wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,293
- 3,945
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule ipi hiyo?
Ni lengo la washiriki kutoana bikra, unabisha nini sasa?!Na mimi nimesema lengo siyo hilo so usiaminishe watu kuwa hilo tamasha limeandaliwa kwa lengo hilo
Ina uhusiano na katazo alilopewa makonda kwenda kwao ?Tamasha hili huandaliwa maalum kabisa kwa ajili ya wanafunzi wa 'high school seniors / juniors' ambao wanamaliza shule na hivyo hukusanyika kama njia moja wapo ya kuagana na kupongezana.
Katika hatua za awali za Tamasha hili huanza kwa kupiga picha za pamoja baina ya marafiki na wapenzi wanaomaliza shule pamoja na kusaini 'year books', pia huusisha uchezaji wa dansi/disko baina ya wanafunzi na wapenzi wao hapo shuleni.
Matamasha mengi japo si kwa utaratibu, baada ya muda wa kawaida kuisha, basi wanafunzi hushughulika na unywaji pombe wa kupitiliza na baada ya kulewa ipasavyo, wale ambao wanakuwa wameapa kutoa bikra zao siku hiyo, wavulana kwa wasichana, huwa wanakamatana pair kwa pair na kutafuta chobingo ambapo hutoana bikra kwani wengi huona aibu kwenda 'college' wakiwa bado 'watoto'.
Vijana wengi sana husubiria tukio hili kwa hamu kubwa sana ila inasemekana unywaji pombe kupita kiasi hupelekea drink driving na hivyo wengi kupoteza maisha katika ajali za barabarani, hivyo wazazi huombwa kuchukua tahadhari.
From Shithole USA
Siyo lengo la waandaji. Hivi kwani mkesha wa mwenge uwa una lengo la watu kulewa na kufanya zinaa? Maana mwaka juzi ilisemekana kule kilimanjaro wanafunzi walibakwa sana wengine kwa kuogopa mimba walliomba wafanywe nyuma. je ndiyo lilikuwa lengo la mkesha wa mwenge na mara zote uwa inakuwa hivi kila mwenge unakopelekwaNi lengo la washiriki kutoana bikra, unabisha nini sasa?!
Ni sawa na mkesha wa mwenge, lengo si kufanya ngono usiku. Lakini ngono zembe za mkesha wa mwenge ni mimba zake si mchezo.Lakini siyo lengo la waandaaji wa hilo tamasha. We unadhani lengo la kuumbwa na sehemu za siri llilikuwa ukaifanyie zinaa?
Mimi nimekwambia ni lengo la washiriki, wewe unasema waandaji kweli? unataka kujifanya una mtindio wa ubongo sio..Siyo lengo la waandaji. Hivi kwani mkesha wa mwenge uwa una lengo la watu kulewa na kufanya zinaa? Maana mwaka juzi ilisemekana kule kilimanjaro wanafunzi walibakwa sana wengine kwa kuogopa mimba walliomba wafanywe nyuma. je ndiyo lilikuwa lengo la mkesha wa mwenge na mara zote uwa inakuwa hivi kila mwenge unakopelekwa
Wapi nimemtaja Makonda hapo..Ina uhusiano na katazo alilopewa makonda kwenda kwao ?
Haa kwaa hiyo washiriki wa mkesha wa mwengo lengo lao ni kulewa na kufanya ngono, So utaweza andika kichwa cha habari mkesha wa mwenge, tamasha la ngono na ulevi??? itakuwa sawa?Mimi nimekwambia ni lengo la washiriki, wewe unasema waandaji kweli? unataka kujifanya una mtindio wa ubongo sio..
Mimi naongelea PROM NIGHT wewe unasema Mwenge kweli? Unataka kujifanya mwendawazimu sio..Haa kwaa hiyo washiriki wa mkesha wa mwengo lengo lao ni kulewa na kufanya ngono, So utaweza andika kichwa cha habari mkesha wa mwenge, tamasha la ngono na ulevi??? itakuwa sawa?
utashangaa kuna NGO ikaibuka kuomba fedha kufanya haya nchini mwetu na msaada huo ukahesabika ni uhisani
Ni mifano inayoedana maana lengo la tamaasha linatoka kwa muandaaji si anayeudhuria. Sasa wewe umehitimisha kwa kusema uongo over hilo tamasha ndilo lengo lake hilo la kutoana bikraMimi naongelea PROM NIGHT wewe unasema Mwenge kweli? Unataka kujifanya mwendawazimu sio..
... Au lile tukio la vifo huko Moshi unadhani ndilo lilikuwa lengo la mwamposa?
sijui kwanini aliingia mitini...Hapa umekosea sana mkuu, huyo sheitwani hili lilikuwa kusudi lake hasilani.
Nasikia alikuwa anawahisha kafara pale kawe 😡sijui kwanini aliingia mitini...
PROM NIGHT ni ya wanafunzi..., Mwenge ni ya shule gani?Ni mifano inayoedana maana lengo la tamaasha linatoka kwa muandaaji si anayeudhuria. Sasa wewe umehitimisha kwa kusema uongo over hilo tamasha ndilo lengo lake hilo la kutoana bikra
Nilisoma mazengo sekondary,nakumbuka kipindi cha mahafali tulikuwa tunaletewa watoto wa kike kutoka msalato kucheza nao disco!Ila utamaduni wa shule hizo kualikana kwenye shughuli hizo,wenye uchu na papuchi tulitumia fursa hiyo kutongoza na kula mizigo!Japo lengo la kukutanishwa ilikuwa kurefresh na kubadilishana mawazo ila wengine tulitumia fursa!PROM NIGHT ni ya wanafunzi..., Mwenge ni ya shule gani?