IFFHS: Ligi Kuu Tanzania ni ya 5 kwa Ubora Afrika na ya 39 Duniani

IFFHS: Ligi Kuu Tanzania ni ya 5 kwa Ubora Afrika na ya 39 Duniani

Yani viwanja vyenyewe kuna timu hazina,
Malefa kila mwezi wanachezesha kwa makosa kibao alafu et wanasema tuko nafasi ya 5 kitaifa


Ha ha ha hii ni Takwimu za mchongo
Kutoka kwenye taasisi ya mchongo
Bishana kwa takwimu sio hisia
 
Moja ya ujinga ni kubishana na Takwimu tujifunze kuficha ujinga wetu
Mm sio Simba ila huwezi kuizalau Simba fc wala huwez zalau mafanikio yao na wala huwez zalau unbeten zao zilizo wafanya kua bora afrika


Tujifunzeni jaman kueshimu aliekuzidi sabu itakusaidia na ww kujijenga kiakil na kifikla
 
Bishana kwa takwimu sio hisia
Elimu Elimu Elimu.
Mtu hajui kabisa haya machapisho ni data based lakini anabisba tu kwa hisia zake. Ukimwambia kwanini anabisha anasema sababu kiwanja cha sokoine kibovu.

Mwambie ataje basi viwanja vizuri vya south africa hajui hata kimoja. Ila wabongo tupo special sana aisee.
 
Shirikisho la kimataifa la historia na takwimu za mpira wa miguu (IFFHS) limeitangaza Ligi Kuu ya Tanzania bara kuwa Ligi ya 5 kwa ubora barani Afrika na ya 39 Duniani kwa mwaka 2022.

NBC PL imezipiku Ligi za Tunisia,Afrika Kusini,Angola, Nigeria na Zambia.

Misri inaongoza kwa Ligi bora Afrika,ikifuatiwa na Algeria,ya tatu ni Morocco wakati nafasi ya nne ni Sudan.
Ligi bora ni za waarabu tu au?, mi ninachojua, kwa hapa Afrika ya Kwanza ni SA, ya pili ni Tz..,
 
Hata ile ENGLAND premier league ni league bora ila wakikutana na team nyingine kwenye UEFA champions league au Europa wanabondwa nadhani wanaangalia ushindani wa league husika na sio ubora wa league maana England sio world cup wala mashindano mengine ya kimataifa wanayoweza kuibuka wababe mara nyingi wanabondwa tu.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Haya ni mafanikio ya Barbra Gonzalez,
Tangu apewe kitengo kule CAF tayari kashaibeba nchi.
 
Back
Top Bottom