Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
hahahahahaaa!!<br />
<br />
kwanini anichunguze?. Mimi na mke wangu, kama nipo nje simu yangu anapokea na ya kwake pia napokea. Hatukupanga hivyo ila tulijikuta ktk hali hiyo. Naamini kuwa swala ni uwazi utakuweka huru zaidi.
nimezeeka sasaaaa!!! nimezeeka sasaaaaa!!!