hahahahahaaa!!<br />
<br />
kwanini anichunguze?. Mimi na mke wangu, kama nipo nje simu yangu anapokea na ya kwake pia napokea. Hatukupanga hivyo ila tulijikuta ktk hali hiyo. Naamini kuwa swala ni uwazi utakuweka huru zaidi.
<br />mimi interview ya kwanza kama mtu anataka siriaz relationship na mimi nikae na simu yake siku tatu net usiku na mchana
<br />Naunga mkono hoja simu hiozi zimeharibu sana ndoa , wewe wadhani kwa nini ndoa za zamani zilidumu kwan kama ni cheating mbona ilikuwapo.Tatizo la sasa simu zinaweza kukudanganya ukakuta unagombana na kila mtu.
Umeona eeh, thank u very much MOTHER INLAWNaunga mkono hoja simu hiozi zimeharibu sana ndoa , wewe wadhani kwa nini ndoa za zamani zilidumu kwan kama ni cheating mbona ilikuwapo.Tatizo la sasa simu zinaweza kukudanganya ukakuta unagombana na kila mtu.
<br />
<br />
Jamani hizi simu simu simu za mkononi ni noma! Kwa vile wapendanao wengi wamejikuta ktk matatizo mengi na makubwa kupitia hivi vicellular, napingana na mwanzisha mada kwa kuwa ili kuwepo na relationship (NDOA) yenye amani, ya kweli na ya kudumu basi kusiwe na mipaka ktk matumizi ya simu zetu kinyume na hapo ni usaliti kwa kwenda mbele na si wa mwili mmoja nyie.
<br />Naamini mpenzi/mume/mke anatakiwa awe rafiki yako wa kwanza kama kuna usiri kati yenu lazima relationship yenu ina walakini .
<br />
<br />
Neno Chauro.
Kama huna vimeo huko kwenye simu unaficha nini? Kama unajiamini utamwacha afanye chochote na simu yako na yeye kama anaamini hana vimeo wala hata bebana na simu hadi bafuni.
Siri? My foot...
<br />Naamini mpenzi/mume/mke anatakiwa awe rafiki yako wa kwanza kama kuna usiri kati yenu lazima relationship yenu ina walakini .
Simu umesajili jina la nani?
Naunga mkono hoja simu hiozi zimeharibu sana ndoa , wewe wadhani kwa nini ndoa za zamani zilidumu kwan kama ni cheating mbona ilikuwapo.Tatizo la sasa simu zinaweza kukudanganya ukakuta unagombana na kila mtu.