Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Km sifongo siki ni sumu na wao walikuwa na lengo la kutaka afe haraka kwanini hawakupaka kwenye ule mkuki waliomchoma nayo ubavuni? Sumu kupitia mdomoni huchelewa kidogo kuua kuliko ile iliyowahishwa kwenye damu. Na je km lengo ni kuua fasta si pale kuna mkuki kwann wasimchome moyoni fasta hamalizi hata sekunde?
Unatuuliza sisi?Nahisi lengo la mtesi ni kukukomoa.Yaani kukufanya ujisikie kudunishwa?Maana nafikiri maji yalikuwepo na hayo ndo hukata kiu kuliko kinywaji chochote, kitendo cha kumpa siki iliyochanganywa sifongo nahisi ilikuwa nia ovu .
 
Wanasema.

Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote.

Anayeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani kufanyika popote.

Hakuuumba ulimwengu huo.

Kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika.

Hata katika ulimwengu ambao dhambi inaweza kufanyika, aliweza kuumba watu ambao wanaweza kuishinda dhambi mara zote.

Hajaumba watu hao.

Kaumba watu ambao wanaweza kushindwa na dhambi.

Halafu watu hao wakishindwa na dhambi, kwa sababu Mungu kaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika, na watu wanashindwa na dhambi, Mungu huyo atawahukumu watu hao kwa kuwachoma katika moto wa milele.

Ni kama Baba anayeweza kumsomesha mtoto wake shule (Mungu anayeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani) akaamua kumkataza mtoto wake asisome shule (Mungu huyo akaumba ulimwengu ambao dhambi inawezekana kufanyika) halafu mtoto akishindwa kujua kusoma na kuandika kwa sababu (mtu akifanya dhambi) baba amuadhibu mtoto vikali (Mungu awaadhibu watu kwa moto wa milele).

The premise and narrative is illogical.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Baba mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kumkataza mtoto wake kwenda shule, halafu baba huyo huyo amuadhibu mtoto huyo, kwa kuwa hajui kusoma.

Huu ndio ujinga ninaokataa katika dini.
Tatizo unafikiri mawazo yako ni mawazo ya Mungu.Ukigundua awazavyo Mungu sivyo uwazavyo wewe na njia zake sio zako basi utamwelewa .Kwa sasa endelea kupambana naye kwa uwezo alokupa maana ushafeli kumwelewa,ili usiwe na utetezi mbele yake siku ikifika.
 
Tatizo unafikiri mawazo yako ni mawazo ya Mungu.Ukigundua awazavyo Mungu sivyo uwazavyo wewe na njia zake sio zako basi utamwelewa .Kwa sasa endelea kupambana naye kwa uwezo alokupa maana ushafeli kumwelewa,ili usiwe na utetezi mbele yake siku ikifika.
Unahakikishaje Mungu yupo kweli, na habari za kuwapo kwake si hadithi za watu tu?

Hujathibitisha hili.

Thibitisha Mungu yupo kabla ya stories nyingi za Mungu hivi, Mungu vile.
 
Ili utabiri utimie.
Maana wenzetu wanaamini yesu alikuja kufa kwa ajili ya DHAMBI zao ili wasamehewe. Sasa yesu asingekufa wangesamehewa vipi hawa ndugu zetu?
1. Hizo dhambi walitoa walitoa wapi?
2. Je Mungu hakuwa na namna nyingine ya kuondoa hizo dhambi?
3. Kama Yesu aliwaondolea hizo dhambi kwa nini bado wanatakiwa wasitende dhambi?
 
1. Hizo dhambi walitoa walitoa wapi?
2. Je Mungu hakuwa na namna nyingine ya kuondoa hizo dhambi?
3. Kama Yesu aliwaondolea hizo dhambi kwa nini bado wanatakiwa wasitende dhambi?
Wakristo huwezi kuwaelewa mpk usome imani yao.

Wao wanaamini kitu kiitwacho "Dhambi ya ASILI"

Yaani Adam na Hawa walipokula tunda na kuondolewa ktk Bustani za peponi dhambi ile wanadai lazima wailipe wao.
Na ndio maana wanadai ati Mungu alikuja kwa sura ya binaadamu (yesu) ati akaamuq KUUAWA MSALABANI ili dhambi ile abebe yeye.
Cha Ajabu ni kuwa ukiwauluiza Je Mungu anaweza Kufa ? Wanasema HAPANA.
Je Yesu alipokufa Mungu alikuwa hai? Wanasema Mungu baba alikuwa hai.
Je Mungu Baba ni tofauti na Yesu? Wanasema Hapana.
Yaani kifupi UKRISTO ni imani ambayo ukiuliza maswali machache tu lzm urudi mtupu. Na ndio maana huwezi kukuta mkristo anauliza maswali muhimu km haya kwa kiongozi wake wa kanisa.
Na akithubutu anaambiwa ANA MAPEPO NA LZM AOMBEWE.
Na ili maombi yafanyike vizuri lzm utoe fungu la 10.

Ndio Uislamu unasema "Mwenye KUABUDU asiekuwa Mungu MMOJA lzm atapata shida tupu ktk imani hio"
 
Salama wana jamii, amani na iwe juu yenu.

Nimependa leo nije na uzi huu juu ya sifongo. Na siki. Jambo ambalo halijazungumziwa sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth. Pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji, ambapo alipewa sifongo yenye siki. Utajiuliza ni kwanini alionja tu ile sifongo alikata roho (Luka 23:36 na Marko 15:36). Mmoja wao alienda mbio, akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha. Alipoipokea akakata roho...

Sifongo ni kitu gani?

Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari, kama dubu, simba, mbwa mwitu. Pia ilitumiwa na wapiganaji vitani, ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo, kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa, ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache, maana sumu kali sana (wataalamu wa usiku hizi). Wanaifananisha sumu kali, ambayo hupigwa kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji. In short, sifongo kwenye siki ni sumu kali sana, tena sana.

Je, sifongo katika siki imetengenezwaje?

Kwa kifupi, taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina fulani ya nyoka na mafuta yake, na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo ya mamba. Lakini haikujulikana taarifa za 100% kama hii ndio hasa ilitumika kutengenezea sifongo iliyotiwa siki, sumu kali sana.

Muwe na mchana mwema.
Kamusi ya Kiswahili sanifu
Sifongo= kipande cha godoro ama sponji
 
Duh hivi jamaa yesu aliwakoseaga nini mbona walikuwa na hasira naye sana dah inauma sana


Yaan watu wamekupiga misumari wakaona haitosh wakampiga na sifongo tena
Ukiachana na stori za kiimani, Yesu alikuwa mwanaharakati aliyepinga utawala wakati ule.


Najua unajua wapinzani wa leo kinachowapata. So, kuua na kutesa wapinzani haijaanza siku hizi.

Kiasili hakuna utawala unaopenda upinzani.
Duh hivi jamaa yesu aliwakoseaga nini mbona walikuwa na hasira naye sana dah inauma sana


Yaan watu wamekupiga misumari wakaona haitosh wakampiga na sifongo tena
Ukiacha stori za kiimani, Yesu alikuwa mpinzani wa utawala wakati ule.

Najua unajua kinachowapata wapinzani wa leo. So, watawala hawakuanza sasa kuua na kutesa wapinzani.

Kiasili hakuna utawala unaopenda kupingwa. Ever!
 
Back
Top Bottom