Ifahamu "TAPETUM LUCIDUM" kinachofanya macho yang'ae usiku kwa baadhi ya wanyama na ndege kama bundi

Ifahamu "TAPETUM LUCIDUM" kinachofanya macho yang'ae usiku kwa baadhi ya wanyama na ndege kama bundi

DAGHI

Senior Member
Joined
Oct 12, 2015
Posts
186
Reaction score
401
Jana usiku nilikua na drive nje ya mji...nikaona dot 2 zinawaka kwa mbele, hatimaye nikagundua ni fisi amechill pembeni ya barabara... TAPETUM LUCIDUM ni layer yenye asili ya mng'ao iliyopo nyuma ya retina katika jicho la kiumbe hai. Sio viumbe wote wanayo, hii wamepewa viumbe baadhi ambao wapo active at night kama,fisi,simba,chui,bundi lakini binadamu hatujaumbwa na hii kitu. Layer hii inafanya kazi pale mwanga unapotua katika jicho, huakisiwa na kurudi ulipotoka hivyo kumsaidia kiumbe kuona vizuri katika mwanga hafifu..

lu.PNG
 
Unakutana na nyau usiku unampiga tochi unaona macho yanang'aa, hata wanyama wa porini nao ni hivyohivyo
 
Kichekesho ni kuwa paka wangu tukiwa ndani gizani sijawahi kumuona na macho ya hivyo Ila akiwa nje namuona na macho yanayong'aa
 
Kichekesho ni kuwa paka wangu tukiwa ndani gizani sijawahi kumuona na macho ya hivyo Ila akiwa nje namuona na macho yanayong'aa
haha ha ha mpaka mwanga utue machoni mwake ndio yanawaka...nje kuna miale mingi mwezi, taa za magari,nyumba etc
 
Ajabu ni pale kuna wanyama wana macho ya blue, green, yellow, red, orange
 
Back
Top Bottom