Ifanye pesa isiwe ya msimu, buni vyanzo vingine vya mapato


Mimi ni mdada mkuu [emoji23]
Nashukuru kwa kuliona hilo, tatizo sisi wamatumbi tunapenda kutafuniwa kila kitu.
Hapo alitaka nimtafutie na chanzo cha mapato nimkabidhi n still asingeridhika.
Ikiwezekana ajira ikupr mtaji.. Fanya kazi miaka 3 basi. Ukishazoea ajira huwezi ach..
 
umeongea vizuri lakini huu ni ushauri wa jumla sana ambao mtu yeyote anaweza kukupa, pia mtu yeyote anaweza kuelewa hili mda mfupi tu baada ya kuajiriwa...

ungetuambia kwa undani jinsi ya kuacha kutegemea mshahara au jinsi wewe umeweza kufanya hivyo ingependeza zaidi....
 
Mmatumbi kwenye ubora wako πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi we unanichukuliaje? [emoji23][emoji23]
Dada me ndo mwalimu wake.
Tuma kwanza, nitaelewa tu. Kuna utofauti nitaona, kama vya kuchemshwa ni vingi nitajua tu hapo ni wewe. Kama vipo rosted hapo nitajua ni dada[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…