IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9

IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9

Ao jamaa tangu wajue Simba ni ma Mbumbumbu basi kazi Yao ni kuwa pamba Kwa kuwapikia Data za mchongo.
Na walivyokua Awana adabu Kuna siku Simba atawekwa namba Moja ndipo watakapo stuka[emoji2][emoji2][emoji2]
Ukitaka kupendwa na mjinga msifie
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Mbona sisi utopolo tunaonewa na kubaguliwa sana na hawa CAF? Simba wanatoa mlungula huko CAF.
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Kwa point simba inazidi mazembe eeeeehhhhh
 
View attachment 2547275
Hii ni IFFHS imetoka 31 Jan 2023 tuambieni hiyo ya kwenu mmeitoa wapi?
Kweli nimeamini viongozi wa simba wanawaona mashabiki wao ni mbumbumbu wanawafanya vile wanavyotaka maana wamezoea kudanganywa,kama mlidanganywa kuhusu manzooki na bado akaletwa mpaka kwenye uchaguzi siwezi kuwashangaa.
Sawa hata kama sa ndo mshike mkia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
20th out of 20 aaah bana

Screenshot_20230314-221528_Chrome.jpg
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
Soma huu uzi hapa chini, mmeshuka kiwango, mmekuwa wa 10 sasa..!! Halafu Yanga ambaye hakuwepo sasa ni wa 9..!! Hatari

 
Soma huu uzi hapa chini, mmeshuka kiwango, mmekuwa wa 10 sasa..!! Halafu Yanga ambaye hakuwepo sasa ni wa 9..!! Hatari

Subiri uone kama atasoma.
 
Duuuuuuuh! Unatamani muda urudi nyuma ufute huu Uzi lakini ndo basi tena
 
View attachment 2547160
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF
1. Ahly - 220 points
2. Wydad - 170 points
3. Zamalek - 154 points
4. Pyramids- 140.5 points
5. Al Hilal - 132.75 points
6. Mamelodi- 127 points
7. CR Belouzidad - 117.75 points
8. Raja Casablanca - 117 points
9. Simba SC - 113 points
10. Petro Luanda - 112 points

Nakutafunia
Yaani ukiwatoa waarabu inabaki Mamelod kisha Simba Sc tu. Baaaasi
YANGA WATAUA WATU MWAKA HUU...MNATENGENEZA VITU LKN HAVITENGENEZEKI ULIMWENGU NI MDOGO SANA KWENYE NYAKATI HIZI ZA TEKNOLOJIA
 
Back
Top Bottom