Ifahamu mikoa 10 yenye maghorofa mengi Tanzania

Ifahamu mikoa 10 yenye maghorofa mengi Tanzania

Hapo za Mwanza wangepaswa waonyesha za udongo ni ngapi
images (19).jpeg
 
Dar kuilinganisha na mkoa wowote ni kuionea japo mikoa yote hukusanya mapato kupeleka Dar au Dodoma kwenye kapu kuu la nchi ili wapangiwe nini wafanye na kila mkoa una mchango kwenye maendeleo ya Dar ulifahamu hilo
Kwa zaidi ya miaka 60 serikali imeendeshwa kutoka dar...Dar ilikuwa inanyonya miji mingine..tukizungumzia dar inatakiwa walete idadi ya magorofa ya wazaramo na sio haya ya serikali..ni kama mtu miaka 100 ijayo aseme dodoma inamagorofa mengi wakati wagogo jua linawachoma vibaya mno!
 
Ina mana simiyu ni maskini kiasi hicho hata kagorofa ka losheni 1 tu hamn?, sio kweli. Au gorofa inaanzia losheni ngapi?. Hpa nilipo ni mkoa wa simiyu kuna shule ya wakatotiki ina ghorofa na pia kuna majengo karibia 5 ni gorofa . Hizo takwimu zako ni uongo
 
Arusha imebebwa zaidi na mahoteli ya kitalii.

Ila Mwanza sijui inasifiwa kwa lipi, maana kwa umaskini ipo juu, majengo ya maana hakuna.
Nadhani huku wangekuwa matajiri wasingepata haya[emoji116]
1669116077897.jpg
 
Lengo la mtoa mada linajulikana Toka kitambo tu ,,,,hyo report katoa kutagert mkoa Gani

Mbona leo hatuna bias hapa hata mtoa maada kafafanua kua kwa project zinazoendelea mwanza 20 yrs to come Dar itafuatwa kwa karibu sana kitu ambacho ni kweli kabisa, sema wakazi wa mwanza wangeongeza kasi ya kujenga ghorofa za kuishi mambo yangekua mazuri sana maana Dar gorofa za makazi ni nyingi mno
 
Mapema mwezi wa 8 2022 Kulifanyija sensa ya watu na makazi na matokeo take kutoelewa mwezi wa 10.

Kwa Mujibu wa Matokeo ya sensa,Mikoa 10 ambayo Ina majengo mengi ya maghorofa kwa maana ya makazi, biashara na Taasisi Ni Kama ifuatavyo:

1. Dar es Salaam-32,219

2. Arusha-7,180

3. Tanga-4,282

4. Kilimanjaro-3,540

5. Mwanza-2,481

6. Pwani-1,885

7. Dodoma-1,461

8. Morogoro-1,331

9. Mbeya-1,073

10. Kagera-702.

My Take.

Hii inaonesha pia Hali za maisha za Wananchi wa maeneo husika.

View attachment 2427153
Source:NBS
Watu wa Kagera na Misifa yote ile kumbe ni Masikini Tu hawa,Hakuna Masikini anaejenga Ghorofa...niwasikie Tena
 
Mbona leo hatuna bias hapa hata mtoa maada kafafanua kua kwa project zinazoendelea mwanza 20 yrs to come Dar itafuatwa kwa karibu sana kitu ambacho ni kweli kabisa, sema wakazi wa mwanza wangeongeza kasi ya kujenga ghorofa za kuishi mambo yangekua mazuri sana maana Dar gorofa za makazi ni nyingi mno
Una uhakika Gani mwanza Kuna ghorofa 2400 ripoti ipo bias na inakosa logic za kuifanya iwe na facts
Kwanza hawajatuambia ni ghorofa Gani zilizopo .mfano Zanzibar na Tanga Kuna maghofu yale ya waarabu nayo yamekuwa included...hapo ukija kufanya filters nzuri miji inayobaki kuwa na maghorofa ambayo yako potential and active ni dar , Arusha na mwanza..
 
Watu wa Kagera na Misifa yote ile kumbe ni Masikini Tu hawa,Hakuna Masikini anaejenga Ghorofa...niwasikie Tena

Kwanza jirekebishe sio kua kujenga nyumba za kawaida ndio utajiri, asili ya gorofa ilianzia huko ulaya kwenye uhaba wa ardhi, baadae kwetu ikaja ikawa fashion pamoja na uwekezaji, lakini pia ujenge apartment ya gorofa muleba nani atakuja kurent?
 
Acha masihala mkuu,wewe unaweza Jenga majengo sehemu ambayo haina biashara kwa hoja yako unamaanisha Kigoma?

Mkoa wa Kigoma una Kasulu na Kigoma Mjini usisahau Hilo Ni Miji mikubwa hiyo ,Rukwa na Katavi Ni hapo Mjini tuu Yaani Sumbawanga na Mpanda.

Halafu nilikua nimesahau kweli Kasulu kwa mkoa wa kigoma ndio mji wa kibiashara na unakua kwa kasi na wakazi wa kule wanajituma sana naamini miaka 10 ijayo watakua mbali sana
 
Kilimanjaro wana maghorofa mengi kushinda Mwanza?
Kilimanjaro ni mkoa uliozimwa kimaendeleo kwa makusudi makubwa ya akina Nyerere na maendeleo yoyote ya mkoa huu yametokana na jasho la damu na juhudi tukuka za wenyeji. Moshi ilistahili kuwa jiji miaka mingi iliyopita lakini hilo nalo limeonekana nongwa. Haya takwimu hazina unoko.
 
Back
Top Bottom