Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Natafta vuta la linshasa bei zake za jumla zikoje na linapatikana wapiKwa ss biashara gani inalipa ss Vuta la Kinshasha au Alkasus mujarabu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafta vuta la linshasa bei zake za jumla zikoje na linapatikana wapiKwa ss biashara gani inalipa ss Vuta la Kinshasha au Alkasus mujarabu??
Ngoja wadau waje ,ni vumbi la Kongo.Kuna watu wanaenda kununua Malawi ila ngoja wny biashara zao waje kwnz nisiingilie fani za watu.Natafta vuta la linshasa bei zake za jumla zikoje na linapatikana wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja wadau waje ,ni vumbi la Kongo.Kuna watu wanaenda kununua Malawi ila ngoja wny biashara zao waje kwnz nisiingilie fani za watu.
Chuga nyie si mnatumia mirungi boss!Kwa huko kwenu dar utauza sana maana amjiamini ktk show ila huku chuga labda kule uswahilini bondeni!ila sijawahi kutio ktk kinywa changu hiyo kitu
Show yoyote tunambiawa jandoni mchiwa msosi chalii angu!mrungi ni kilevi tu kama k-vantChuga nyie si mnatumia mirungi boss!
Na ujanja wangu wote sijawahi kunywa hii supu.
Kuhesabu ni ngumu ila pia vile vipande ndio vina faida kubwa! Sababu kimoja anakiuza 200 ni zaidi ya bei ya chungwa 😅😅😅 ukidokoa kimoja huwez tosheka utajikuta umekula vya buku angalau hapo ndio unapata ka ladhaMkuu hivi test yake ikoje? Unajua nikiwa Dar huwa naona mtu anakuwa thermos na vipande vilivyokatwa katwa mezani. Hivi wateja wanapokuwa wanakula vipande muuzaji huwa anahesabu ili wasimuibie?
Labda pawe hamna traffic ila wakiwa watu ni nyomi hutoboi😅 lazma wakupige! Mi nikiwa na buku 2 mfukoni nakula tani yangu halafu namshikisha buku 2 imeisha hioIle thermos huwa inawekwa soup, tule tuvipande unachoma na tooth pick kamoja mara nyingine bei ni 200. Jamaa huwa wajanja wanahesabu asee.
Mtaji haufiki hata laki kama upo DarHabari zenu kama kichwa cha habari kinavosema naomba mnisaidie natamani sana kufanya hii biashara, Ila sielewi ni mtaji kiasi gani utatosha na pia ni vitu gani niweke ili biashara iwe nzuri