OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Na cake wangetengenezadadeki,Simba wenyewe sasa wala awana habari washazoe link za juu kimataifa wanaona kawaida yani.
Mungu wangu ingekua ile timu ya askari zenj f.c wangefanya sherehe kila tawi,si mnawajua walivyo washamba!
Na connection wangetoaNa cake wangetengeneza
Ha ha ha wanapenda kupaparikia vitu vidogo.Na cake wangetengeneza
Acha makasiriko!!Timu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu[emoji23][emoji23][emoji23]
Na washabiki wake hao wanafurahi
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu
Umepiga kwenye mshono.. Rage aliona mbali sanaTimu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu[emoji23][emoji23][emoji23]
Na washabiki wake hao wanafurahi[emoji23][emoji23]
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu[emoji848][emoji848]
Yaani uto ni jangaaaNa connection wangetoa
Aliona mbali kama yule Kocha wa Boli Luc EymaelUmepiga kwenye mshono.. Rage aliona mbali sana
Kuchukua kombe sio mafanikio pekee. Ndio maana kila hatua kuna zawadi. Morocco hawakuchukua kombe world cup ila kwa hatua waliofika ni mafanikio makubwa tu. Timu inayojielewa haiwezi kumsifia kocha kwa kumpigia makofi kwa unbeaten ya ligi yenye timu zinazokosa nauli mbaya zaidi ni unbeaten ya mchongo.Timu no 9 Kwa u Bora isiyo na kombe lolote hata la uji Mwaka wa pili huu[emoji23][emoji23][emoji23]
Na washabiki wake hao wanafurahi[emoji23][emoji23]
Ni sawa na CCM kuwaambia Wananchi wake kuwa Pato la mtanzania limekuwa wakati Wananchi hata Milo miwili hawawezi kuimudu[emoji848][emoji848]
Ni sawa na wana unaokuwa nao kijiweni halafu ukapambana ukatoka. Wanakuchukulia easy tuKwa watanzania kuibeza Simba niswala la kawaida kwa sababu ni timu tumeizoea muda mwingne inafungwa had na Kagera lkni Simba Kwa Africa ni timu Bora sana