If our President has more than one wife: The question of human rights

If our President has more than one wife: The question of human rights

wagombea hatki za wanawake. mbona mnaishia katikati? mbona hamsemi suala la watoto kuchukua jina la ukoo wa mwanaume ni uvunjaji wa haki za wanawake?

mbona hamsemi mume kuwa "automatic" mkuu wa nyumba ni uvunjaji wa haki za wanawake?

kwanini hampigi vita suala la kulipa mahali kama uvunjaji wa haki za wanawake?

yaani kweli watu wanaamini mtu akioa mke mmoja basi haki za wanawake zitakuwa zimelindwa! huko kwenye ndoa ya mke mmoja mbona nako pia haki zinavunjwa?

kama hamtazungumzia suala la haki za wanawake katika ujumla wake basi hili suala la kudai mke mmoja litakuwa la kinafiki na naamini wale wanaoona hii hoja ina harufu ya udini watakuwa sawa.

ni hayo tuu.

Maswali uliyouliza yanaweza kujibiwa hivi: kwanza, lazima uelewe kuvunja haki za binadamu ni kufanya nini na kumwonea mtu ni nini. Kuvunja haki za binadamu kuna maana zaidi ya vitendo viovu vinavyofanywa na vyombo vya dola au viongozi wa serikali dhidi ya raia. Mfano, polisi/askari/mgambo/viongozi wa serikali kuonea raia kwa kuwapiga, kudai rushwa, kutolipa mishahara ya wafanyakazi kwa wakti bila sababu muhimu nk - huo ndiyo uvunjaji wa haki za binadamu.

Halafu kuna uonevu kati ya mtu na mtu - kuanzia familia hadi maofisini. Huku kunaweza kuwa kuvunja sheria za nchi au kundi fulani la watu kuonea watu wengine.

Kuhusu mme kuwa kichwa cha familia: kwa 'experience' yangu mme au mke sio kichwa cha familia bali wote wawili (wazazi ndio kichwa cha familia). Ila kwa maelezo yako naweza kusema hivi: familia ninayotoka mimi, mama ndiye alikuwa "kichwa cha familia" kuliko baba. Kwa hiyo, control ya familia ilikuwa zaidi kwa mama kuliko baba.

Baadhi ya makabila, watoto ni mali ya mama na wajomba (kaka zake mama). Ndiyo wenye uamuzi wa mwisho. Mfano, mtoto wa kike akipata mchumba na anataka kuolewa, wanohusika zaidi ni hao niliowataja. Hii niliona hasa kwa Wachewa, Malawi.

Baadhi ya makabila huko Uganda, mtoto anaitwa majina matatu: Mfano, Robert-Mary Lubega. Jina la kwanza ni la mtoto; la pili la mama na la tatu la baba.

Kuvunja haki kati ya mtu na mtu ni pale mtu mmoja anapojiona ni bora zaidi au chochote anachokitaka yeye lazima kifanyike na siyo cha mwenzake.

Mimi nimeoa mke mmoja lakini msimamo wa mke wangu ni kwamba nikitaka kuoa mke mwingine au siku nitakayo mleta mke mwingine yeye atanipisha na kurudi kwao au atatafuta maisha yake mwenyewe.

Na mimi nakubaliana naye kwani sioni kwa nini nioe mke mwingine zaidi yake wakati mimi nimeridhika naye kwa yote na ndivyo nilivyoahidi wakati tukioana kuwa pamoja na kuvumiliana - wakati wa neema na mateso, raha na shida.

Wengine wanasingizia eti kuoa wake wengi ni kutimiza 'sexual urges'. Ni uongo mtupu! Kwani unadhani mwanamke anatimiziwa haja na mme mmoja tu? Mara nyingi kinachotokea kwenye ndoa ni kuwa na 'control' na hizo 'sexual urges'. Kwani nani hana? Siyo rahisi mtu kumtoshereza mwenzake hata kama mmoja ana nguvu kiasi gani kwani kumtoshereza mwingine hakuko tu kwa yule mwenye nguvu zaidi bali pia yule mwingine anajisikiaje 'under the circumstances'.

Mfano, mke anaweza kuwa anapenda safari nne lakini mme anaweza moja tu au mme anapenda zaidi na mke anasema basi/amechoka. Si lazima kutafuta tu namna ya kuvumiliana kwa hili? Lakini kumwoa mwingine ni kuongeza matatizo tu. Kwani baada ya kutoka kwa mke fulani, mwingine naye anaweza kusema anapenda. Sasa itakuwaje?

Mimi nadhani maana halisi ya ndoa ni 'complementarity/companionship'. Na kitu kinachounganisha ni upendo. Kwani kama kuna upendo kila kitu kitakuwa na maana. Lakini kama upendo haupo, kutabaki kutumiana tu na siku mmojawapo atakapoonyesha kudhoofika kingono basi ndio mwisho wa kuwa pamoja. Lakini kwa wale wanaopendana hata muda huo ukifika bado wanakuwa pamoja tu kama mke na mme.

Nakumbuka baadhi ya wazee waliooana wanaishi kila mmoja kitanda chake kwa vile 'sex' haina maana tena katika maisha yao lakini wanakuwa wakipendana na kila kitu wanafanya pamoja mpaka Mungu alipowachukua. Wasingekuwa na upendo si wangekuwa wameshaachana zamani?

Kuhusu mahari: baadhi ya makabila hapa Tanzania hawatoi mahari. Huwa nasikia Wachaga ni kabila moja wapo. Huko Malawi, Wachewa hawana cha mahari ila kuna zawadi fulani zinazopelekwa kwa mtemi (mfumu) mtu akitaka kuoa kwenye kijiji chake.
 
Last edited:
Maswali uliyouliza yanaweza kujibiwa hivi: kwanza, lazima uelewe kuvunja haki za binadamu ni kufanya nini na kumwomea mtu ni nini. Kuvunja haki za binadamu kuna maana zaidi ya vitendo viovu vya vyombo vya dola au viongozi serikali dhidi ya raia. Mfano, polisi/askari/mgambo/viongozi wa serikali - huo ndiyo uvunjaji wa haki za binadamu.

Halafu kuna uonevu wa mtu na mtu - kuanzia familia hadi mtaani. Huku kunaweza kuwa kuvunja sheria za nchi au kundi fulani la watu kuonea watu wengine.

Kwa 'experience' yangu mme sio kichwa cha familia. Mfano, familia ninayotoka mimi, mama ndiye alikuwa kichwa cha familia kuliko baba. Ndiye alikyekuwa na sauti kiuchumi na vilevile akisema hatuli, ni kweli hatuli. Lakini baba akisema hatuli, tulikuwa tunakula: yaani, baba akilala, mama alikuwa anaweza kutupa chakula ili tule. Kwa hiyo, control ya familia ilikuwa zaidi kwa mama kuliko baba.

Baadhi ya makabila, watoto ni mali ya mama na wajomba (kaka zake mama). Ndiyo wenye uamzi wa mwisho, mfano, mtoto wa kike akipata mchumba na anataka kuolewa, wanohusika zaidi ni hao niliowataja (Wachewa, Malawi).

Baadhi ya makabila huko Uganda, mtoto anaitwa majina matatu: Mfano, Robert-Mary Kabuye. Jina la kwanza ni la mtoto; la pili la mama na la tatu la baba.

Kuvunja haki kati ya mtu na mtu ni pale mtu mmoja napojiona ni bora zaidi au chochote anachokitaka yeye lazima kifanyike na siyo cha mwenzake. Mfano, mimi nimeoa mke mmoja lakini msimamo wa mke wangu ni kwamba nikitaka kuoa mke mwingine yeye atanipisha na kurudi kwao au kutafuta maisha yake mwenyewe.

Na mimi nakubaliana naye kwani sioni kwa nini nioe mke mwingine zaidi yake wakati mimi nimeridhika naye kwa yote na ndiyo nilivyoahidi wakati tunaoana kuwa pamoja na kuvumiliana - wakati neema na matesho, raha na shida.

Wengine wanasingizia eti kuoa wake wengi ni kutimiza 'sexual urges'. Ni uongo mtupu. Kwani unadhani mwanamke anatimiziwa haja na mme mmoja tu? Mara nyingi kinachotokea kwenye ndoa ni kuvumiliana katika hizo 'sexual urges' kwani hakuna anayeweza kumtoshereza mwenzake katika maana hiyo.

Mfano, mke anaweza kuwa anapenda safari nne lakini mme anaweza moja tu au mme anapenda zaidi na mke anasema basi/amechoka. Si lazima kutafuta tu namna ya kuvumiliana kwa hili? Lakini kumwoa mwingine ni kuongeza matatizo tu. Kwani baada ya kutoka kwa mke fulani, mwingine naye anaweza kusema anapenda. Sasa itakuwaje?

Mimi nadhani maana halisi ya ndoa ni 'complementarity/companionship'. Na kitu kinachounganisha ni upendo. Kwani kama kuna upendo kila kitu kitakuwa na maana. Lakini kama upendo haupo, kutakabi kutumiana tu na siku mmojawapo atakapoonyesha kudhoofika kingono basi ndio mwisho wa kuwa pamoja. Lakini kwa wale wanaopendana hata muda huo ukifika bado wanakuwa pamoja tu kama mke na mme.

Nakumbuka babu yangu alikuwa anaishi na mke wake, kila mmoja kitanda chake kwa vile 'sex' haikuwa tena na maana katika maisha yao lakini walikuwa wanapendana na kila kitu walifanya pamoja mpaka Mungu alipowachukua. Wasingekuwa na upendo si wangekuwa wameshaachana zamani?

Kuhusu mahari: baadhi ya makabila hapa Tanzania hawatoi mahari. Huwa nasikia Wachaga ni kabila moja wapo. Huko Malawi, Wachewa hawana cha mahari ila kuna zawadi fulani zinazopelekwa kwa mtemi mtu akitaka kuoa kwenye kijiji chake. Zinaitwa 'kutsira manja' - yaani kuomba mke.

I am so proud of you Magobe T, this is what Tanzanians need to understand, it isnt about culture or religious belief, it is all about morals and diginities. Looking and priotising the idea of making good families and communities, give everyone equal opportunity in life is what drive self and country economic development. We can't make Tanzania move forward while we are not looking at where our socities and families stand.

Kama mtu awawezi kusacrifise his/her sexual desire to his family how can he sacrifise and compromise his own needs to the nation? watu wanasema generosity start at home, and we need this to be seen in our country leaders.
 
just got married in Tanzania at an area comissioner's office. The legal Tanzanian marriage certificate has 3 choices for the type of marriage desired - 1. marriage between one man and one woman 2. marriage one man and a possiblity of several women 3. marriage of one man to multiple women .
The couple chooses and the selection is marked and the other 2 are crossed out. So before condemning our dear President, let us look at the laws of our esteemed country.
He is after all the first citizen , as far as I am concerned just following his rights to marry according to the laws of his country ( if not his religion) ......NOT THAT I AGREE WITH ANY OF IT.
 
just got married in Tanzania at an area comissioner's office. The legal Tanzanian marriage certificate has 3 choices for the type of marriage desired - 1. marriage between one man and one woman 2. marriage one man and a possiblity of several women 3. marriage of one man to multiple women .
The couple chooses and the selection is marked and the other 2 are crossed out. So before condemning our dear President, let us look at the laws of our esteemed country.
He is after all the first citizen , as far as I am concerned just following his rights to marry according to the laws of his country ( if not his religion) ......NOT THAT I AGREE WITH ANY OF IT.

well that is more sad news... When was this law formed? Is this law still applicable in this 21st centrury? is it still right? and why is it giving only choices to a men in marriage! what does this man who we, Public, choose to represent us and set an example as a nation leader stands about this? To me he supports the ukiritimba kwa wanawake, ndio maana tunaquestion his ability to set a good example to the community! and thus why he is ashame of his second wife, as well as his mistress.
 
Polygamy to moslems is a rightful act


It is only and only if you can provide and fulfill economically and sexually desire to them, and this is applicable to muslim countries by law, tanzania has no religious... we are neutral
 
Moderator,

Heshma mbele Mkuu!

Swala hili ni la KISIASA moja kwa moja. Si la mahusiano na mapenzi. Ni swala la HAKI ZA BINADAMU. Naomba ulirudishe kwenye nafasi yake ya SIASA.

Nyan Ngabu,

I am not imposing morals of any kind, let alone mine. I am simply making the political statement that it is against human rights for one man to have more than one woman as a wife. It is against human rights because it denigrates the rights of women.

Usichanganye siasa na mapenzi! na kama ni human rights- ni rights za wanawake kuchagua partners wanaowapenda hata kama wana wanawake wengine 10 ama ma-lesbian! Hapo vipi?
 
Mmmmmmmmmmm!Sikuelewi.Mbona dini yake inamruhusu."This seems rather too personal" hata hivyo.
 
Usichanganye siasa na mapenzi! na kama ni human rights- ni rights za wanawake kuchagua partners wanaowapenda hata kama wana wanawake wengine 10 ama ma-lesbian! Hapo vipi?

Ndugu yangu hapa umechemsha, sasa wale wanawake vijijini wanaolazimishwa kuolewa na polygamous husbands unasema wanahuman rights?

This is what we are talking about human rights? our government wanafanya nini kuhusu hii? JK anafanya nini? anasupport through his own action? its doesnt matter kama wanawake zake wapo happy or not he is a president he has to show example.. hatusemi awaache wake ila what we say its against human morals and dignity, kama yupo right mbona hajasimama na wote kwenye uchaguzi?
 
Mmmmmmmmmmm!Sikuelewi.Mbona dini yake inamruhusu."This seems rather too personal" hata hivyo.

Tikerra Tikerra.. dini zetu zinaruhusu mambo mengi na kama kila mtu akifuata dini yake situtakuwa tunatoana macho kila siku..... it isnt about dini au kabila its all about wat is good for the country.. mimi kama kabila na dini yangu inaniruhusu kula nyama ya binadamu will it be right to do that? obviously no..right that is what we mean mate....
 
Ndugu yangu hapa umechemsha, sasa wale wanawake vijijini wanaolazimishwa kuolewa na polygamous husbands unasema wanahuman rights?

This is what we are talking about human rights? our government wanafanya nini kuhusu hii? JK anafanya nini? anasupport through his own action? its doesnt matter kama wanawake zake wapo happy or not he is a president he has to show example.. hatusemi awaache wake ila what we say its against human morals and dignity, kama yupo right mbona hajasimama na wote kwenye uchaguzi?

Na rais wa pili alikuwa na wangapi? alitoka nao kama unavyotamani?
 
If this is true, I have a bigger problem with JK keeping it hush hush that actually marrying a second wife.Remember, JK is muslim and entitled to four wives according to his religion. Human rights include freedom of worship and if you impose Judeo-Christian values on him, he can simply say he is not part of the Judeo-Christian world.

As much as marrying more than one wife may sound as a human right violation, imposing one;s way of life on an established religion and cultural lifestyle is equally condescending.

My question is why is this woman denied her human right of being known as JKs second wife?

But then again Muslim wives are supposed to be under the veil!
 
Binafsi I believe in democracy and I respect people’s choices on how to conduct their lives, however we should all understand and appreciate there are some individual and society morals which drive our country, and whenever we talk about ukombozi and development ya nchi yetu tunatakiwa kuziconsider ni part of siasa.
A president, ministers and Parliament Pembers should be role models of our societies. Tunapoongelea tatizo la huyu mtu anaitwa JK kuwa na wake wengi inawezekana kwake na wake zake ni sawa ILA THE QUESTION IS, WHAT DOES HE SETS AS AN EXAMPLE TO THE TANZANIAN COMMUNITY? TO SMALL SOCIETIES WHERE A WOMAN HAS NO FREEDOM OF CHOICE AS WELL AS HER FREEDOM ON MAKING A DICISION IN HER OWN LIFE? OR MAKE A CHOICE OF WHAT SHE NEEDS TO MAKE OUT OF HER LIFE?
Watanzania wenzangu it is time now for a change in Tanzania, na kama tunapiga kelele kuhusu rushwa and ufisadi we also need to look at human rights that include gender rights. Healthy families make healthy communities and we should all remember that 80% of rural areas citizens don’t know what democracy means?, ata wanawake and Watoto hawajui they have legal rights to make their own choices, and where does president stand on this AS A ROLE MODEL OF THE TANZANIA SOCIETIES?
As rumour has it! Story za mitaani ni kwamba huyu jamaa ana mistress although ana mke zaidi ya mmoja! Sasa what does he do to fight Ukimwi? Or will I be right to question whether this man is a womanizer?


Watanzania wenzangu it is time now for a change in Tanzania, na kama tunapiga kelele kuhusu rushwa and ufisadi we also need to look at human rights that include gender rights. Healthy families make healthy communities and we should all remember that 80% of rural areas citizens don’t know what democracy means?, ata wanawake and Watoto hawajui they have legal rights to make their own choices, and where does president stand on this AS A ROLE MODEL OF THE TANZANIA SOCIETIES?
 
Maswali uliyouliza yanaweza kujibiwa hivi: kwanza, lazima uelewe kuvunja haki za binadamu ni kufanya nini na kumwonea mtu ni nini. Kuvunja haki za binadamu kuna maana zaidi ya vitendo viovu vinavyofanywa na vyombo vya dola au viongozi wa serikali dhidi ya raia. Mfano, polisi/askari/mgambo/viongozi wa serikali kuonea raia kwa kuwapiga, kudai rushwa, kutolipa mishahara ya wafanyakazi kwa wakti bila sababu muhimu nk - huo ndiyo uvunjaji wa haki za binadamu.

Halafu kuna uonevu kati ya mtu na mtu - kuanzia familia hadi maofisini. Huku kunaweza kuwa kuvunja sheria za nchi au kundi fulani la watu kuonea watu wengine.

Kuhusu mme kuwa kichwa cha familia: kwa 'experience' yangu mme au mke sio kichwa cha familia bali wote wawili (wazazi ndio kichwa cha familia). Ila kwa maelezo yako naweza kusema hivi: familia ninayotoka mimi, mama ndiye alikuwa "kichwa cha familia" kuliko baba. Kwa hiyo, control ya familia ilikuwa zaidi kwa mama kuliko baba.

Baadhi ya makabila, watoto ni mali ya mama na wajomba (kaka zake mama). Ndiyo wenye uamuzi wa mwisho. Mfano, mtoto wa kike akipata mchumba na anataka kuolewa, wanohusika zaidi ni hao niliowataja. Hii niliona hasa kwa Wachewa, Malawi.

Baadhi ya makabila huko Uganda, mtoto anaitwa majina matatu: Mfano, Robert-Mary Lubega. Jina la kwanza ni la mtoto; la pili la mama na la tatu la baba.

Kuvunja haki kati ya mtu na mtu ni pale mtu mmoja anapojiona ni bora zaidi au chochote anachokitaka yeye lazima kifanyike na siyo cha mwenzake.

Mimi nimeoa mke mmoja lakini msimamo wa mke wangu ni kwamba nikitaka kuoa mke mwingine au siku nitakayo mleta mke mwingine yeye atanipisha na kurudi kwao au atatafuta maisha yake mwenyewe.

Na mimi nakubaliana naye kwani sioni kwa nini nioe mke mwingine zaidi yake wakati mimi nimeridhika naye kwa yote na ndivyo nilivyoahidi wakati tukioana kuwa pamoja na kuvumiliana - wakati wa neema na mateso, raha na shida.

Wengine wanasingizia eti kuoa wake wengi ni kutimiza 'sexual urges'. Ni uongo mtupu! Kwani unadhani mwanamke anatimiziwa haja na mme mmoja tu? Mara nyingi kinachotokea kwenye ndoa ni kuwa na 'control' na hizo 'sexual urges'. Kwani nani hana? Siyo rahisi mtu kumtoshereza mwenzake hata kama mmoja ana nguvu kiasi gani kwani kumtoshereza mwingine hakuko tu kwa yule mwenye nguvu zaidi bali pia yule mwingine anajisikiaje 'under the circumstances'.

Mfano, mke anaweza kuwa anapenda safari nne lakini mme anaweza moja tu au mme anapenda zaidi na mke anasema basi/amechoka. Si lazima kutafuta tu namna ya kuvumiliana kwa hili? Lakini kumwoa mwingine ni kuongeza matatizo tu. Kwani baada ya kutoka kwa mke fulani, mwingine naye anaweza kusema anapenda. Sasa itakuwaje?

Mimi nadhani maana halisi ya ndoa ni 'complementarity/companionship'. Na kitu kinachounganisha ni upendo. Kwani kama kuna upendo kila kitu kitakuwa na maana. Lakini kama upendo haupo, kutabaki kutumiana tu na siku mmojawapo atakapoonyesha kudhoofika kingono basi ndio mwisho wa kuwa pamoja. Lakini kwa wale wanaopendana hata muda huo ukifika bado wanakuwa pamoja tu kama mke na mme.

Nakumbuka baadhi ya wazee waliooana wanaishi kila mmoja kitanda chake kwa vile 'sex' haina maana tena katika maisha yao lakini wanakuwa wakipendana na kila kitu wanafanya pamoja mpaka Mungu alipowachukua. Wasingekuwa na upendo si wangekuwa wameshaachana zamani?

Kuhusu mahari: baadhi ya makabila hapa Tanzania hawatoi mahari. Huwa nasikia Wachaga ni kabila moja wapo. Huko Malawi, Wachewa hawana cha mahari ila kuna zawadi fulani zinazopelekwa kwa mtemi (mfumu) mtu akitaka kuoa kwenye kijiji chake.

Thank you for this:
Mimi nadhani maana halisi ya ndoa ni 'complementarity/companionship'. Na kitu kinachounganisha ni upendo. Kwani kama kuna upendo kila kitu kitakuwa na maana. Lakini kama upendo haupo, kutabaki kutumiana tu na siku mmojawapo atakapoonyesha kudhoofika kingono basi ndio mwisho wa kuwa pamoja. Lakini kwa wale wanaopendana hata muda huo ukifika bado wanakuwa pamoja tu kama mke na mme.

Nakumbuka baadhi ya wazee waliooana wanaishi kila mmoja kitanda chake kwa vile 'sex' haina maana tena katika maisha yao lakini wanakuwa wakipendana na kila kitu wanafanya pamoja mpaka Mungu alipowachukua. Wasingekuwa na upendo si wangekuwa wameshaachana zamani?
 
well that is more sad news... When was this law formed? Is this law still applicable in this 21st centrury? is it still right? and why is it giving only choices to a men in marriage! what does this man who we, Public, choose to represent us and set an example as a nation leader stands about this? To me he supports the ukiritimba kwa wanawake, ndio maana tunaquestion his ability to set a good example to the community! and thus why he is ashame of his second wife, as well as his mistress.

Therefore; how or where it fits:
1. A banana country?
2. A primitive country
3. Will be this is the answer Mr. JK Muungwana to tell the Economist; from the question "Why your country is still developed?" ETHICS!
I am revisiting sometimes of what Raj Patel was saying!
 
If this is true, I have a bigger problem with JK keeping it hush hush that actually marrying a second wife.Remember, JK is muslim and entitled to four wives according to his religion. Human rights include freedom of worship and if you impose Judeo-Christian values on him, he can simply say he is not part of the Judeo-Christian world.

As much as marrying more than one wife may sound as a human right violation, imposing one;s way of life on an established religion and cultural lifestyle is equally condescending.

My question is why is this woman denied her human right of being known as JKs second wife?

But then again Muslim wives are supposed to be under the veil!

Pundit.... religion is a personal matter, we tanzanian we dont care what a president believe in what we care is an example and role model. kama ingekuwa ni nchi ya kislaamu ingekuwa halali na kama sio then sio halali..na hamna mtu anayesema ageuze dini yake, na hata hiyo dini ya kislaamu inasema a husband should only marry a second wife when he can give eaqual treat to both wives and only first wife agree too.

Kama wewe unatete hii kuoa wake kumi, niambie huyo mr president JK anavimada wangapi? that is despite the fact anamke more than one? is that dini au womanization? looking at poor and Vulnerable women as sex machine? all we say is Tanzania need to see the value of a woman in the society, how many tanzanian men in your life umeona wanawapiga wanawake? is that what we call morals and being gentlemen? is that what we pass to our children?
 
Na rais wa pili alikuwa na wangapi? alitoka nao kama unavyotamani?


it doesnt matter how many wives he had, what it matters is where our country is moving forward into? tunapigana na mafisadi kudumisha uhuru, uzalendo, developement of our country ila tunasahau nafasi ya mwanamke katika jamii. We cant depend on past for the successful of our country.

kama nilivyosema earlier, having a healthy families, make good communities and hence good and well functioned country. tunalalamika west countries wanatuonea kumbe tunajionea wenyewe kwa kuondelea kusupport ufisadi wa haki za binadamu, most women they agree to be second wives for economic reasons if they are not forced by their families to be so.

dont you think its important to empower these women to be independent, go to university and get work? viongozi wangapi tulionao serikalini ni wahuni? wanalala mpaka na watoto wa shule wazi wazi simply no one can talk about them? the society we live see that as normal? but is it political and morally right?
 
Pundit.... religion is a personal matter, we tanzanian we dont care what a president believe in what we care is an example and role model. kama ingekuwa ni nchi ya kislaamu ingekuwa halali na kama sio then sio halali..na hamna mtu anayesema ageuze dini yake, na hata hiyo dini ya kislaamu inasema a husband should only marry a second wife when he can give eaqual treat to both wives and only first wife agree too.

Kama wewe unatete hii kuoa wake kumi, niambie huyo mr president JK anavimada wangapi? that is despite the fact anamke more than one? is that dini au womanization? looking at poor and Vulnerable women as sex machine? all we say is Tanzania need to see the value of a woman in the society, how many tanzanian men in your life umeona wanawapiga wanawake? is that what we call morals and being gentlemen? is that what we pass to our children?

Because religion is a personal matter, and because JK cannot separate JK the president and the person, and because JK the person is a Muslim entitled to 4 wives, don't you think to attack him on his personal choice is a bit superfluous?

And who is to say that JK is not setting a good example to good muslims? If affluent Muslims are urged to marry and not delve in zinaa, and the president is doing that, isn't that setting an example?

Unasema kama ingekuwa nchi ya kiislamu ingekuwa halali, kama sivyo si halali, unaifahamu sheria ya ndoa ya Tanzania na options zake? Umeshawahi kuona marriage certificate ya serikali ya Tanzania? Je inakataza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja? Kama haikatazi huku kutokuwa halali kunatoka wapi?

hata hiyo dini ya kislaamu inasema a husband should only marry a second wife when he can give eaqual treat to both wives and only first wife agree too.

Unajuaje kama mke mkubwa hajakubali? Na "equal treat" ni nini anyway?

Kama wewe unatete hii kuoa wake kumi, niambie huyo mr president JK anavimada wangapi? that is despite the fact anamke more than one? is that dini au womanization? looking at poor and Vulnerable women as sex machine? all we say is Tanzania need to see the value of a woman in the society, how many tanzanian men in your life umeona wanawapiga wanawake? is that what we call morals and being gentlemen? is that what we pass to our children?

Sijatetea wake kumi, nimesema JK yuko entitled kuwa na wake wanne kwa dini yake.Suala la vimada silijui, na hata kama ni la kweli, mi nitampongeza JK kwa kuoa kwani kuoa ni kuondoa relationship ya kimada na kuihalalisha.Vipi kama JK amejishtukia kwamba yeye ni moto chini? Na kwa sababu hiyo kaamua kuoa ili kuondoa zinaa? Hii ndiyo ilikuwa sababu rasmi ya kuwa na wake wengi. My only problem ni kwamba inafanywa kisiri.

Tatizo letu tunataka ku impose Judeo-Christian values katika systems ambazo hazitakiwi (kidini na kiserikali JK hafanyi kosa kuoa mke wa pili, uislamu na sheria ya ndoa ya serikali vyote vinamruhusu kuoa)

Hao watu wa magharibi wenyewe ni polygamist, the only difference ni kwamba wao ni serial polygamist, if you can use that term in that context (wanaoa na kuacha na kuoa tena, check the divorce rates at over 50%) while sis waafrika kama kina Kikwete tunataka kuoa mke zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.
 
Therefore; how or where it fits:
1. A banana country?
2. A primitive country
3. Will be this is the answer Mr. JK Muungwana to tell the Economist; from the question "Why your country is still developed?" ETHICS!
I am revisiting sometimes of what Raj Patel was saying!

U made me laugh to tears... banana country... oh yes i agree with you that possible MR JK is a bit ashame of telling worldwide economist why his country isnt developing ethicity!! and it silly that up to date watu cant connect development with gender developement... fanya fanya basi tupe maneno ya what Raj patel was saying...
 
Back
Top Bottom