Ifahamu Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania- Sehemu ya Kwanza (Utangulizi)

Huyu countywide cjui nani,htak uzi utembee anaona wivu kuwa mwenzak ana elimu na ana share yy anayo kanyamaza hajui kuwasilisha mada, Chige kanyaga twende, hata hvyo umempa sana Airtime.
 
Hujaisoma Sera, Sheria, MPSA wala Kanuni halafu bila aibu unajigamba kujua mengi!!

Unayajuaje hayo mengi ikiwa hata sheria tu huzijui?!

VIROJA HIVI...

Unajua vitu vingi kwa kusikia mitani!
Ninafikiri kwa busara na utaalam zaidi, ungepandisha bandiko lililokamilika, kwa maana lenye kuzungumzia suala hili kama ulivoligawa katika utangulizi wako, vinginevyo hakuna cha maana cha kujadili mpaka hatua hii
Hapo kwenye Model Production Sharing Agreement ndo hasa patakapotoa au kuua maslahi yetu. Kwa sasa, MPSA iliyopo ni ya 2013 ambayo kuna taarifa zinadai kwamba Wawekezaji HAWAITAKI!
Umekimbilia kutoa hitimisho kabla hata ya kuzungumzia kuhusu hizo sheria, sera na kanuni na muhim zaidi bila hata kugusia "assumptions and basis" zilizotumika mpaka kufikita katika hiyo model ili kutoa nafasi na uwanja mpana wa majadiliano.

Nikupongeze tu kwa kuweka "data/statistics" kwa kila hoja uliyozungumzia kwa kadiri ulivoweza.
 
Bora nimepita hapa nijue mambo ya msingi kuliko hbr za kina simalenga dimela kumnaza mwanafunzi malay makofi

Njoo wew kijana UMUGHAKA ufahamu vitu hv
 
Countrywide kuwa na ADABU xcxxx wewe,mtu anakuja kwa nia njema ya kutujuza wewe unaleta ujuaji tena wakishamba.Mwache atoe yake kisha kama waona kakosea na wewe uje kwa muda wako kwa thread yako kivyako otoe yaliyo ya kweli tofauti na haya.Unaonekana unachuki binafsi na mtoa mada.Unataka uonekane mjanja na mjuaji lakini waerevu wanakuona mshamba tu na unapoteza muda katika mambo ya msingi.
 
Wew chige endeleaa na model of prodaction sharing agreememt

Ukianza kuleta uzi plz nitag mapema nifikee nisome nipata kitu kipya ambacho hapo kabla nilikuwa mweupe sijui lolote naaaam niko na wew had mwisho wa uzi
 
Umekimbilia kutoa hitimisho kabla hata ya kuzungumzia kuhusu hizo sheria, sera na kanuni na muhim zaidi bila hata kugusia "assumptions and basis" zilizotumika mpaka kufikita katika hiyo model ili kutoa nafasi na uwanja mpana wa majadiliano.
Mambo yote ningeweka pamoja thread ingekuwa ndefu sana kwa sababu kuna mengi ya kujadili. Hii sekta ina SHERIA 3 ambazo ni:-

1. Sheria ya Mafuta na Gesi ya 2015
2. Sheria ya Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na Gesi ya 2015, na
3. Sheria ya Uwazi na Uwajibikaji ya 2015.

Pamoja na hizo sheria pina kuna MPSA na kanuni kibao.

Huwezi kuweka yote hayo kwenye thread moja kama lengo lako ni kutoa mwanga kwa kwa watu wengi, kwa sababu ukifanya hivyo, ni wachache sana watakaoweza kusoma kutokana na ukweli kwamba thread itakuwa ndefu kupita kiasi.

Ukisema ujadili japo kipengele kimoja tu cha Local Content lakini ujadili kwa undani, peke yake inaweza kuzaa thread mzima bila kugusa vitu vingine.
 
Wew chige endeleaa na model of prodaction sharing agreememt

Ukianza kuleta uzi plz nitag mapema nifikee nisome nipata kitu kipya ambacho hapo kabla nilikuwa mweupe sijui lolote naaaam niko na wew had mwisho wa uzi
NOTED!
 
Na kinachonichanganya uchumi wa gesi amshaamsha ziko mtwara kuliko lindi wenye gesi yenyewe yaani sasa na madini kwa mfano yawe congo halafu ijengeke Rwanda na sio congo
 
Una lengo zuri na jema sana na inaelekea una maarifa mengi juu ya sekta hii, hongera.

Hapo kwenye Model Production Sharing Agreement ndo hasa patakapotoa au kuua maslahi yetu. Kwa sasa, MPSA iliyopo ni ya 2013 ambayo kuna taarifa
Hiyo aya kama mleta hoja hapa imeshindwa kabisa kuweka mizani, na zaidi, haikupaswa kuwepo hapo.
 
Na kinachonichanganya uchumi wa gesi amshaamsha ziko mtwara kuliko lindi wenye gesi yenyewe yaani sasa na madini kwa mfano yawe congo halafu ijengeke Rwanda na sio congo
Sababu kubwa ni tatu...

1. Majority wakisikia Kusini moja kwa moja akili yao wanaipeleka Mtwara,

2. Sakata la "Gesi Itatoka au Haitoki" lilitokea Mtwara kwavile gesi husika ni ya huko. Kutokana na hilo, watu wakaanza kuhusisha suala zima la gesi na Mtwara!

3. Wakati issues za gas zimepamba moto (wakati wa JK), ikabidi zianze jitihada za kuboresha Bandari ya Mtwara kwa sababu sio tu ndio bandari inayotegemewa kutumika for export lakini pia ndio ilitarajiwa ingetumika kuingiza vifaa vya ujenzi wa LNG Plant, na uchimbaji.

Sasa shughuli za uboreshaji wa bandari ndo zikaichangamsha zaidi Mtwara.

NOTE: Pamoja na Lindi na Mtwara, pia kuna zaidi ya 2.3 Trillion Cubic Feet of gas iliyogundulika Mkuranga na Mambakofi (kwenye Bonde la Mto Ruvu) lakini wengi wanafahamu kuhusu Kusini peke yake.

Na kuna uwezekano wa kuwepo gesi Ziwa Tanganyika.
 
Wee jamaa ni mshamba alafu mjingaa sana ingekuwa busara na wewe ungatoa mada yako ya malezi ya watoto au jinsi ya kumfikisha mkeo siyo kumkosoa MTU ili umtoe kwenye lengo lake
 
Yeye ameanzisha uzi ili sisi wengine tuelimike, sasa kama wewe kuna unachojua huwezi kuchangia bila kupiga vijembe?
Hii ID lengo la kuifunguaa unaijua, hakuna jina lingine zaid ya wewe ni mjinga
 
Wee jamaa ni mshamba alafu mjingaa sana ingekuwa busara na wewe ungatoa mada yako ya malezi ya watoto au jinsi ya kumfikisha mkeo siyo kumkosoa MTU ili umtoe kwenye lengo lake
Humu wajinga mpo wengi sana na kwa bahati mbaya hamjifichi
 
Una lengo zuri na jema sana na inaelekea una maarifa mengi juu ya sekta hii, hongera.


Hiyo aya kama mleta hoja hapa imeshindwa kabisa kuweka mizani, na zaidi, haikupaswa kuwepo hapo.
Sijui kuna uhusiano gani Kati ya ID mpya na ujinga
 
Wew chige endeleaa na model of prodaction sharing agreememt

Ukianza kuleta uzi plz nitag mapema nifikee nisome nipata kitu kipya ambacho hapo kabla nilikuwa mweupe sijui lolote naaaam niko na wew had mwisho wa uzi
Wajinga ni wengi sana, alafu kwa nn wajinga wengi mmejiunga jf 2022??
 
Huyu countywide cjui nani,htak uzi utembee anaona wivu kuwa mwenzak ana elimu na ana share yy anayo kanyamaza hajui kuwasilisha mada, Chige kanyaga twende, hata hvyo umempa sana Airtime.
Najua ni kazi sana kumtoa mtu ujinga alionao. Hata hivyo chige ameshafahamu tupo werevu wachache hivyo ataacha ujinga wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…