Mkuu kweli ulitarajia Waziri anune? Mteule yeyote wa Rais ukiletewa lazima ufanye nae kazi, Nape watu hawamjui vizuri that dude is smartMbona Nape alishangilia faster tu Maharage alipotajwa kupelekwa TTCL baada ya Ulanga kuondolewa? Au wewe ndiye huyo mshangiliaji umekuja kujikosha tu japa baada ya kuona amerejeshwa?
Wapinzani kwenye tawala hawakosekani ,lakini ni jukumu la kila Raia mwema kumsaidia Rais ,Rais Samia asingekuwa imara hii nchi isingekua hapa ilipo sasa ,siongei maneno ya kichawa ,walio ndani serikalini hasa inner circle watakua wananielewaKama ni kweli siwezi kukubeza wala kutoa matamshi machafu kuna watu tunaliombea saana taifa na kupambana ila mpumbavu mmoja kwasababu anakalia kiti anawajibu majibu ya kipumbavu sana Mh. Rais hawa watu awajibishe mno kwasababu kama ni kweli anapambana kuna watu wengi wanamuangusha na ndiyo superior katika maofisi makubwa. Waongo na wanaumiza mno watumishi wa chini.
KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.
Narudia tena kama ni kweli GOD BLESS MY COUNTRY hatujuani humu JF ila kuna mambo yanaumiza kwasababu watumishi wa chini wanafanyiwa vitu ambavyo mkuu awezi jua. Kuwa mkweli uone moto.Wapinzani kwenye tawala hawakosekani ,lakini ni jukumu la kila Raia mwema kumsaidia Rais ,Rais Samia asingekuwa imara hii nchi isingekua hapa ilipo sasa ,siongei maneno ya kichawa ,walio ndani serikalini hasa inner circle watakua wananielewa
Nape si mojawapo wa aliyetaka ttcl imalizwe kabisa au yeye alitumika tu kama kisemeo?Rais wa jamhuri ya Muungano mama Samia, alitengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa TTCL Maharage Chande ,muda mfupi tu baada ya kuteuliwa .
Pamoja na Track Record safi , uzalendo na uchapakazi mzuri wa Peter Ulanga Rais aliamua kumrudisha madarakani Mkurugenzi Ulanga si tu kwa weledi wake kazini na uongozi bora kabisa ,ambao umeanza kuirudisha TTCL kwenye ramani.
Jambo la pili ni umiliki wa hisa nyingi (majority share) wa bwana Maharage Chande kwenye kampuni ya softNet.
Kampuni hii ina kandarasi ya kutoa huduma kwenye mkongo wa taifa, wakishirikiana na kampuni ya Huawei tokea China.
Kuteuliwa kwa Maharage Chande si tu kungeleta mgongano wa masilahi, lakini pia TTCL ingezikwa rasmi.
Peter Ulanga ni moja ya Wakurugenzi bora kabisa kwenye mashirika ya Umma kwa sasa nchini, just to mention few , Kamishina wa TRA ni kiongozi bora kabisa, Gavana wa BOT Tutuba ni bora kabisa.
Chini ya Nape kuna Peter Ulanga wa TTCL na Bakari yupo TCRA , hawa na visionary leader, TASAC kuna Mkurugenzi kijana anapiga kazi bora sana na wakurugenzi wengine kadhaa wanaing'arisha serikali.
Nini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.
Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.
Angekuwa smart haya maharage angeyafanya yakachacha kabisa haya matajiri wafanyaniashara hawawezi kufanya KAZI kwa interest ya umma badara yake wabatafuta sehemu ya kuiba kuzidi kuwa ma tycoon .ndo maana tunataka katiba mpya kwa Hali na maliwewe hujaona kama RAIS kawa smart kwa action alizochukua?
mapema?**** amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.
Huyo ni mfanyabiashara mkubwa zaidi ya Mo Dewji wa Simba ujue
📌Rais yupi? ...very smart...bendera fata upepo remote controlled...
Aisee!Rais wa jamhuri ya Muungano mama Samia, alitengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa TTCL Maharage Chande ,muda mfupi tu baada ya kuteuliwa .
Pamoja na Track Record safi , uzalendo na uchapakazi mzuri wa Peter Ulanga Rais aliamua kumrudisha madarakani Mkurugenzi Ulanga si tu kwa weledi wake kazini na uongozi bora kabisa ,ambao umeanza kuirudisha TTCL kwenye ramani.
Jambo la pili ni umiliki wa hisa nyingi (majority share) wa bwana Maharage Chande kwenye kampuni ya softNet.
Kampuni hii ina kandarasi ya kutoa huduma kwenye mkongo wa taifa, wakishirikiana na kampuni ya Huawei tokea China.
Kuteuliwa kwa Maharage Chande si tu kungeleta mgongano wa masilahi, lakini pia TTCL ingezikwa rasmi.
Peter Ulanga ni moja ya Wakurugenzi bora kabisa kwenye mashirika ya Umma kwa sasa nchini, just to mention few , Kamishina wa TRA ni kiongozi bora kabisa, Gavana wa BOT Tutuba ni bora kabisa.
Chini ya Nape kuna Peter Ulanga wa TTCL na Bakari yupo TCRA , hawa na visionary leader, TASAC kuna Mkurugenzi kijana anapiga kazi bora sana na wakurugenzi wengine kadhaa wanaing'arisha serikali.
Nini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.
Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.
Ila mwanetu kuna icho ulichopewa ukavimbilwa nacho,ngoja tukuache maana hapa unachokifanya ni kule kuhemea juu juu kwa mtu alievimbilwa akili inakuwa haifanyi kazi mpaka tumbo lipungue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kweli ulitarajia Waziri anune? Mteule yeyote wa Rais ukiletewa lazima ufanye nae kazi, Nape watu hawamjui vizuri that dude is smart
Hii inafikirisha
Aiseee naweza kubali, cheki ICT services anazotoa kwa all major institutions, banks, tel companies etc atakuwa bilionea haswa.
Very reactive to be honestTumshukuru Rais ,ana circle ambayo iko pro active sana siku hizi
Kama amewang'amua tunataka kumwona akiwaondoa ili tuamini usemachoNini kilitokea mpaka Ulanga akataka kuondolewa.
Kuna Watu wasiomtakia mema Ulanga wapo wizara ya TEHAMA, hawa hata Nape hawajui vyema, kwenye hili Nape amekua upande wa Ulanga, watu hawa wanataka kwa hali na mali Ulanga andoke TTCL ili mkongo wa Taifa urudi wizarani ,utoke TTCL ,kuna watu wizara ya TEHAMA wala rushwa wakubwa sana ,ndio maana walitaka kum double cross Ulanga.
Rais amekua very smart kuwa ng'amua mapema kabla hawajatimiza adhima yao.
Yani mtu ana shares Huawei halafu bado anaishi kwa mshahara wa Serikali?
Wahuni siyo WATU 😂😂
Rais Samia amefanya jambo kubwa sana hapa TTCL ingekufa
Alafu ndio kapandisha bei kilo yake bado kidogo upate nusu ya nyama....Maharage maharage maharageee maharagee... Maharage ni nani mbona kila kona maharage anatajwa... Au kwa vile mnapenda wali maharage... Maharage una nyota kali sana...