Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Jamaa bado mshamba sanaUmeona Kilimanjaro inavyokimbiza? Kamkoa kadogo lakini hâta mwanza haifui dafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa bado mshamba sanaUmeona Kilimanjaro inavyokimbiza? Kamkoa kadogo lakini hâta mwanza haifui dafu
Serikali wakiacha kuinvest miradi mikubwa dar kama vile TBA NHC Nssf nk na kuihamishia Mwanza basi Mwanza tutaikaribia dar lakini tofauti na hivyo tuendelee kunywa kahawa mixer jamvini humuMbona leo hatuna bias hapa hata mtoa maada kafafanua kua kwa project zinazoendelea mwanza 20 yrs to come Dar itafuatwa kwa karibu sana kitu ambacho ni kweli kabisa, sema wakazi wa mwanza wangeongeza kasi ya kujenga ghorofa za kuishi mambo yangekua mazuri sana maana Dar gorofa za makazi ni nyingi mno
Kitombile njoo ujiteteeKilimanjaro wana maghorofa mengi kushinda Mwanza?
Ndio hivyo mnyampaaSingida 7
NonsenseUkiona eneo lina maghorofa mengi ujue kuna maisha magumu na upatikanaji wa ardhi ni shida.
Wasukuma watakuja kubisha ili hali wamezidiwa hadi na wasambaaDar ni kubwa sana kimaendeleo, lakini sio Haba Arusha nayo inachanua sio jambo Rahisi kua hapo no2... Mwanza ndio Aibu tupu sijawaelewa
Maisha ya dar ni dhiki sanaYaani ukijumlisha majengo ya ghorofa ya Mikoa yote Tanzania bado haifikii kwa Dar..
Aisee Dar ndio Tanzania asikwambie mtu.
Watu zaidi ya 70% ya wakazi wa Dar ni ombaomba.Maisha ya dar ni dhiki sana