Ifahamu mikoa 10 yenye maghorofa mengi Tanzania

Ifahamu mikoa 10 yenye maghorofa mengi Tanzania

Hadi leo kwa anaenipanga kimaisha siwezi kumshauri aanzie hapa DSM bora akajikite Mbeya, Njombe, mwanza, Kahama, mafinga, katoro, Tunduma, sehemu ambayo sikuielewa Songea mzunguko uko chini kidogo Mbinga au kwa mtwara masasi.
Mbinga penyewe, songea pagumu hatari
 
Kumbe ishu ya jiji au mji na maghorofa ni vitu vyenye uhusiano kwa mbali sana ndo natambua leo

Just imagine Mwanza na Mbeya hakuna maghorofa mengi wanazidiwa mpaka na Arusha lakini ndo majiji makubwa ukiacha Dar

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mwanza na Arusha wanalingana almost sawa kwa ukubwa ila Mbeya bado padogo
 
Mapema mwezi wa 8 2022 Kulifanyija sensa ya watu na makazi na matokeo take kutoelewa mwezi wa 10.

Kwa Mujibu wa Matokeo ya sensa,Mikoa 10 ambayo Ina majengo mengi ya maghorofa kwa maana ya makazi, biashara na Taasisi Ni Kama ifuatavyo:

1. Dar es Salaam-32,219

2. Arusha-7,180

3. Tanga-4,282

4. Kilimanjaro-3,540

5. Mwanza-2,481

6. Pwani-1,885

7. Dodoma-1,461

8. Morogoro-1,331

9. Mbeya-1,073

10. Kagera-702.

My Take.

Hii inaonesha pia Hali za maisha za Wananchi wa maeneo husika.

View attachment 2427153
Source:NBS

watu wa arusha na kujitutumua kwao kote mitandaoni, kumbe kamkoa kao kana tugorofa 7180 tu. aisee acheni dar ibaki kuwa dar.
 
usikute wamehesabia na zile gorofa za kuhifadhia majani makavu ya ng"ombe na mbuzi!
Hamjui Kilimanjaro, Kilimanjaro sio pale Moshi mjini tu, Kilimanjaro wilayani/vijijin Kuna majengo na makazi mazuri kuliko mjini
 
Kilimanjaro ni kama Wana Israel
Imagine kamkoa kadogo lakini kanazidi mikoa mikubwa kwa maghorofa kama Kagera,mwanza,mbeya etc
 
instanbul hapa napo Kagera imepigwa na kitu kizito na Kilimanjaro
Mkoa WA Kilimanjaro Kwakweli una maajabu imagine kamkoa kadogo lakini kanazidi mikoa mikubwa kwa maghorofa kama Kagera mwanza mbeya
The blessed Kilimanjaro
 
watu wa arusha na kujitutumua kwao kote mitandaoni, kumbe kamkoa kao kana tugorofa 7180 tu. aisee acheni dar ibaki kuwa dar.
Kuwa na gorofa nyingi au chache husababishwa na mazingira au geographia ya sehemu husika utaleta vichekesho kwa wenye akili mfano unalo eneo au unakaa ndani ya eneo la hekari 2 then unajenga gorofa hii haipendezi
Gorofa jengeni huko kwenye viwanja vyenu vya 20×20 hapo uko sahihi
 
Back
Top Bottom