Wanasayans wanatuyumbsh sana. Wanasema pia kuoga maji barid, kina sisimua sana uzalishaj wa hormone za kiume." All men hate cold water".
Kama Una mtoto wa kiume na hachukii kuoga maji ya baridi basi kuwa na uhakika kwamba mtoto wako huyo sio mwanaume kamili and probably ana kiwango kikubwa cha hormones za kike au Kwa lugha nyingine ana kiwango kidogo cha hormones za kiume.
It has been scientifically proved that all men from all races fear and or hate to bath in cold water.
Wanaume wote duniani wanachukia ama kuogopa kuoga maji ya baridi toka wakiwa watoto wadogo.
Suala hili ni la kisayansi na limekuwepo toka Enzi za Pontyo wa Pilato.
Hakuna mwanaume hapoMm naishi moshi one of the coldest area in Tanzania ila daily naoga maji ya baridi haijalishi ni asubgi au jioni and I have my family and I am straight man
What do you say about?
Sent using Jamii Forums mobile app
nipo bro,mishe kimtindo....Upo Kaka mkubwa? Long time no see you
" All men hate cold water".
Kama Una mtoto wa kiume na hachukii kuoga maji ya baridi basi kuwa na uhakika kwamba mtoto wako huyo sio mwanaume kamili and probably ana kiwango kikubwa cha hormones za kike au Kwa lugha nyingine ana kiwango kidogo cha hormones za kiume.
It has been scientifically proved that all men from all races fear and or hate to bath in cold water.
Wanaume wote duniani wanachukia ama kuogopa kuoga maji ya baridi toka wakiwa watoto wadogo.
Suala hili ni la kisayansi na limekuwepo toka Enzi za Pontyo wa Pilato.
Ndio uanaume huoAisee nikiwa secondary nilishawahi kupitisha mwezi bila kuoga sababu ya baridi la Mbeya, ni mwendo wa passport size tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi mjini? Au vijijini?Mm naishi moshi one of the coldest area in Tanzania ila daily naoga maji ya baridi haijalishi ni asubgi au jioni and I have my family and I am straight man
What do you say about?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni uchafu na si uanaumeSisi ambao hormone zimezidi na kuwa za beberu, tunachukia kuoga kabisa. Yaani hata niwekewe maji ya moto, nanawa miguu na uso.
You are right!
Kuna swali hapo?Soma swali elewa swali jibu swali.. ume sahau ushauri WA deputy headmaster wako