If your son doesn't hate this thing, he is probably not a real man

If your son doesn't hate this thing, he is probably not a real man

U
Mtoa mada naona una ulimbukeni wa fikra...Jeshin huku hakuna kuchemsha maji au nako pia wana hormones za kike?

Go and Suck a hot water Dick
Umeshasema.jeshini
 
" All men hate cold water".

Kama Una mtoto wa kiume na hachukii kuoga maji ya baridi basi kuwa na uhakika kwamba mtoto wako huyo sio mwanaume kamili and probably ana kiwango kikubwa cha hormones za kike au Kwa lugha nyingine ana kiwango kidogo cha hormones za kiume.

It has been scientifically proved that all men from all races fear and or hate to bath in cold water.

Wanaume wote duniani wanachukia ama kuogopa kuoga maji ya baridi toka wakiwa watoto wadogo.

Suala hili ni la kisayansi na limekuwepo toka Enzi za Pontyo wa Pilato.
Wanasayans wanatuyumbsh sana. Wanasema pia kuoga maji barid, kina sisimua sana uzalishaj wa hormone za kiume.

Kikuwa sio kila maneno ya neno tafit ya wanasayansi ni kuyafata.

Ndo maana kuna wengine wanakuja na pumba harafu baada ya miaka tafut zao zinagundulika ni uongo.
Kama kuna maboya walisema ugali unapunguza nguvu za kiume, wazee wamekula sana na game wanapiga kama kawaida. Tunakula ugali na kazi ipo safi.

Last time i check dingi yangu alikuwa hadi anaweka barafu ktk maji ya kuoga, mazoea ya kukaa sehem za baridi Dsm palikuwa panamp changamoto.
 
Itafikia hatua kila kitu tutashindikwa kufanya sasa...BTW me naoga hata maji ya matope ilimradi nimeoga
 
" All men hate cold water".

Kama Una mtoto wa kiume na hachukii kuoga maji ya baridi basi kuwa na uhakika kwamba mtoto wako huyo sio mwanaume kamili and probably ana kiwango kikubwa cha hormones za kike au Kwa lugha nyingine ana kiwango kidogo cha hormones za kiume.

It has been scientifically proved that all men from all races fear and or hate to bath in cold water.

Wanaume wote duniani wanachukia ama kuogopa kuoga maji ya baridi toka wakiwa watoto wadogo.

Suala hili ni la kisayansi na limekuwepo toka Enzi za Pontyo wa Pilato.

Mi najua mwanaume asifiwi woga!
 
Sisi ambao hormone zimezidi na kuwa za beberu, tunachukia kuoga kabisa. Yaani hata niwekewe maji ya moto, nanawa miguu na uso.
 
Sisi ambao hormone zimezidi na kuwa za beberu, tunachukia kuoga kabisa. Yaani hata niwekewe maji ya moto, nanawa miguu na uso.
Buhahahahahaha hahahahahahahahahahahahahahaahahahahah
 
Tafiti nyengine zimekaa ki jinga jinga tu!!
Maji ya Moto kwa mji Kama wa dar unatafuta kupikwa au nini..?
Nikioga maji ya Moto mwili nawashwa nijisumbue nayo kisa nini!!
 
Back
Top Bottom