If our President has more than one wife: The question of human rights

If our President has more than one wife: The question of human rights

Because religion is a personal matter, and because JK cannot separate JK the president and the person, and because JK the person is a Muslim entitled to 4 wives, don't you think to attack him on his personal choice is a bit superfluous?

And who is to say that JK is not setting a good example to good muslims? If affluent Muslims are urged to marry and not delve in zinaa, and the president is doing that, isn't that setting an example?

Unasema kama ingekuwa nchi ya kiislamu ingekuwa halali, kama sivyo si halali, unaifahamu sheria ya ndoa ya Tanzania na options zake? Umeshawahi kuona marriage certificate ya serikali ya Tanzania? Je inakataza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja? Kama haikatazi huku kutokuwa halali kunatoka wapi?



Unajuaje kama mke mkubwa hajakubali? Na "equal treat" ni nini anyway?



Sijatetea wake kumi, nimesema JK yuko entitled kuwa na wake wanne kwa dini yake.Suala la vimada silijui, na hata kama ni la kweli, mi nitampongeza JK kwa kuoa kwani kuoa ni kuondoa relationship ya kimada na kuihalalisha.Vipi kama JK amejishtukia kwamba yeye ni moto chini? Na kwa sababu hiyo kaamua kuoa ili kuondoa zinaa? Hii ndiyo ilikuwa sababu rasmi ya kuwa na wake wengi. My only problem ni kwamba inafanywa kisiri.

Tatizo letu tunataka ku impose Judeo-Christian values katika systems ambazo hazitakiwi (kidini na kiserikali JK hafanyi kosa kuoa mke wa pili, uislamu na sheria ya ndoa ya serikali vyote vinamruhusu kuoa)

Hao watu wa magharibi wenyewe ni polygamist, the only difference ni kwamba wao ni serial polygamist, if you can use that term in that context (wanaoa na kuacha na kuoa tena, check the divorce rates at over 50%) while sis waafrika kama kina Kikwete tunataka kuoa mke zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.

Ni bora kuoa na kudivorse or kuoa na kumletea mtu magonjwa? what i have read here from other people comments, Tanzanian marriage certificate KUNA ONLY OPTIONS TO THE MAN TO HAVE MORE THAN ONE WIFE! now is this right kwa wanawake? kwanini wanawake wanakiritibwa kwenye maamuzi ya ndoa?

na kama ulivyosema serikali inaruhusu hayo yote, sawa iyo sheria ilitungwa mwaka gani? and isnt really applicable to todays society where sexual transmitted Diseases are every where? Is this forum not a place to put our ideas on what it should be amended in our book of laws? for the betterment of our country? this isnt about JK only its about Tanzanian movements to development, wee kuwa na watoto kumi and 4 wives can you provide love, education and future security to them? have you look at villages what this way of living bring to them?
 
This issue imekuwa a big debate.. I think I might have finally settled on what my opinion is, regarding this matter. I describe myself as a moderate realist. The main reason for that is because I believe that radical decisions seldom achieve the desired outcome. Conservatism, on the opposite side of the spectrum, is unrealistic in so far as it fails to acknowledge the dynamic nature of life and society at large. On this issue too I must take the path of moderation as correctly advocated by the Buddhist faith.

Polygamy is an issue of privacy (the legal concept). In essence everyone has a right to do whatever they want. The only time when this should be prohibited is when it infringes on the rights of others. So, for instance if I wanted to be an axe murderer, I have the right to do so. The only problem is that infringes on others right to life. So the government therefore has to ban such behaviour.

Polygamy therefore should be practiced in a way that doesnt infringe the rights of the women and children and at times even the men involved in such families. The issue is not a moral one, because it has already been established that it is not immoral based of course, on some points of view in Tanzanian society,all the while acknowledging the opinions of others who regard it as immoral. If a certain faith and or system of belief sanctions bahaviour that infringes the rights of others then the government should not allow such practices. Early in the thread someone gave an example of cutting off hands from thiefs. That is not allowed in Tanzania bacause it infringes the rights of the 'thief' in a permanent way. Polygamy, some would argue, is a choice. No one is forced into it. It is recognised by law and practiced by a significant populace in the world.

The argument here should be how it should be regulated to ensure there is no abuse by any of the parties. If the faith and or way of life of the President is one which condones polygamous marriage then dont elect him next time if you feel he is not a food role model. But legally speaking it would be unjust to deny a segment of society their right to conduct their lives in a way that is justified by their faith or any other reason. This is so long as the rights of others are not infringed.

It is not very realistic to suggest that the government should enact a law to ban polygamy because it would be law that doesnt reflect the true nature of Tanzanian society.
 
Ni bora kuoa na kudivorse or kuoa na kumletea mtu magonjwa? what i have read here from other people comments, Tanzanian marriage certificate KUNA ONLY OPTIONS TO THE MAN TO HAVE MORE THAN ONE WIFE! now is this right kwa wanawake? kwanini wanawake wanakiritibwa kwenye maamuzi ya ndoa?

na kama ulivyosema serikali inaruhusu hayo yote, sawa iyo sheria ilitungwa mwaka gani? and isnt really applicable to todays society where sexual transmitted Diseases are every where? Is this forum not a place to put our ideas on what it should be amended in our book of laws? for the betterment of our country? this isnt about JK only its about Tanzanian movements to development, wee kuwa na watoto kumi and 4 wives can you provide love, education and future security to them? have you look at villages what this way of living bring to them?

Nani kakwambia kuoa na ku divorce hakuna risk ya magonjwa? As far sex with multiple partners is concerned, it does not matter that you are married in a polygamous setting, not married, or married and divorced.

Kama kuna makosa katika set up ya kuoa wake wengi, bila ya kuwa na reciprocity, katika sheria ya Tanzania, Kikwete siye aliyeiweka hapo na kwa hiyo kumlaumu yeye siyo fair.Wapeni wanawake uhuru wa kuolewa na mume zaidi ya mmoja.

Kuna watu wanadai kwamba wasomi wa Afrika wako selfish kwa kuwa na familia ndogo katika sehemu ambapo wangeweza kuwa na familia kubwa na kuzihudumia.JK hawezi kushindwa kumuhudumia mke wa pili.

Your argument about sexually transmitted diseases is hogwash because sexually transmitted diseases springs from zinaa and ngono zembe, sasa kama mtu ana wakeze/ waumeze wawili na wote wanaaminiana na wako pamoja, STDs zitatoka wapi? Unasahau moja ya original intention (purpoted at least) ya kuwa na wake wengi ilikuwa precisely hiyo, ktoa security ya ndoa ili kuepusha zinaa na STDs.

These forums aim to better our laws, but not by the condescending westernization and imposed unwarranted Judeo-Christian values.

Kama hii issue ni kweli, kosa pekee la JK ni kuweka usiri mkubwa katika hili jambo, na sio kuoa.

Kama una matatizo na yanayotokea vijijini, sema kuhusu vijijini, siyo kumsema JK katika mambo yake personal kwa kuangalia mambo ya vijijini.

JK angekuwa na kimada ingekuwa tabu, sasa tunasema kaoa nayo tabu, mlitaka afanye nini wakati dini yake na sheria vinamruhusu? Kama kuna mtu anatetea haki za wanawake hapa basi atetee haki yao ya kuolewa na mume zaidi ya mmoja, hapo nitaelewa, vinginevyo tutakuwa tunastaka kuwa ape wazungu tu.
 
This issue imekuwa a big debate.. I think I might have finally settled on what my opinion is, regarding this matter. I describe myself as a moderate realist. The main reason for that is because I believe that radical decisions seldom achieve the desired outcome. Conservatism, on the opposite side of the spectrum, is unrealistic in so far as it fails to acknowledge the dynamic nature of life and society at large. On this issue too I must take the path of moderation as correctly advocated by the Buddhist faith.

Polygamy is an issue of privacy (the legal concept). In essence everyone has a right to do whatever they want. The only time when this should be prohibited is when it infringes on the rights of others. So, for instance if I wanted to be an axe murderer, I have the right to do so. The only problem is that infringes on others right to life. So the government therefore has to ban such behaviour.

Polygamy therefore should be practiced in a way that doesnt infringe the rights of the women and children and at times even the men involved in such families. The issue is not a moral one, because it has already been established that it is not immoral based of course, on some points of view in Tanzanian society,all the while acknowledging the opinions of others who regard it as immoral. If a certain faith and or system of belief sanctions bahaviour that infringes the rights of others then the government should not allow such practices. Early in the thread someone gave an example of cutting off hands from thiefs. That is not allowed in Tanzania bacause it infringes the rights of the 'thief' in a permanent way. Polygamy, some would argue, is a choice. No one is forced into it. It is recognised by law and practiced by a significant populace in the world.

The argument here should be how it should be regulated to ensure there is no abuse by any of the parties. If the faith and or way of life of the President is one which condones polygamous marriage then dont elect him next time if you feel he is not a food role model. But legally speaking it would be unjust to deny a segment of society their right to conduct their lives in a way that is justified by their faith or any other reason. This is so long as the rights of others are not infringed.

It is not very realistic to suggest that the government should enact a law to ban polygamy because it would be law that doesnt reflect the true nature of Tanzanian society.


As you said the this is all about individual right, which is very much matured and diplomatic way of looking at this issues, however, how can government make sure that women, children and men arent victims of this legally authorised way of marriage?

and why to-date our government havent amend their marriage certificate to include women to have multiple husband? this is where my argument comes, if it is right for a man to have a multiple husband why not a woman? as tanzania as a country by law has no religious then why not? isnt this been a way that more and more women everyday are getting descriminated in one way or another because law favour one gender than the other?

What can be done to make women away of their abilities and contribution to the society? as most societies depend on women upon to pass our GOOD culture to the next generation!
 
Nani kakwambia kuoa na ku divorce hakuna risk ya magonjwa? As far sex with multiple partners is concerned, it does not matter that you are married in a polygamous setting, not married, or married and divorced.

Kama kuna makosa katika set up ya kuoa wake wengi, bila ya kuwa na reciprocity, katika sheria ya Tanzania, Kikwete siye aliyeiweka hapo na kwa hiyo kumlaumu yeye siyo fair.Wapeni wanawake uhuru wa kuolewa na mume zaidi ya mmoja.

Kuna watu wanadai kwamba wasomi wa Afrika wako selfish kwa kuwa na familia ndogo katika sehemu ambapo wangeweza kuwa na familia kubwa na kuzihudumia.JK hawezi kushindwa kumuhudumia mke wa pili.

Your argument about sexually transmitted diseases is hogwash because sexually transmitted diseases springs from zinaa and ngono zembe, sasa kama mtu ana wakeze/ waumeze wawili na wote wanaaminiana na wako pamoja, STDs zitatoka wapi? Unasahau moja ya original intention (purpoted at least) ya kuwa na wake wengi ilikuwa precisely hiyo, ktoa security ya ndoa ili kuepusha zinaa na STDs.

These forums aim to better our laws, but not by the condescending westernization and imposed unwarranted Judeo-Christian values.

Kama hii issue ni kweli, kosa pekee la JK ni kuweka usiri mkubwa katika hili jambo, na sio kuoa.

Kama una matatizo na yanayotokea vijijini, sema kuhusu vijijini, siyo kumsema JK katika mambo yake personal kwa kuangalia mambo ya vijijini.

JK angekuwa na kimada ingekuwa tabu, sasa tunasema kaoa nayo tabu, mlitaka afanye nini wakati dini yake na sheria vinamruhusu? Kama kuna mtu anatetea haki za wanawake hapa basi atetee haki yao ya kuolewa na mume zaidi ya mmoja, hapo nitaelewa, vinginevyo tutakuwa tunastaka kuwa ape wazungu tu.

Mimi nilisema tokea mwanzo wa thread hii kwamba what's good for the goose is good for the gander. Sina tatizo kabisa na wanawake kuolewa na mume zaidi ya mmoja. It's only fair
 
Nani kakwambia kuoa na ku divorce hakuna risk ya magonjwa? As far sex with multiple partners is concerned, it does not matter that you are married in a polygamous setting, not married, or married and divorced.

Kama kuna makosa katika set up ya kuoa wake wengi, bila ya kuwa na reciprocity, katika sheria ya Tanzania, Kikwete siye aliyeiweka hapo na kwa hiyo kumlaumu yeye siyo fair.Wapeni wanawake uhuru wa kuolewa na mume zaidi ya mmoja.

Kuna watu wanadai kwamba wasomi wa Afrika wako selfish kwa kuwa na familia ndogo katika sehemu ambapo wangeweza kuwa na familia kubwa na kuzihudumia.JK hawezi kushindwa kumuhudumia mke wa pili.

Your argument about sexually transmitted diseases is hogwash because sexually transmitted diseases springs from zinaa and ngono zembe, sasa kama mtu ana wakeze/ waumeze wawili na wote wanaaminiana na wako pamoja, STDs zitatoka wapi? Unasahau moja ya original intention (purpoted at least) ya kuwa na wake wengi ilikuwa precisely hiyo, ktoa security ya ndoa ili kuepusha zinaa na STDs.

These forums aim to better our laws, but not by the condescending westernization and imposed unwarranted Judeo-Christian values.

Kama hii issue ni kweli, kosa pekee la JK ni kuweka usiri mkubwa katika hili jambo, na sio kuoa.

Kama una matatizo na yanayotokea vijijini, sema kuhusu vijijini, siyo kumsema JK katika mambo yake personal kwa kuangalia mambo ya vijijini.

JK angekuwa na kimada ingekuwa tabu, sasa tunasema kaoa nayo tabu, mlitaka afanye nini wakati dini yake na sheria vinamruhusu? Kama kuna mtu anatetea haki za wanawake hapa basi atetee haki yao ya kuolewa na mume zaidi ya mmoja, hapo nitaelewa, vinginevyo tutakuwa tunastaka kuwa ape wazungu tu.

haaa, i am not agaisnt anything about JK, it doesnt affect me, what affect me is what we inherite from our culture and what we pass to the next generation.. do we want to pass the culture that a woman is empowered and have a right as man or keep passing a woman as an object to pressure?

I really think i cant have debate with you as you sound so much into religion and westernizing issues... i personally believe every law and policy has to be made with ability to reflect reality and culture of a place however it should be in a way that can promote equal rights...

By the way NO ONE IN THIS FORUM SAID OR IMPLIED TO IMPOSE ''Judeo-Christian values'' in Tanzania!!! you are a bit over the cloud mate...

So mtu wangu.... i better leave u because we are not in the same chapter you are talking what this topic is not trying to imply here... i dont know if you have personal issues regarding this issue.. au babu unawake 70 unaogopa... lol


Thanks
 
By the way NO ONE IN THIS FORUM SAID OR IMPLIED TO IMPOSE ''Judeo-Christian values'' in Tanzania!!! you are a bit over the cloud mate...

So mtu wangu.... i better leave u because we are not in the same chapter you are talking what this topic is not trying to imply here... i dont know if you have personal issues regarding this issue.. au babu unawake 70 unaogopa... lol

Thanks

From your above post, it seems you are not familiar with what constitute the intricates of the Judeo-Christian doctrine regarding marriage. The Islamic culture, the african culture and Tanzanian laws do not by any mean impose "one man one wife" values, this value as understood in the world today is an inherent Judeo-Christian value.If you do not understand this you are damn right we are not on the same level.You are subconciously propagating a function of Judeo-Christian values and end up in denial.

I do not have anything personal, I don't subscribe to marriage, I am the Woodstock hippie stock and it's Burning Man continuation, free love baby.

Ila nawacheka sana hypocrites wanapokuwa caught up with their own Pharisee like ways or when they condescendingly impose their own values on others.

Hawa hawa watu wanaolalamikia usawa wa binadamu na haki za wanawake hawa, ndiyo hawa hawa wanaopiga kelele kila siku kwamba hizi different cultures za watu tofauti inabidi ziwe preserved.Sasa ku preserve different cultures ni pamoja na kuheshimu systems za matrimony za watu wengine. Ukisema unataka kuheshimu culture za kuoa za waarabu au waafrika, huna haki ya kutaka kuwasemea wanawake wa afrika unless wao wamelalamika.

Mtoa maada kasema shamelessly kwamba yeye ana tatizo na the fact kwamba hawa wanawake hawana tatizo na hili, openly condescending, kama wenyewe hawana tatizo, yeye ni nani kujifanya mjuaji na kuimpose values zake kwao?

Hii inanikumbusha zeal ya wamarekani kuleta demokrasi Iraq, only kuwa faced na possibility ya waarabu kumchagua extremist baada ya kupewa uhuru wa kuchagua, then they became not that enthusiastic towards free elections.

Lets stop with the aping already.
 
Bado mwanamke katika ndoa anaambiwa anadilishe jina mara atapoolewa; aache la kwake na aanze kuitwa Mrs Kubening badala ya Mtombolaga.

Pundit, ikifika wakati wanawake wanaolewa na mwanaume zaidi ya mmoja, wanaume nao wabadili majina na kuanza kujiita kwa maiden names i. e Mr Mtombolaga badala ya Mr Kubening.
 
From your above post, it seems you are not familiar with what constitute the intricates of the Judeo-Christian doctrine regarding marriage. The Islamic culture, the african culture and Tanzanian laws do not by any mean impose "one man one wife" values, this value as understood in the world today is an inherent Judeo-Christian value.If you do not understand this you are damn right we are not on the same level.You are subconciously propagating a function of Judeo-Christian values and end up in denial.

I do not have anything personal, I don't subscribe to marriage, I am the Woodstock hippie stock and it's Burning Man continuation, free love baby.

Ila nawacheka sana hypocrites wanapokuwa caught up with their own Pharisee like ways or when they condescendingly impose their own values on others.

Hawa hawa watu wanaolalamikia usawa wa binadamu na haki za wanawake hawa, ndiyo hawa hawa wanaopiga kelele kila siku kwamba hizi different cultures za watu tofauti inabidi ziwe preserved.Sasa ku preserve different cultures ni pamoja na kuheshimu systems za matrimony za watu wengine. Ukisema unataka kuheshimu culture za kuoa za waarabu au waafrika, huna haki ya kutaka kuwasemea wanawake wa afrika unless wao wamelalamika.

Mtoa maada kasema shamelessly kwamba yeye ana tatizo na the fact kwamba hawa wanawake hawana tatizo na hili, openly condescending, kama wenyewe hawana tatizo, yeye ni nani kujifanya mjuaji na kuimpose values zake kwao?

Hii inanikumbusha zeal ya wamarekani kuleta demokrasi Iraq, only kuwa faced na possibility ya waarabu kumchagua extremist baada ya kupewa uhuru wa kuchagua, then they became not that enthusiastic towards free elections.

Lets stop with the aping already.


If we talk about Tanzanian marriage lets talk about Tanzania and its laws and how much it can be improved to make sure a woman has as much freedom in marriage as a man and she is given opportunities to explore what she can bring into the society.

Why we keep on talking about those values that PUNDIT think we are trying to impose in TZ? That is were I can’t agree with you Pundit. This is Tanzania and it is not any other country, what I really think are you having your own personal issues possible morals/culture/religious that you are trying to prove here, and you might have a point but you are going out of the topic.

Comeback buddy and talk about Tanzania not what YOU THINK PEOPLE ARE TRYING TO IMPOSE THAT UNDERMINE UR OWN WAY OF LIVING IN ANYWAY..no one is trying to do so than you contradicting and SOUNDING LIKE having selfdefence on that.

Sorry mate if this is a bit harsh, isn’t personal attack.
 
LETS FACE IT…………


As some of the posters said earlier, African societies did not say a man should marry more than 2 wives, what happened over the history is degradation of a woman value in the society and economic reasons which force a woman to in polygamous.

We can not deny the fact that some 'intruder/colony' traditions in Tanzania/Africa had impact on the way a woman is being treat to date, some of those issues we inherited don't give a woman a freedom and as we fight to have better way of living why do we have to hide this fact? We sometimes have to look at what we culture and see what is in there, and question its practicability in today's life. We can't just inherit whatever it is there without questioning, otherwise we will never move forward… NEVER

And hey people… we all have to remember… It comes a time in life, where people ask what is my right, the right to be 1st class citizen, the right to have a say in the public and the right to have own decision in the way of living... '‘THE TIME OF REVOLUTION'' IT DOESN'T MATTER WHAT KIND OF REVOLUTION BUT THIS IS HUMAN NATURE… this is what a human race don't try to understand and if they do they try kupuuzia and this is extract what some of our Tanzanian leaders have as their strategies of being in power..

People get tired and that is what happen today in Tanzania, from ufisadi issues to the way Tanzanian laws treat a woman, I have really been in shock how Tanzanian law in marriage demoralize a woman equal right to man, and we are here talking about bringing changes in our beautiful country Tanzania while we are trying preserve impracticable laws to keep undermine our women, that include our own daughters! And blaming people who are trying to speak for those women, if you think we are here making noises ask women themselves if they think law favour them at all. We have a long way to go Tanzania… and with the way we are trying to brain wash our women being second citizen we have another couple decades to go. AS I SAID EARLIER HAVING GREAT EDUCATED AND NOT BRAINWASHED WITH WRONG CULTURE WOMEN MEANS BETTER FAMILIES = BETTER COMMUNITIES = WELL FUNCTIONED ECONOMIC COUNTRY
 
PUNDIT,
We are talking about a president (As a president of United Republic of Tanzania), who is hiding cuncubine(s)! We are neither talking about Christianity nor Islam. There is no religion reference so far from this issue. Also I can't see where African culture fits when we are talking on a particular President of a country URT.

Mr. Zuma raped his friends daughter, and when he was taken to court, he said it was racism to condemn him and he insisted that it was a part of African Culture. So you see pepole like you how you missuse African culture.

First, there is no a written history (documented) of what African culture is; Asian or european Cultures are written and well documented (Chinese, Indian, Jewish, Arabic, Romans, etc etc). Why you all want to impose that African culture which is you guys want us to follow? Even if you're an offspring from such a culture it shud be related to you, not collectively.

Second please religion culture should not be one of the greenlights towards such weaknesses, we hav to model our laws according to our priority as Tanzanians.
 
PUNDIT,
We are talking about a president (As a president of United Republic of Tanzania), who is hiding cuncubine(s)! We are neither talking about Christianity nor Islam. There is no religion reference so far from this issue. Also I can't see where African culture fits when we are talking on a particular President of a country URT.

Mr. Zuma raped his friends daughter, and when he was taken to court, he said it was racism to condemn him and he insisted that it was a part of African Culture. So you see pepole like you how you missuse African culture.

First, there is no a written history (documented) of what African culture is; Asian or european Cultures are written and well documented (Chinese, Indian, Jewish, Arabic, Romans, etc etc). Why you all want to impose that African culture which is you guys want us to follow? Even if you're an offspring from such a culture it shud be related to you, not collectively.

Second please religion culture should not be one of the greenlights towards such weaknesses, we hav to model our laws according to our priority as Tanzanians.

There are no writings but there is norms, practices and oral tradition...

Kumbe all it is ni wanawake wanataka equal right ya kuolewa na watu 700.lol
fine I have no problem with it. Although, I must say, by all means itakuwa a waste of legislative agenda.. Sheria ambayo itakuwa inatoa 'token' right.. When I was in law school and we were taught statutory interpretation, walitufundisha kuwa lazima kuwe na mischief leading to the statute.. In this case a law that would sanction whoring would be most amusing

"An Act to provide for matters related to women being allowed to enter marriage contracts with multiple partners and all other matters related. Enacted by the Parliament of the United Republic of Tanzania..."

Waste of time.lakini mnataka basi mpewe lakini sio kuban polygamy...
 
There are no writings but there is norms, practices and oral tradition...

Kumbe all it is ni wanawake wanataka equal right ya kuolewa na watu 700.lol
fine I have no problem with it. Although, I must say, by all means itakuwa a waste of legislative agenda.. Sheria ambayo itakuwa inatoa 'token' right.. When I was in law school and we were taught statutory interpretation, walitufundisha kuwa lazima kuwe na mischief leading to the statute.. In this case a law that would sanction whoring would be most amusing

"An Act to provide for matters related to women being allowed to enter marriage contracts with multiple partners and all other matters related. Enacted by the Parliament of the United Republic of Tanzania..."

Waste of time.lakini mnataka basi mpewe lakini sio kuban polygamy...

You're from Law school; no wonder even Mr. Vijisenti was from Law School, but put us (nation) in mess on those contracts!
 
If we talk about Tanzanian marriage lets talk about Tanzania and its laws and how much it can be improved to make sure a woman has as much freedom in marriage as a man and she is given opportunities to explore what she can bring into the society.

Why we keep on talking about those values that PUNDIT think we are trying to impose in TZ? That is were I can’t agree with you Pundit. This is Tanzania and it is not any other country, what I really think are you having your own personal issues possible morals/culture/religious that you are trying to prove here, and you might have a point but you are going out of the topic.

Comeback buddy and talk about Tanzania not what YOU THINK PEOPLE ARE TRYING TO IMPOSE THAT UNDERMINE UR OWN WAY OF LIVING IN ANYWAY..no one is trying to do so than you contradicting and SOUNDING LIKE having selfdefence on that.

Sorry mate if this is a bit harsh, isn’t personal attack.
.. Future_Tanzania wewe unashindwa kuelewa Haki za mwanamke ni zipi na haki za mwanaume ni zipi....either hujui Maumbile ya Mwanamke na Hujui Maumbile ya mwanaume...

Pia Inaonekana unashika bango la wale wanaotaka USAWA baina ya wanaume na wanaume...kwako wewe na Genge lenu la TGNP na wengineo hapa JF, mmeshindwa kutofautisha kati ya USAWA na HAKI za wanawake...

Pia Unapotaka ugusie sheria za tanzania tu, as if maumbile ya mwanadamu wa Ulaya au Asia ni tofauti na Maumbile ya mwanadamu wa Tanzania...

Ni vyema uwafuate waalimu wako au watu walokumezesha FIKRA potofu wakufahamishe nini Maana ya HAKI na Nini Maana ya USAWA...Then wakufahamishe maumbile ya mwanadamu yakoje...na yanatofautisha vipi "Roles zao ktk Jamii"
 
Hapa mimi na wewe ndipo hatuelewani; umechukulia ile sample inayo-benefit men; i am asking you; what does polygamy benefit children and women? From your point of view we marry women only for sexual satisfaction; can you give me a wider picture please?

Welldone! You think big!
 
Huyo mke wa pili mnayemzungumzia kuna mtu yoyote ameshamuona au ndio tumesikia tu, kuna mwenye picha ya harusi au copy ya cheti cha ndoa kama kipo?
 
If this is true, I have a bigger problem with JK keeping it hush hush that actually marrying a second wife.Remember, JK is muslim and entitled to four wives according to his religion. Human rights include freedom of worship and if you impose Judeo-Christian values on him, he can simply say he is not part of the Judeo-Christian world.

As much as marrying more than one wife may sound as a human right violation, imposing one;s way of life on an established religion and cultural lifestyle is equally condescending.

My question is why is this woman denied her human right of being known as JKs second wife?

But then again Muslim wives are supposed to be under the veil!

Some of the religious laws are discriminative and oppressive even if they are practised by religious communities. That's why some religions adjust their laws to suit the current needs of believers.

Some Muslims, for instance, say polygamy is not an obligation. Yet, the conditions imposed on it, imply that a person who chooses to marry one wife does better than the one who marries 2, 3 or 4 because the latter will not be able to do "justice" to them.
 
Jee akiwa Raisi wetu ni Kapera au Padri wa Kikatoliki au Sister, patakuweko na issue ya Human rights? Which is abnormal, not marrying and having two wives? Is it not violation of Human right and primitive to have an un marrying leaderof a country like Vatican? (Issue is Human Rights, not religion nor morale)
 
Jee akiwa Raisi wetu ni Kapera au Padri wa Kikatoliki au Sister, patakuweko na issue ya Human rights? Which is abnormal, not marrying and having two wives? Is it not violation of Human right and primitive to have an un marrying leaderof a country like Vatican? (Issue is Human Rights, not religion nor morale)

Why is celibacy a violation of Human rights? It involves YOUR body alone and not someone else's unlike marriage where it involves the life and body of the person you marry. You are trying to make this a religious issue when it is not. Polygamy is a historic precedent set for political, social and economic reasons and has lost its relevance in today's world.
 
Back
Top Bottom