Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,365
- 2,732
Ndio na ukitaka kuchangia hoja kwenye vikao vya familia unaonekana unataka kuleta VURUGU.Kule mwenye hela ndio anaheshimiwa.
Asiye na hela anaonekana Kama takataka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio na ukitaka kuchangia hoja kwenye vikao vya familia unaonekana unataka kuleta VURUGU.Kule mwenye hela ndio anaheshimiwa.
Asiye na hela anaonekana Kama takataka tu
Wema unalipa sana eti,,
Na unakuwezesha kutoa ahadi .Wema ni akiba😊
Na unakuwezesha kutoa ahadi .
Nasubiri ile ahad piyemu...ya utajjri😊😊..nimechoka na maisha haya😊😊
Nipo MbagalaLocation Uko wapi
Upishi mzuri ndio kitu cha kwanza ,cha pili usafiHabari zenu kama kichwa cha habari kinavosema naomba mnisaidie natamani sana kufanya hii biashara, Ila sielewi ni mtaji kiasi gani utatosha na pia ni vitu gani niweke ili biashara iwe nzuri
Dar
Kwa ss biashara gani inalipa ss Vuta la Kinshasha au Alkasus mujarabu??Hii biashara ilikua inalipa sana kabla ya ujio wa alkasusu na vumbi la kongo
Kwa ss biashara gani inalipa ss Vuta la Kinshasha au Alkasus mujarabu??
Bado haujawa mjanja basi.Na ujanja wangu wote sijawahi kunywa hii supu.