Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]The Court has Ruled in Favour of Kenya Muache hii Ufala .....TZ msiitishe vitu Hamtaweza wengi wenunataka kuingiana misuli na kenya Na mnajua vyema Hamtaweza Keyboard itakupea psych Lakini wakati KDF itakuwa inanyesha Kutoka angani ndio utatambua Ohhh alshabaab sio JWTZ
Citizen tv twitter handle yaoUmepata huo ujumbe?
Mkija Vita na TZ, wala hatutatumia silaha. Kwa hasira zetu watu million 50 wote wazee watoto kila mtu, tunatembea na kusonga mbele mpaka tunachukuwa Kenya yote. Nyinyi pigeni silaha zenu sisi tunakuja tuu Zombi style.The Court has Ruled in Favour of Kenya Muache hii Ufala .....TZ msiitishe vitu Hamtaweza wengi wenunataka kuingiana misuli na kenya Na mnajua vyema Hamtaweza Keyboard itakupea psych Lakini wakati KDF itakuwa inanyesha Kutoka angani ndio utatambua Ohhh alshabaab sio JWTZ
Acha kuongea Mambo ya wazungu, we huoni tu hiyo laini ukipima tu hata kwa macho Pemba ni ya Kenya?Nchi ya Kenya imeanzishwa lini? Na nani aidai Pemba yetu, Kenya au British Monarchy? Au Kenya ndo British Monarchy?
![]()
Kdf hii inayotandikwa kila siku na wasomali hebu piteni KuleThe Court has Ruled in Favour of Kenya Muache hii Ufala .....TZ msiitishe vitu Hamtaweza wengi wenunataka kuingiana misuli na kenya Na mnajua vyema Hamtaweza Keyboard itakupea psych Lakini wakati KDF itakuwa inanyesha Kutoka angani ndio utatambua Ohhh alshabaab sio JWTZ
Acha kuongea Mambo ya wazungu, we huoni tu hiyo laini ukipima tu hata kwa macho Pemba ni ya Kenya?
Haha, umenichekesha na line yako, it look like your forcing it to go down south so that you can get Pemba.[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yessssssss!!! Pemba is going the Kenya way!! By the way, is this the island that produces a lot of gloves and perfumes? we gonna turn it into an industrial hub!!!!! Hurrraw
View attachment 466570
Hujaona hiyo map niliweka pale nimechora mstari Kuonyesha kwamba ikiwa hivyo basi Pemba ni ya KenyaMbona hata kwa macho ya kawaida tu ukichora straight line ni kipande kidogo sana kitabakia upande wa kenya?
Wewe umejuaje hilo? Kwamba Pemba ni kisiwa cha Tanzania? Usiandike mambo usiyoyafahamu vyemaKdf hii inayotandikwa kila siku na wasomali hebu piteni Kule
Hata zezeta anajua, pemba ni kisiwa cha tz
Design mlivyobebwa ufala na kinjikitile "bokero" ngwale huh?? Smh[emoji23] [emoji23]Mkija Vita na TZ, wala hatutatumia silaha. Kwa hasira zetu watu million 50 wote wazee watoo kila mtu, tunatembea na kusonga mbele mpaka tunachukuwa Kenya yote. Nyinyi pigeni silaha zenu sisi tunakuja tuu Zombi style.
Hujaona hiyo map niliweka pale nimechora mstari Kuonyesha kwamba ikiwa hivyo basi Pemba ni ya Kenya
Usipaniki braza iyo ilikuwa ni kauli tu.Lakini Kenya itaitaka Pemba yetu kwa kigezo gani?
Wapi? South? Yes Pemba is in the south, so the line should go to the south, ulitaka nipeleke north, acha bana Mwanzi1Haha, umenichekesha na line yako, it look like your forcing it to go down south so that you can get Pemba.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
WAlijipaka jivu eti inafukuza risasi, like seriously!! Kujeni hiyo Zombie style!!Design mlivyobebwa ufala na kinjikitile "bokero" ngwale huh?? Smh[emoji23] [emoji23]