Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wanaangusha utalii kabisa [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kabisa huko siwezi kwendaUhaba wa Papuchi na Biere umemeza mazuri yote
[emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji120]nshaanza mchakatoUchawi na ushirikina[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Fanya tukafungie ndoa huko.
Na mm pia usisahau kunitag maana penda sana.... Historia mnato Kama hizi...Ahsante mkuu nitafurahi sana ukiniita
HKwa tamaduni zao si kipaumbele kaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hawana vyura basi hakuna utalii huko ni kupoteza muda na fedha, utalii ni Rwanda tu.Utaashia kwenye nondo au adhabu kali tu... Vyura ni bidhaa adimu as waasia wengi hawajajaliwa migongo mkuu..
Wapo strictly kwenye tamaduni zao mkuu... Na in addition kama hicho kijiji ulichokitaja wamebase sana kwenye imani yao ndio maana wanaweza kumantain..Daah! Hii Inanikumbusha juzijuzi hapa mwaka huu huu nimetembelea kijiji kimoja mkoani Tanga,kwa asilimia 98 wakazi wake ni waislmu,Sasa nilikuwa na field work ya wiki 1, ile jioni siku ya kwanza kumaliza kazi nikawauliza wenyeji madukani wapi,wakanielekeza,ndugu yangu hakuna hata duka 1 utaweza pata pombe ya aina yeyote.Wala hakuna kilabu Cha pombe za kienyeji,Wala hamna soko.Mbona tulinyooka,tulikuwa washkaji wanne na wote ni mabaharia. Kwa hiyo hicho Kijiji ni Kama hiyo nchi na ni kata nzima hmna bia,hamna papuchi pia.
H
Umenikumbusha Nepal mkuu, ni nchi flani nayo kwa Asia wapo equipped na tamadani zao sana tofauti ni kuwa Bhutan 70% ni misitu na Nepal 45% ni misitu so Nepal wana cha kujifunza tho Nepal ni kubwa mara 3 yake... But ndio vile geographically hawajajaaliwa.Wana utamaduni kama wa Nepal kwa mbaali, japo Nepal imekumbwa sana na machafuko na natural disasters kama earthquakes
Nakuangalia tu
AseeBila shaka sijafanya kitu kibaya.
Hahahaha, nipo mkubwa, mambo mengi tuNakusalimia mkuu... Hatuajona ule upande mwingine kitambo kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23]Asee