Ifanye pesa isiwe ya msimu, buni vyanzo vingine vya mapato

Ifanye pesa isiwe ya msimu, buni vyanzo vingine vya mapato

MBONA jamaa katoa ushauri mzuri tuu,mnamzodoa kwa sababu Gani?ila kama Mimi nimemuelewa vizuri TU,yupo sahihi, solution ufungue kichwa chako uone fursa ingine badala ya hiyo uliyokuwa nayo kwa sasa,
Mimi ni mdada mkuu [emoji23]
Nashukuru kwa kuliona hilo, tatizo sisi wamatumbi tunapenda kutafuniwa kila kitu.
Hapo alitaka nimtafutie na chanzo cha mapato nimkabidhi n still asingeridhika.
 
Mimi ni mdada mkuu [emoji23]
Nashukuru kwa kuliona hilo, tatizo sisi wamatumbi tunapenda kutafuniwa kila kitu.
Hapo alitaka nimtafutie na chanzo cha mapato nimkabidhi n still bado asingeridhika.

Wewe ndio Dada mkuu?[emoji28][emoji28]

Hizi fake id [emoji119]
 
Nikiwa na napata
*dividend UTT
*interest government bonds
*Dividend from DSE
*Mifugo za kutosha
*Mashamba ya kutosha
*Kumbi za sherehe za kutosha Kila mkoa na Kila wilaya
*Magodown ya mazao ya kutosha Kila mkoa na Kila wilaya na yote nipate hati miliki
*Apartments za kutosha Kila mkoa na Kila wilaya na zote ziwe na hati miliki
*Bank account na float ya kutosha
Vyote hivyo viwe ndani ya Tanzania.

Kenya
*Niwe za stocks za share za kampuni nzuri hata tano hasa mabenki Tena Ile aliyowekeza raisi mstaafu wa Kenya.

Uganda
*Niwe na stocks za share za kampuni nzuri hata tano hasa mabenki .

Nikifanikiwa vyote hivi nitakuwa financial free.nitaishi kwa Bata maisha yangu yote na vizazi vyangu vyote.
 
Nikiwa na napata
*dividend UTT
*interest government bonds
*Dividend from DSE
*Mifugo za kutosha
*Mashamba ya kutosha
*Kumbi za sherehe za kutosha Kila mkoa na Kila wilaya
*Magodown ya mazao ya kutosha Kila mkoa na Kila wilaya na yote nipate hati miliki
*Apartments za kutosha Kila mkoa na Kila wilaya na zote ziwe na hati miliki
*Bank account na float ya kutosha
Vyote hivyo viwe ndani ya Tanzania.

Kenya
*Niwe za stocks za share za kampuni nzuri hata tano hasa mabenki Tena Ile aliyowekeza raisi mstaafu wa Kenya.

Uganda
*Niwe na stocks za share za kampuni nzuri hata tano hasa mabenki .

Nikifanikiwa vyote hivi nitakuwa financial free.nitaishi kwa Bata maisha yangu yote na vizazi vyangu vyote.

Think and grow rich
 
Wifi yangu,
Nikisoma vitu kama hivi kichwa changu kinachemka na usingizi unanigomea usiku..
Nashukuru sana kwa a very great reminder, Kaka Countrywide hapa mke tunaye.
Wifi tena?
Countrywide wa Cute Wife au waliachana? 🤣🤣🤣
Ukiwa na big dreams lazima ukose usingizi
Me kichwa changu nikikupa huchukui sec 20 unanirudishia kina mambo mengi aiseee!!
 
Back
Top Bottom