Ifahamu mikoa 10 yenye maghorofa mengi Tanzania

Serikali wakiacha kuinvest miradi mikubwa dar kama vile TBA NHC Nssf nk na kuihamishia Mwanza basi Mwanza tutaikaribia dar lakini tofauti na hivyo tuendelee kunywa kahawa mixer jamvini humu
 
Dar ni kubwa sana kimaendeleo, lakini sio Haba Arusha nayo inachanua sio jambo Rahisi kua hapo no2... Mwanza ndio Aibu tupu sijawaelewa
Wasukuma watakuja kubisha ili hali wamezidiwa hadi na wasambaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…