andrew Nyerere kuna jimbo moja waliandikishwa wapiga kura 29,000 Uhuru amepata kura 61,000 ina maana wakiweza kuthibitisha hilo jimbo moja matokeo yanatenguliwa? Jee kuna hakikisho uchaguzi ukirudia Uhuru si bado atambwaga kwa maana ya kura za Wakikuyu na Wakalenjii + Mudavadi + Peter Keneth?


That area was Endebess as per the social media. But on IEBC website and presidential tally the data which is there is;

[TABLE="class: cms_table, width: 202"]
[TR]
[TD]CONST CODE[/TD]
[TD="align: right"]137[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CONST_NAME[/TD]
[TD]ENDEBESS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DIDA[/TD]
[TD="align: right"]104[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KARUA[/TD]
[TD="align: right"]154[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KENNETH[/TD]
[TD="align: right"]140[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KENYATTA[/TD]
[TD="align: right"]11,213[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIYIAPI[/TD]
[TD="align: right"]215[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MUDAVADI[/TD]
[TD="align: right"]4,012[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MUITE[/TD]
[TD="align: right"]68[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ODINGA[/TD]
[TD="align: right"]7,608[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]VALID VOTES[/TD]
[TD="align: right"]23,514[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]REJECTED[/TD]
[TD="align: right"]712[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]VOTES CAST[/TD]
[TD="align: right"]24,226[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]REG VOTERS[/TD]
[TD="align: right"]28,962[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TURNOUT[/TD]
[TD="align: right"]84%[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Lets argue with facts.
 
Andrew Nyerere kuna jimbo moja waliandikishwa wapiga kura 29,000 Uhuru amepata kura 61,000 ina maana wakiweza kuthibitisha hilo jimbo moja matokeo yanatenguliwa? Jee kuna hakikisho uchaguzi ukirudia Uhuru si bado atambwaga kwa maana ya kura za Wakikuyu na Wakalenjii + Mudavadi + Peter Keneth?

Develop a habit of perusing beyond rhetoric
 
Back
Top Bottom