Ifahamu Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania- Sehemu ya Kwanza (Utangulizi)

Acha kunilisha maneno mdomoni

Ulichosema ni kingine na nilichosema ni kingine!
 
Wewe nakwepa kukuita mjinga. Nilikuuliza mwanzoni kuhusu utafiti, sikusema lazima apewe kwenye uchimbaji. Swali langu kwako ilikua kuondoa kile umekisema kwenye post yako, uzuri umeshakijibu vile mm nilikua najua.

Narudia tena, hizo kanuni na Sheria wala hamna haja ya kuzisoma kwa kuwa nazifahamu vizuri tu. Usitake kuwaaminisha watu kuwa kuna maajabu ya Tz kufaidika na gesi. Acha huu ujinga.

Wakati wa magufuli, Kuna mtu nilimueleza kuwa hakuna kitu Tz itapata kwenye madini kwa sababu ya umaskini wetu tulionao. Hakuna majadiliano yoyote yatayoleta chochote, tukubali hatuwawezi tena hao.

Same na kwenye gesi, hakuna kitu Tz itapata sababu ya huu umaskini wetu. Hakuna majadiliano chanya yoyote yatayoleta faida kwa taifa(ukweli huu).

Unaweza vipi kujadiliana na kufaidi kwa mtu ambae anakuamulia maisha yako yaende vipi.
 
HUNA UNACHOJUA
Jf nimekuwa nikisema kuna wajinga wengi Sana(ukweli huu), na Kuna werevu wachache sana. Hawa wachache hutumia ujinga wa walio wengi kuingiza na propaganda( Ni sawa kabisa maana mjinga anapaswa kuongozwa).

Nakwepa sana kukuita mjinga, sijui Kama napaswa pia kukuita mwerevu.

NB
Ukitaka mjadala na mimi basi hakikisha unajua sana vitu vingi
 
Mimi najua gharama zote za uchimbaji gesi ila mabeberu ukiwauliza wanataja gharama kubwa sana ili serikali isithubutu kuchimba
Kuna aina mbili kukodi meli au kusimika plant
 
Hujaisoma Sera, Sheria, MPSA wala Kanuni halafu bila aibu unajigamba kujua mengi!!

Unayajuaje hayo mengi ikiwa hata sheria tu huzijui?!

VIROJA HIVI...

Unajua vitu vingi kwa kusikia mitani!
 
Wewe nakwepa kukuita mjinga. Nilikuuliza mwanzoni kuhusu utafiti, sikusema lazima apewe kwenye uchimbaji. Swali langu kwako ilikua kuondoa kile umekisema kwenye post yako, uzuri umeshakijibu vile mm nilikua najua.
Matusi ndo mnachojua
Narudia tena, hizo kanuni na Sheria wala hamna haja ya kuzisoma kwa kuwa nazifahamu vizuri tu. Usitake kuwaaminisha watu kuwa kuna maajabu ya Tz kufaidika na gesi. Acha huu ujinga.
Basi kubishana na wewe ni kupoteza muda
Wakati wa magufuli, Kuna mtu nilimueleza kuwa hakuna kitu Tz itapata kwenye madini kwa sababu ya umaskini wetu tulionao. Hakuna majadiliano yoyote yatayoleta chochote, tukubali hatuwawezi tena hao.
Hapa tunajadili Sekta ya Mafuta na Gesi!
Same na kwenye gesi, hakuna kitu Tz itapata sababu ya huu umaskini wetu. Hakuna majadiliano chanya yoyote yatayoleta faida kwa taifa(ukweli huu).
Maelezo yangu nimeshakuwambia kwa mujibu wa Sheria, Kanuni....

Ukitaka kujadili kwa maelezo ya mitaani, that's not my style
Unaweza vipi kujadiliana na kufaidi kwa mtu ambae anakuamulia maisha yako yaende vipi.
What's your point?!
 
Gesi, mafuta, madini kamwe Tanzania haitonufaika hata siku moja, Magufuli baada ya kujua hilo akapata hasira akaanzisha bwawa la Nyerere
 
Hujaisoma Sera, Sheria, MPSA wala Kanuni halafu bila aibu unajigamba kujua mengi!!

Unayajuaje hayo mengi ikiwa hata sheria tu huzijui?!

VIROJA HIVI...

Unajua vitu vingi kwa kusikia mitani!
Nimekuambia hizo kanuni zote nazijua vizuri tu.wewe unakazania nikasome, hivyo ndio viroja
 
Hakuna nilipotukana.

Unasema tunajadili mafuta na gesi, kipi special ambacho hatukijui? Au ndio maana ukaleta huu Uzi ukihisi hatujui chochote?

Point yangu ni kuwa, hatuwezi kujadiliana na watu ambao wanaamua hatma ya maisha yetu. Sisi ni wa kuamriwa tu, na hili wala hapaswi kulaumiwa samia na raisi yoyote kwa kuwa ndio mataifa yetu mengi ya huku Africa tuliamua hivyo toka zamani
 
Gesi, mafuta, madini kamwe Tanzania haitonufaika hata siku moja, Magufuli baada ya kujua hilo akapata hasira akaanzisha bwawa la Nyerere
Huyu chige ni mtu wa ajabu. Ananikazania nikasome kanuni, ikiwa nazijua zote. Yeye anahisi hizo kanuni na sheria zitainufaisha Tanzania.

Nimekueleza vizuri tu kuwa hata Magufuli alikuwa anapoteza muda na yale mapambano yake kwenye madini.

Same na kwenye gesi, huwezi kufanya majadiliano ya faida kwa taifa na watu ambao wanakuamria hata kuishi tu uishi vipi.

Watu wamekuja kuwekeza trillion 90 kwenye gesi, unafikiri watakuambia watachukua miaka mingapi kurudisha pesa yao?

Kwenye madini hakukua na uwekezaji mkubwa Kama huu wa gesi, Ila bado hatukupata chochote mwaka wa 60 huu
 
Nimekuambia hizo kanuni zote nazijua vizuri tu.wewe unakazania nikasome, hivyo ndio viroja
Tangu uanze ni kwamba kila kitu UNAKIJUA lakini kila unachoandika wala hakiakisi huo ujuaji wako!

Punguza U-much know... KASOME!

Huwezi kujua bila kusoma...
 
Yeye ameanzisha uzi ili sisi wengine tuelimike, sasa kama wewe kuna unachojua huwezi kuchangia bila kupiga vijembe?
 
Huyu chige ni mtu wa ajabu. Ananikazania nikasome kanuni, ikiwa nazijua zote. Yeye anahisi hizo kanuni na sheria zitainufaisha Tanzania.
ACHA KUJITIA UJUAJI

Unazifahamu vipi kanuni zote ikiwa hata kusoma HUTAKI?!
Nimekueleza vizuri tu kuwa hata Magufuli alikuwa anapoteza muda na yale mapambano yake kwenye madini.
Narudia, tunajadili mada ya mafuta na gesi.
Same na kwenye gesi, huwezi kufanya majadiliano ya faida kwa taifa na watu ambao wanakuamria hata kuishi tu uishi vipi.
Kwahiyo unatakiwa kufanya majadiliano na nani?!

Hakuna anayetumia akili yake sawa sawa halafu asifahamu kwamba tatizo la msingi tulilonalo nchi hii ni mikataba ya ovyo ambayo na yenyewe inatokana na sheria za ovyo!

Sasa reference yangu ni sheria zinasemaje wewe unaleta stori za mitaani!!
Watu wamekuja kuwekeza trillion 90 kwenye gesi, unafikiri watakuambia watachukua miaka mingapi kurudisha pesa yao?
Narudia... Acha u-much know, na badala yake kasome MPSA ili uondokane na hicho kiroja chako cha itachukua miaka mingapi!!
Kwenye madini hakukua na uwekezaji mkubwa Kama huu wa gesi, Ila bado hatukupata chochote mwaka wa 60 huu
Kwahiyo hata kodi haikusanywi, ama?!
 
Hakuna nilipotukana.
Basi kamwambie babako kwamba "wewe baba, nakwepa kukuita mjinga"!!

Au kamsubirie babako wakati anakuambia jambo halafu umwambie "kuna watu wajinga sana"

Usinione nakupotezea kwa maneno yako ya kifedhuli dhidi yangu halafu ukanichukulia poa... nimeamua tu kukausha!
Unasema tunajadili mafuta na gesi, kipi special ambacho hatukijui? Au ndio maana ukaleta huu Uzi ukihisi hatujui chochote?
Punguza u-MUCH KNOW na kujifanya unajua kila kitu wakati maelezo yako ni ya kutoa kichwani!!
Point yangu ni kuwa, hatuwezi kujadiliana na watu ambao wanaamua hatma ya maisha yetu. Sisi ni wa kuamriwa tu, na hili wala hapaswi kulaumiwa samia na raisi yoyote kwa kuwa ndio mataifa yetu mengi ya huku Africa tuliamua hivyo toka zamani
Unarudia yale yale tena na tena....
 
Yeye ameanzisha uzi ili sisi wengine tuelimike, sasa kama wewe kuna unachojua huwezi kuchangia bila kupiga vijembe?
Hawezi kueleza hicho "anachokijua" kwa sababu kilichomjaa ni u-much know tu!

Kwa mfano, kuna "miswada" zaidi ya mitatu inayoelezea handling ya sekta ya mafuta na gesi lakini bado anadai kanuni zote anazijua!!

Huyo Mwanasheria Mkuu mwenyewe hawezi kudai Kanuni ZOTE anazijua!!
 
Mkuu mpotezee tuu, anakutoa kwenye flow ya uzi wako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…